Wafanyabiashara
19 April 2024, 11:49 am
Samwel na Godi mikononi mwa Dc Maswa kwa kukwepa kulipa kodi
Lazima tuwe wakali kwa wafanyabiashara ambao wamekuwa wanaihujumu Serikali yetu ya Tanzania kwa kukwepa kulipa kodi pale wanapouza na kununua bidhaa na kushindwa kutoa listi za mashine zenye thamani sawa na bidhaa husika. Na, Daniel Manyanga Mkuu wa wilaya ya…
17 April 2024, 10:49 am
DC Maswa ataka ushirikishwaji wa sekta binafsi kuleta maendeleo
Sekta binafsi ni mdau muhimu sana wa maendeleo katika kuwaletea maendeleo wananchi wetu, nendeni mkashirikiane nao, sikilizeni changamoto zao na kuzitatua. Na, Daniel Manyanga Mkuu wa Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu Aswege Kaminyoge amezitaka sekta binafsi na sekta za umma…
28 February 2024, 11:15 am
DC Kaminyoge atoa ufafanuzi changamoto ya sukari wilayani Maswa
Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Mh, Aswege Kaminyoge ametoa ufafanuzi kuhusu Changamoto ya Kupanda kwa bei ya Sukari na kutoa maelekezo ya Serikali kuhusu upatikanaji wa Bidhaa hiyo. Kaminyoge amesema hayo wakati akizungumza na Wafanyabiashara wa Maswa na …
2 December 2023, 7:44 am
Kamati ya siasa Maswa yaridhishwa utekelezaji miradi ya maendeleo
Kamati ya Siasa ya chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Maswa ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama hicho Ndugu Onesmo Makota Imetembelea na Kukagua Miradi mbalimbali ya Maendeleo inayotekelezwa katika Jimbo la Maswa Magharibi. Miradi iliyotembelewa na kukaguliwa na Kamati hiyo …