Sengerema FM

selkari

3 March 2024, 6:58 pm

Fisi Maria14 avuruga kikao cha madiwani Sengerema

Kufuatia kuwepo kwa changamoto ya wanyama fisi katika kata ya Chifunfu iliyopo Halmashauri ya Sengerema mkoani Mwanza Diwani wa kata hiyo Robert Madaha amelifikisha jambo hili kwenye kikao cha Baraza la Madiwani ambapo limeibua hisia mpya baada ya kuonekana baadhi…

22 February 2024, 4:42 pm

Wananchi Sengerema wajitokeza kuchukua vitambulisho vya NIDA

Wananachi wa Kata ya Nyampulukano Wilayani Sengerema  Mkoani Mwanza  Mwanza wamejitokeza kwa wingi kupata  vitambulisho ya Taifa (NIDA). Mamlaka ya vitambulisho vya taifa NIDA Wilaya ya Sengerema imeanza zoezi la ugawaji wa vitambulisho vya NIDA kwa wananchi,huku likiwataka kujitokeza kwa…

13 February 2024, 5:09 pm

CCM Sengerema yaagiza kukamatwa fundi wa nyumba za walimu

Kamati ya Sekretarieti ya ccm Wilaya ya Sengerema inafanya ziara ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa na serkali ya awamu ya Sita, ambapo imekutana na changamoto ya Fundi aliyelipwa fedha na kushindwa kukamilisha majengo ya watumishi kisha kutokomea kusiko…

6 January 2022, 10:42 pm

Sengerema yakabidhi madarasa 129 ya uviko 19.

Jumla ya vyumba vya madarasa mia  moja na ishirini na tisa  vilivyojengwa kwa fedha za uviko 19 halimashauri ya wilaya ya Sengerema vimekamilika na kukabidhiwa kwa mkuu wa mkoa wa Mwanza tayali kusubilia wanafunzi kuanza masomo yao january17 mwaka huu.…