Storm FM
Storm FM
8 December 2025, 5:11 pm
Wamiliki wa magari ya shule mkoani Manyara wametakiwa kusimamia magari ya kubeba wanafunzi na kuhakikisha magari hayo ni mazima ili kuondokana na ajali zinazo sababishwa na magari mabovu. Mkuu wa kikosi cha usalama bara barani mkoa wa Manyara Michael Mwakasungula,…
4 December 2025, 14:17
Chakula ni sehemu muhimu sana katika maisha ya mwanafunzi shuleni hasa walio katika umri wa ukuaji, wanahitaji virutubisho vya kutosha kama protini, vitamini, madini, na wanga ili miili yao ikue kwa afya lishe duni inaweza kusababisha kudumaa, udhaifu, na magonjwa…
4 December 2025, 2:13 pm
Halmashauri ya mji wa Babati mkoani Manyara imetoa tuzo na zawadi kwa walimu na shule zilizofanya vizuri katika ufaulu wa masomo . Na Angel Munua Hafla hiyo imefanyika katika uwanja wa Tanzanite Kwaraa ikiwa na lengo la kutoa hamasa kwa…
24 November 2025, 12:32
Wazazi na Walezi Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma wametakiwa kuwa na desturi ya kuanda lishe bora kwa watoto Na Dotto Josephati Wazazi Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma wanatakiwa kuongeza juhudi kwa kuwachangia chakula cha watoto wao shuleni ili iwasaidie kuongeza ufanisi wa…
17 November 2025, 13:20
Na Timotheo Leonard Wananachi Mkoani Kigoma wameaswa kuzingatia lishe bora ya makundi sita ya vyakula ili kuimarisha afya zao kwa kuongeza virutubishi mwilini vinavyoimarisha mwili na akili. Kauli hiyo imetolewa na Afisa lishe Mkoa wa Kigoma James Mbalabo wakati akizungumza na…
8 October 2025, 5:49 am
Licha ya elimu na jitihada mbalimbali zinazofanywa kuzuia ajali za barabarani, bado matukio ya ajali yamekuwa yakitokea na kupelekea vifo, majeruhi pamoja na uharibifu wa mali. Na: Mrisho Sadick Mtu mmoja amefariki Dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa kufuatia ajali ya…
30 September 2025, 7:16 pm
Na Marino Kawishe Wazazi na Walezi wamehimizwa kutokuchoka kujinyima na kuwekeza kwa watoto wao ili wapate elimu bora itakayowasaidia kuchangamkia fursa mbali mbali wanapokuwa wamehitimu mafunzo yao. Akizungumza na wananchi mkoani Manyara kwenye mahafali ya kumi ya shule ya Amka…
15 September 2025, 09:20 am
CCM Mtwara Mikindani yazindua kampeni Septemba 14, 2025, kwa wagombea ubunge na udiwani. Rehema Sombi ataka mshikamano na ushindi wa “mafiga matatu” – Diwani, Mbunge, Rais. Joel Nannauka na Arif Primji waahidi maendeleo na huduma bora kwa wananchi kupitia sera…
4 September 2025, 10:38 am
” Kukaa na mkojo kwa muda mrefu kunaweza kusababisha figo kushindwa kufanya kazi” Na Anna Mhina Wananchi wa Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kuacha tabia ya kubana haja ndogo kwa muda mrefu (mkojo) ili kuepukana na madhara…
2 September 2025, 6:22 pm
Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga amewataka wananchi mkoani Manyara kuzitumia shule za elimu ya watu wazima kwa kujiendeleza kielimu. Na Mzidalfa Zaid Sendiga amesema hayo baada ya kagua na kuweka jiwe la msingi katika jengo la elimu ya…