Radio Tadio

Maadili

4 January 2024, 5:09 pm

Viongozi watakiwa kuzingatia sheria za maadili ya umma

Hayo yamesemwa na Alfred Mboya Afisa maadili kutoka secretariete ya maadili ya viongozi wa umma wakati akifanya mahojiano na Dodoma Tv. Na Aisha Alim.Viongozi wa umma wametakiwa kuzingatia sheria za maadili ya viongozi katika Taasisi zao ili wawe mfano wakuigwa…

4 August 2023, 10:09

Jamii yatakiwa kuzingatia maadili

Maadili nchini yanaonekana kuendelea kuporomoka hali inayosababisha jamii kuendelea kupotoka na kusababisha jamii kuwa katika hali ngumu ya maisha hasa kufanyiwa ukatilii. Na, Josephine Kiravu Jamii Mkoani Kigoma imetakiwa Kujiepusha vitendo vilivyo kinyume na maadili ya Kitanzania kuanzia ngazi ya…

10 July 2023, 11:56

Wahitimu Kigoma watakiwa kufundisha maadili mema kwenye jamii

Suala la maadili kwenye jamii limeendelea kuwa changamoto ambapo wahitimu wa vyuo mbalimbali wametakiwa kuwa mfano kwa jamii na kuhimiza maadili ili kuwa na kizazi chenye maadili mazuri. Na Lucas Hoha. Wito umetolewa kwa wanafunzi wanaomaliza masomo katika kada mbalimbali…

3 May 2023, 4:39 pm

Vijana waonywa kuporomoka kwa Maadili

Wamewashauri wazazi kukagua matumizi ya vipindi vya Televisheni majumbani mwao ili kuwaepusha watoto na vipindi viovu vinavyoweza kuharibu maadili yao. Na Bernad Magawa. Katika kuhakikisha kuwa Taifa linaendelea kuwa na vijana wenye maadili, baadhi ya wazee Wilayani Bahi wameiomba serikali…

14 April 2023, 11:51 am

Wanawake watakiwa kupambana na mmomonyoko wa maadili

Hivi karibuni serikali kupitia waziri wa habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Mh Nape Nnauye ilisema kuwa Ushoga,Usagaji pamoja na mapenzi ya jinsia moja hayana nafasi nchini. Na Fred Cheti. Wito umetolewa kwa wanawake nchini kusimama katika nafasi zao katika ulezi…