Storm FM

miundombinu

13 April 2024, 3:12 pm

Wajasiriamali wa soko la Lukilini kujengewa vizimba 50

Wafanyabiashara walio wengi hasa wale walioko katika maeneo ya vijijini au nje ya miji hukabiliwa na changamoto ya miundombinu duni ya kufanyia biashara zao Na Kale Chongela – Geita Baadhi ya wajasiriamali waliopo soko la Lukilini Mtaa wa Mkoani Kata…

20 February 2024, 12:10 am

TANESCO yaagizwa kuweka umeme shuleni

Kutokana na kasi ya ukuaji wa teknolojia hasa katika elimu umeme umekuwa lulu kwakuwa vifaa vingi vya kufundishia vinahitaji nishati hiyo. Na Mrisho Sadick: Shirika la umeme Tanzania TANESCO Mkoa wa Geita limeagizwa kufikisha umeme katika Shule ya Sekondari Bugegere…

11 March 2022, 5:38 pm

Mkuu wa mkoa wa Geita akagua miradi Nzera.

Na Zubeda Handrish: Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe. Rosemary Senyamule leo March 10, 2022 amefanya ziara ya kutembelea Miradi ya Maendeleo ikiwamo ya Mradi wa Ujenzi wa Shule ya Sekondari Nzera-Nyanza Kupitia Fedha za Mradi wa Kuboresha Elimu SEQUIP iliyopo katika…

5 April 2021, 6:24 pm

Wananchi Geita wajivunia barabara za mitaa

 Wananchi mjini Geita wameelezea namna walivyoguswa na kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na watakavyoendelea kumuenzi kwa yale aliyowaachia ikiwamo barabara za mitaa zilizojengwa katika kipindi chake. Baadhi ya wakazi wa mtaa…

29 March 2021, 5:14 pm

Miundombinu ya usafiri Mkoani Geita yaboreshwa

Watumiaji wa vyombo vya moto mkoa wa   Geita   wamesema hayati Dkt John Pombe Magufuli, Rais wa awamu ya tano wa jamhuri ya muungano watanzanaia Watamuuenzi  kwa vitendo  kwakuwa alisimamia na kuboresha Miundombinu ya usafiri. Hayo yamesemwa na  Mwenyekiti wa umoja wa…