Radio Kwizera

Wanafunzi Mbogwe wasomea chini ya miti

June 14, 2025, 10:09 am

Wanafunzi wa darasa la tano shule ya msingi Mtakuja kata ya Lulembela wilayani Mbogwe mkoani Geita wakisomea chini ya mti. PICHA: Samwel Masunzu

Shule ya msingi Mtakuja kata ya Lulembela wilayani Mbogwe mkoani Geita ina wanafunzi wapatao elfu 1 lakini vyumba vya madarasa havitoshi kulingana na idadi ya wanafunzi.

Na Samwel Masunzu- Geita

Wanafunzi wa darasa la tano na la sita katika  shule ya msingi Mtakuja kata ya Lulembela wilaya ya Mbogwe mkoani Geita, wanalazimika kusomea chini ya miti kutokana na uhaba wa vyumba vya madarasa

Kwa taarifa zaidi Mwandishi wetu Samwel Masunzu anatueleza.

Yaliyojiri Geita- Samwel Masunzu
Mwonekano wa madawati yakiwa chini ya miti katika Shule ya Mtakuja wilayani Mbogwe mkoani Geita. Picha na Samwel Masunzu