Radio Tadio

EWURA

19 March 2025, 5:51 pm

Mpwapwa wapata mwarobaini malisho ya mifugo

Serikali itaendelea kuwekeza katika sekta ya mifugo ili kuhakikisha wafugaji wanapata mbegu bora za malisho na uhakika wa chakula cha mifugo. Na Mariam Kasawa.Wakati kilio kikubwa cha wafugaji nchini kikiwa ni ukosefu wa malisho unaosababishwa na athari za mabadiliko ya…

8 January 2025, 2:44 pm

Wanaume jamii ya Masai watuhumiwa kuuza nyanda za malisho

Maeneo ya malisho yanayodaiwa kuuzwa niyale yaliyo Tengwa kwa shughuli za Ufungaji. Na Kitana Hamis.Wanaume jamii ya Kifungaji masai Kiteto Watuhumiwa Kuuza Nyanda za MlishoWakizungumza kwa hisia kali Baadhi ya Wanawake wa Jamii ya Kifungaji Masai wanasema Migogoro mingi ya…

23 September 2023, 1:44 pm

EWURA kutokomeza mafuta ya kupimwa kwa chupa vijijini

Changamoto ya wauza mafuta ya petroli na dizeli vijijini kuuza kwenye chuma imekuwa kubwa kiasi cha EWURA kulitafutia ufumbuzi. Na Zubeda Handrish- Geita Katika kuhakikisha wafanyabishara na wasafirishaji vijijini wanaondokana na mafuta ya kupima kwenye chupa (makopo), mamlaka ya usimamizi…

9 August 2023, 6:28 pm

EWURA yatoa leseni kwa zaidi ya mafundi umeme 5000

EWURA imeendelea kuwakumbusha Mafundi Umeme kufanya kazi kwa mujibu wa kanuni za Umeme hususani kanuni namba 15, 16 na 17. Na Mindi Joseph. Zaidi ya mafundi umeme 5000 wamepatiwa leseni na Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji…

12 April 2023, 6:35 pm

Wananchi wengi hawafahamu gharama za maji kwa lita

Tayari DUWASA imeomba marekebisho ya bei za maji hadi mwaka 2026 ili kukidhi marekebisho ya miundombinu ya maji. Na Mindi Joseph. Kwa Mujibu wa ufuatiliaji uliofanywa na Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma ya Nishati na Maji Ewura CCC…