Radio Jamii Kilosa

Afya

20 November 2025, 11:58 am

Tanzania kunufaika na dola milioni 20 COP30

“Ofisi ya makamu wa raisi na waziri mkuu ziunganishe mfuko wa maafa” Na Restuta Nyondo Tanzania imepata nafasi ya kipekee ya kunufaika na ruzuku ya dola za Marekani milioni 20 (takriban Sh. bilioni 48), kutoka Mfuko wa kukabiliana na Hasara…

13 November 2025, 3:48 pm

Makosa ya kimtandao yatahadharishwa Zanzibar

Jamii imeaswa kuacha tabia ya kutumia mitandao ya kijamii kuwaumiza na kuwadhalilisha watu wengine, kufanya hivyo ni uvunja haki za watu na kinyume na sheria za nchi. Na Omar Hassan Jamii imeaswa kuacha tabia ya kutumia mitandao ya kijamii kuwaumiza…

13 November 2025, 1:50 pm

Wananchi na TFS wajenga Zahanati ya kijiji Chato

Suala la wananchi wa Butengorumasa kujitolea kwa hiari yao kuanzisha ujenzi wa Zahanati imekuwa mkombozi kwao baada ya TFS kuingilia kati nakukamilisha ujenzi huo. Na Mrisho Sadick: Wakala wa huduma za misitu Tanzania TFS kwa kushirikiana na wakazi wa kijiji…

28 October 2025, 9:52 am

Athari za rushwa kipindi cha uchaguzi

Afisa TAKUKURU mkoa wa Katavi Leonard Minja. Picha na Anna Mhina Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Katavi imeweka bayana athari zitokanazo na rushwa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025.…

25 October 2025, 16:37

RPC Mbeya aongoza wananchi mbio za pole

kutokana kiongozi mbio za mwenge mwaka huu kuitaja halmashauri ya Mbeya kuibuka washindi wa mbio hizo wamefanya tafrija ya kujipongeza pamoja na wananchi. Na Ezra Mwilwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Kamishina Msaidizi Mwandamizi (SACP) Benjamin Kuzaga ameongoza mbio…

24 October 2025, 7:52 pm

Wafanyabiashara Kilosa walia na ukosefu wa choo

Soko hilo la Kilabu cha Mtendeni linahudumia watu wengi kila siku, na bila choo, mazingira yameanza kuwa hatarishi kwa kusababisha uchafuzi unaoweza kusababisha magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu. Na Beatrice Majaliwa Wafanyabiashara wa soko la kilabu cha Mtendeni lililopo katika…