Storm FM

michezo

30 April 2024, 6:04 pm

Geita queens yavuna alama 1 ligi ya wanawake

Ikiwa ni mwendelezo wa Ligi kuu ya wanawake Tanzania bara, Geita queens yaonesha matumaini kwa kupata sare. Na: Juma Zacharia – Geita Kikosi cha Geita Gold Queens kutoka mkoani Geita kimeendelea kukosa ushindi katika mwendelezo wa ligi kuu wanawake Tanzania…

25 April 2024, 10:43 am

Geita Queens yazidi kudidimia ligi ya wanawake

Ligi kuu ya wanawake Tanzania bara inaendelea ambapo timu mbalimbali za Tanzania zinashiriki katika ligi hiyo Na Juma Zacharia – Geita Kikosi cha Geita gold queens cha mkoani Geita kimedondosha alama tatu katika mwendelezo wa ligi kuu ya wanawake Tanzania…

3 January 2022, 10:50 am

Ajibu maswali na kushinda Fiesta kondom na tisheti.

Na Mrisho Sadick: Washindi wa kujibu maswali juu ya aina za kondom pamoja na matumizi yake sahihi wakikabidhiwa zawadi zao katika Bonanza la michezo mbalimbali la kuukaribisha Mwaka Mpya wa 2022 lililodhaminiwa na Storm FM,  SML na Mcharo Entertainment katika…

3 January 2022, 10:42 am

Storm FM yafungua mwaka 2022 na Bonanza la michezo.

Na Zubeda Handrish: Kituo cha redio cha Storm FM kimeanza mwaka mpya wa 2022 kwa Bonanza la Michezo mbalimbali ikiwemo kukimbiza kuku, Mpira wa miguu, Kukimbia na yai kwenye kijiko ambalo na mingineyo, lililofanyika katika viwanja vya shule ya msingi…