Storm FM

mafuta

28 November 2025, 2:02 pm

Wakulima Manyara washauriwa kulima kilimo cha kisasa

Wakulima mkoani Manyara wametakiwa kulima kilimo cha kisasa kwa kutumia mbegu na viuatilifu bora pamoja na kuzingatia ushauri unaotolewa  na wataalamu wa  kilimo katika maeneo yao. Na Mzidalfa Zaid Wito huo Umetolewa na  mwakilishi wa  mkurugenzi wa halmashauri ya mji…

14 November 2025, 12:19 pm

Jamii yahimizwa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi

Afisa Kilimo, Elton Dickson Mtani, jamii inapaswa kupunguza matumizi ya mbolea za viwandani, kuacha ukataji miti hovyo na kuepuka uharibifu wa vyanzo vya maji, ili kulinda mazingira. Na Catherine Msafiri, Jamii imetakiwa kutunza mazingira na kupunguza shughuli za kibinadamu zinazochangia…

3 September 2025, 9:53 am

Hizi hapa bei mpya za mafuta Geita kwa mwezi Septemba

Kila Jumatano ya kwanza ya kila mwezi mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji nchini (EWURA) hutangaza bei kikomo za mafuta ya Petroli, Dizeli na mafuta ya taa. Na: Ester Mabula Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati…

19 August 2025, 19:23

TAKUKURU Mbeya yaokoa milioni 47 mikopo ya halmashauri

Kwa kutoa taarifa ya vitendo vya rushwa, wananchi wametakiwa kuwasilisha taarifa hizo katika ofisi za TAKUKURU za mkoa na wilaya au kupiga simu bure 113. Na Hobokela Lwinga TAKUKURU mkoa wa Mbeya limefanikiwa kuokoa Zaidi ya shilingi milioni 47 katika…

8 May 2025, 10:43 am

Bei mpya za mafuta kwa mwezi Mei zinazotumika Geita

Kila Jumatano ya kwanza ya mwezi, Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji nchini (EWURA) hutangaza bei mpya kikomo za mafuta ya Petrol, Diesel na Mafuta ya taa. Na: Ester Mabula: Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati…