Radio Tadio

mahafali

7 Novemba 2023, 12:25

Wanavyuo washauriwa kujiajiri na kuondokana na makundi maovu

Vijana wa rika mbalimbali  wanaomaliza masomo yao kwenye vyuo tofauti nchini wametakiwa kutojiingiza katika makundi yasiyofaa kwani yanaweza kukatisha ndoto zao za baadaye. Na Deus Mellah Wito huo  umetolewa na msimamizi wa miradi kanisa la Moravian jimbo la Kusini Magharibi…

20 Oktoba 2023, 22:36

Kambarage awapiga jeki sekondari ya Sizaki

Kiasi Cha shilingi milioni 2 zimetolewa na Eng Kambarage Wasira Kwa ajili ya ukamilishaji wa choo shule ya Sekondari Sizaki. Na Adelinus Banenwa Kiasi cha shilingi milioni 2 zimetolewa na Injinia Kambarage Wasira kwa ajili ya ukamilishaji wa choo shule…

13 Oktoba 2023, 07:22

Kambarage atatua changamoto ya maji Kunzugu sekondari

Kiasi cha shilingi million moja  laki moja na elfu Arobaini na nne (1,144,000) zimetolewa na Ndugu Kambarage Wasira katika kutatua changamoto ya maji shule ya sekondari kunzugu leo kwenye mahafali ya kidato cha nne. Na Adelinus Banenwa Kiasi cha shilingi…