Radio Tadio

mashujaa

3 April 2024, 6:02 pm

Ujenzi wa daraja la Ng’ong’ona kufungua fursa za kiuchumi

Mikakati ya TARURA kuboresha Miundombinu ya barabara na madaraja katika mkoa wa Dodoma ili kurahisisha shughuli za kiuchumi. Na Fred Cheti.Ujenzi wa daraja la Ng’o’ng’ona lililopo katika Kata ya Ng’o’ng’ona Jijini Dodoma linalojengwa kwa teknolojia ya Mawe linatarajiwa kufungua fursa…

26 July 2023, 07:41 am

Mashujaa waomba kazi zao zienziwe

Tunaiomba Serikali kutosahau Mashujaa tuliopo na kuenzi kazi tulizozifanya kwa taifa letu Na Msafiri kipila Kila Ifikapo Julai 25 ya Kila mwaka Tanzania huadhimisha Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa ambapo kitaifa imeadhimishwa katika Uwanja wa Mashujaa, Mji wa Serikali Mtumba…

25 July 2023, 5:26 pm

Geita kuendelea kuwaenzi mashujaa kwa vitendo

Wananchi na viongozi mbalimbali wa mkoa wa Geita wamejitokeza katika viwanja vya Mashujaa kuadhimisha kumbukumbu ya mashujaa waliojitoa maisha yao kwa ajili ya watanzania. Na Mrisho Sadick: Mkuu wa mkoa wa Geita Mhe Martin Shigela amesema mkoa wa Geita utaendelea…

24 July 2023, 6:37 pm

Mikoa yote nchini yaagizwa kuadhimisha siku ya mashujaa

Maandalizi ya maadhimisho ya Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa yamekamilika katika eneo la Mtumba jijini Dodoma huku Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan akitarajiwa kesho kuweka jiwe la msingi kuashiria uzinduzi wa eneo hilo. Na…

21 July 2022, 2:17 pm

Sherehe za mashujaa kitaifa kufanyika Jijini Dodoma

Na;Mindi Joseph. Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Samia Suluhu Hassan Anatarajiwa Kuwa Mgeni Rasmi Katika Sherehe Za Mashujaa Ambayo Kitaifa Yatafanyika Jijini Dodoma. Akizungumza Katika Viwanja Vya Mashujaa Ambapo Sherehe Hizo Zitafanyika Mkuu Wa Mkoa Wa Dodoma Antony…