Radio Tadio

MAONESHO

22 September 2023, 1:09 pm

BRELA yaendelea kutoa elimu ya urasimishaji kwenye maonesho Geita

BRELA wanaendelea kuwa msaada mkubwa katika kutoa elimu ya urasimishaji wa biashara kwani imekuwa changamoto kubwa kwa wafanyabiashara. Na Zubeda Handrish- Geita Elimu na uelewa mdogo kuhusu urasimishaji wa biashara imekuwa changamoto kubwa kwa wafanyabiashara hali iliyowasukuma wakala wa leseni…

21 September 2023, 5:33 pm

Washiriki 400 waanza maonesho katika viwanja vya EPZA Geita

Washiriki kutoka mataifa mbalimbali kama vile China, Rwanda, Burundi na mengineyo yameshiriki maonesho hayo ya 6 yaliyoanza rasmi mwaka 2018. Na Zubeda Handrish- Geita Mkuu wa Mkoa wa Geita Martin Shigela amesema kuwa maonesho ya dhahabu ambayo yameanza jana Septemba…

21 September 2023, 12:10 pm

Wajasiriamali waaswa kujitangaza kupitia maonesho ya Pangani.

Ni nafasi pekee kwa wajasiriamali kutambulika na mabenki na fursa ya kupata mikopo.   Na Mwandishi wetu. Wajasiriamali wameaswa kushiriki kwenye Maonesho ya Biashara yanayoendelea kwenye Viwanja vya Bomani katika Wilayani Pangani ili kutangaza biashara zao. Meneja wa Benki ya…