Storm FM

usalama

2 December 2025, 11:35 am

Kabati, TARURA uso kwa uso kutatua kero ya barabara

“Changamoto ya Barabara inatakiwa kutatuliwa ili kukuza uchumi wa wananchi wa Kilolo”. Na Hafidh Ally Mbunge wa jimbo la Kilolo, Dr. Ritta Kabati amefanya ziara ya kikazi katika ofisi za wakala ya barabara za vijijini na Mijini (TARURA) wilaya ya…

1 December 2025, 2:58 pm

Rutaraka aibuka mshindi kugombea uenyekiti Hai

Edmund Rutaraka amethibitisha nguvu zake wilayani Hai baada ya kushinda kwa kishindo uchaguzi wa ndani wa CCM, akipata kura 15 kati ya 23 na kurejeshwa rasmi kugombea nafasi ya Uenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai. Na Elizabeth Mafie na…

13 November 2025, 3:48 pm

Makosa ya kimtandao yatahadharishwa Zanzibar

Jamii imeaswa kuacha tabia ya kutumia mitandao ya kijamii kuwaumiza na kuwadhalilisha watu wengine, kufanya hivyo ni uvunja haki za watu na kinyume na sheria za nchi. Na Omar Hassan Jamii imeaswa kuacha tabia ya kutumia mitandao ya kijamii kuwaumiza…

21 October 2025, 5:30 pm

Ruksa kupiga kura waliopoteza kadi

Msimamizi wa uchaguzi wa jimbo la Babati mjini Simon Mumbee ametoa elimu ya upigaji kura kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika october 29 mwaka huu, ambapo amewataka wananchi kufika kwenye vituo vya kupigia kura kuanzia saa moja kamili asubuhi hadi saa…

15 October 2025, 3:53 pm

Polisi Unguja waunasa mtandao wa wizi wa pikipiki

Na Mary Julius. Jeshi la Polisi Kanda ya Zanzibar limeendesha operesheni maalum katika mikoa mitatu ya Unguja kufuatia kuongezeka kwa matukio ya wizi wa pikipiki, ambapo jumla ya watu 17 wamekamatwa kwa tuhuma za kuhusika na mtandao wa wizi na…

October 3, 2025, 9:56 pm

RC Mara aongoza kusanyiko la ushirikishwaji wa jamii

Kusanyiko la ushirikishwaji wa jamii na uhamasishaji wa haki ya juu, kuweka mkakati wa mawasiliano mazuri kuitangaza Butiama FM Radio 93.1. Na Swaiba Oscar Mkuu wa mkoa ambaye ndiye alikuwa mgeni rasmi kwenye kusanyiko hilo aliongoza na kuwasihi wananchi wa…