Storm FM
Storm FM
December 18, 2025, 6:26 pm
Meya wa Jiji la Arusha, Maximilian Iranghe, amesema ziara ya Waziri wa tamisemi, Riziki Shemdoe, mkoani Arusha imelenga kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa jijini humo, ikiwemo ujenzi wa uwanja wa mpira na ujenzi wa soko. Na Mariam Malya Akizungumza…
12 December 2025, 18:53 pm
Wakulima wa korosho Nanyamba wamelalamikia tofauti kubwa ya bei ukilinganisha na Tandahimba, hali inayowalazimisha kuhamishia mazao yao Tandahimba Na Musa Mtepa Baadhi ya wakulima wa zao la korosho wamehoji juu ya utofauti wa bei ya korosho unaojitokeza sokoni kati ya…
10 December 2025, 21:16 pm
Wananchi wa Kitongoji cha Nunu, Msakala, wameamua kuchangia shilingi 2,000 kwa kila nyumba ili kumleta mganga wa jadi baada ya hofu ya “mlipuko wa ugonjwa wa moyo.” suluhisho Na Musa Mtepa Katika hali ya kushangaza, wananchi wa kitongoji cha Nunu…
9 December 2025, 12:25 pm
Afisa wa TASA, imeitaka jamii kutenga muda wa kufikiria na kutoa maamuzi sahihi katika kutatua migogoro, ikisisitiza kuepuka hisia na kutoegemea upande wowote Na Musa Mtepa Jamii imetakiwa kutenga muda wa kufikiria, kuchakata na kutoa maamuzi sahihi katika kutatua migogoro…
8 December 2025, 11:14 am
Serikali imeombwa kuongeza wanunuzi wa zao la mwani ili kuboresha ushindani wa soko huku wakulima wakilalamikia bei ya shilingi 800 ambayo haiendani na gharama za uzalishaji na usafirishaji kutoka baharini Na Musa Mtepa Wakulima wa mwani kutoka Kijiji cha Naumbu,…
5 December 2025, 5:45 pm
Na Hamisi Makungu. Kipindi cha Sauti ya Mwanamke kimeangazia Mabadiliko ya tabianchi yanavyopelekea ukatili wa kijinsia, hasa kwa wanawake waliopo kwenye mnyororo wa uchumi wa buluu. Katika Mjadala kupitia kipindi hiki, wanawake wachuuzi wa Samaki wamepaza sauti zao juu ya…
5 December 2025, 11:45 am
Mwongozo wa uwazi utasaidia kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi katika Jamii na kukuza uwajibikaji kwa wakulima. Na Joyce Buganda Mkutano wa COP 30 umefanikiwa kuweka muongozo wa wazi katika masuala ya fedha na kuongeza uwajibikaji wa mataifa yalioendelea katika kutekeleza…
3 December 2025, 11:47 am
“Kitengo cha dawati la jinsia jeshi la polisi Pangani tuliandaa program ya kuwapa elimu jamii, tulifika katika maskani mbalimbali na nyumba za ibada hivyo imesaidia jamii kuripoti matukio ya ukatili mapema.“Majid Ismail Ally afisa wa polisi kitengo cha dawati la…
2 December 2025, 10:38 am
Na Joyce Buganda Tanzania inatarajiwa kunufaika na fedha hadi dola million 20 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi kupitia mfuko wa kukabiliana na hasara na uharibifu. Nuru FM imekuandalia makala hii maalum…
29 November 2025, 2:42 pm
Katika mjadala tumechambua nini maana ya habari za uongo ,madhara ya habari za uongo ,huku tukitazama namna jamii inavyoweza kutumia njia mbalimbali kuthibitisha habari ili kuepuka madhara Na Catherine Msafiri Hili ndilo swali tulilojadili katika kipindi cha jumamosi kilichowapa nafasi…