Storm FM
Storm FM
July 28, 2025, 6:06 pm
”Jamii inapaswa kujikita zaidi katika kujikinga dhidi ya maradhi ya ugonjwa wa homa ya ini kwa kuwa ni ugonjwa hatari na unaochukua maisha ya watu wengi duniani” Na John Juma Wananchi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga wamehimizwa…
26 July 2025, 07:25
Maendeleo ya elimu yanategemea mchango mbalimbali wa wadau wanaojitikeza kuwekeza katika sekta hiyo. Na Hobokela Lwinga Askofu Robert Pangani wa kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi amezindua rasmi shule Moravian Mwangaza Academy inayopatikana katika jimbo la mission mkoani…
23 July 2025, 6:13 pm
Wimbi la watu kujiua au mauaji dhidi ya watu wengine limeendelea kutikisa mkoa wa Kagera licha ya kuwa hakuna utafiti rasmi wa sababu za tatizo hilo. Na Theophilida Felician, Bukoba Maisha magumu, upweke, migogoro ya ndoa, wivu wa mapenzi, madeni…
18 July 2025, 7:20 pm
Wanawake mkoani Geita wameendelea kuchangamkia fursa ya elimu ya ufundi katika vyuo mbalimbali vilivyopo mkoani humo ili kujikwamua kiuchumi. Na Kale Chongela: Zaidi ya wanawake 200 wakazi wa wilaya ya Chato mkoani Geita wanaonufaika na mafunzo ya ufundi stadi katika…
30 June 2025, 16:33
Wakati jamii ikiwaamini watu wenye elimu ,jamii hiyo hiyo inawataka wenye elimu kuonyesha umuhimu wa elimu waliyoipata. Na Rukia Chasanika Wanafunzi wanaohitimu katika vyuo vya maendeleo ya jamii mkoani Mbeya wameshauriwa kuandika maandiko ya miradi mbalimbali ambayo itasaidia kupunguza wimbi…
23 June 2025, 7:06 pm
Idadi kubwa ya wanaume wanafanyiwa vitendo vya ukatili wa kimwili kwa kunyimwa tendo la ndoa, lakini usiri ndio unapelekea kufikia hatua mbaya hata kufanya mauaji ya wenza wao au kujikatisha uhai wenyewe. Na Adelphina Kutika Wanaume wanaokumbwa na Ukatili wa…
17 June 2025, 19:06
Wadau na taasisi mbalimbali wameombwa kutowatenga wahitaji badala yake wanatakiwa kujenga utamaduni wa kuwatembelea na kuwasaidia wahitaji misaada mbalimbali kwani kufanya hivyo ni sadaka na thawabu mbele za Mungu. Na Hobokela Lwinga Watu wenye ulemavu wametakiwa kutumia fursa za elimu…
May 31, 2025, 3:34 pm
Waaguzi katika Manispaa ya Kahama wamepewe motisha kutokana na kazi ngumu na hatarishi wanayofanya Na Sebastian Mnakaya Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Mboni Mhita amemuelekeza Mkurugenzi wa Manispaa ya kahama Masudi Kibetu kutoa motisha kwa wauguzi wanaofanya kazi katika mazingira…
May 31, 2025, 3:21 pm
Serikali wilayani Kahama imewapongeza na kuwashukuru shirika la suluhisho la wanawake na vijana (Wayds) kwa kuandaa na kuratibu kongamano la afya ya akili. Na Sebastian Mnakaya Serikali wilayani Kahama imewapongeza na kuwashukuru shirika la suluhisho la wanawake na vijana (wayds)…
20 May 2025, 4:17 pm
Mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na halmashauri imezua kizaa zaa baada ya baadhi ya watu kukosa katika halmashauri ya manispaa ya Geita. Na: Kale Chongela: Baadhi ya wananchi kata ya kalangalala, halmashauri ya manispaa ya Geita wamelalamikia kitendo cha kukosa…