community
10 May 2024, 5:30 PM
Mbunge wa jimbo la Masasi akabidhi vifaa tiba kituo Cha afya mtandi
Mbunge wa Jimbo la Masasi mjini,Geofrey Mwambe (CCM) ametoa vifaa tiba katika kituo cha Afya cha kata ya Mtandi halmashauri ya mji Masasi mkoani Mtwara ili kuweza kuhimarisha upatikanaji wa huduma bora ya afya kwa wananchi wa kata hiyo, vifaa…
3 May 2024, 7:42 PM
Baraza la madiwani lapokea na kujadili taarifa za kata
Baraza la Madiwani Halmashauri ya Mji Masasi chini ya Mwenyekiti wake Mhe. Hashim Namtumba April 30, 2024 limepokea, kujadili na kupitisha taarifa za kata robo ya tatu, 2023/2024 katika mkutano wa Baraza la Madiwani Baraza hilo limepokea, kujadili na kupitisha…
1 May 2024, 12:08 PM
Jela miaka 30 aliyemlaghai mtoto kwa njiwa na simbilisi
Na Lilian Martin. Masasi. Ndugu Habibu Yahya Waziri mkazi wa Nyasa Masasi mwanye umri wa miaka 22 amehukumiwa kifungo Cha miaka 39 jela Kwa kosa la kumlawiti mtoto mwenye umri wa miaka 10 ambaye ni mwanafunzi wa darasa la Tano…
1 May 2024, 11:50 AM
Mshona viatu miaka 30 jela
Na Lilian Martin, Masasi Mkazi wa mtaa wa Dodoma Wilayani Masasi Saidi Bakari mwenye umri wa miaka 42 anaye jishughulisha na ushonaji wa viatu ahukumiwa kifungo Cha miaka 30 jela Kwa kosa la Kumbaka Bi Eva chande mkazi wa mtaa…
22 April 2024, 4:16 PM
Waomba kujitoa katika chama Cha msingi walichopo na kupata chama kipya
Wakulima wakiwa katika kikao Na Lilian Martin Masasi wakulima kutoka vijiji vya Chilimba Lisanje na Misechela vilivyopo Wilayani Masasi wamefanya kikao kilicho hudhuriwa na diwani wa kata hiyo mh.Juma Satma kilicho lenga adhima ya kupata chama Cha msingi kipya na…
4 April 2024, 11:56 AM
Jela miaka 30 Kwa kosa la kumbaka mwanafunzi wake
Mbaroni Kwa kosa la kumbaka mwanafunzi wake
26 March 2022, 3:55 AM
Mkuu wa wilaya ya masasi Claudia kitta amewapongeza viongozi wa Dini
Mkuu wa wilaya ya masasi Claudia kitta amewapongeza viongozi wa Dini ya kiislamu wakiwemo viongozi wa BAKWATA kwa kuendelea kutoa ushirikiano na kushikamana na Serikali kwa lengo la kuleta maendeleo katika Wilaya na kuwataka wasiache moyo huo wa upendo. Kitta…
14 February 2022, 11:23 AM
World radio day at radio fadhila with school children
1 February 2022, 11:32 AM
Halmashauri ya Wilaya ya Masasi imekabidhi Hundi ya Mikopo ya shilingi Milioni…
Halmashauri ya Wilaya ya Masasi Mkoano Mtwara imekabidhi Hundi ya Mikopo ya shilingi Milioni miamoja na hamsini na tano kwa vikundi 33 vya wanawake ,vijana ,na watu wenye ulemavu vilivyopo halmashauri hiyo . Makabidhiano hayo yamefanyika February 1, 2022, katika…
27 January 2022, 12:25 PM
TFS Kanda ya kusini yazindua kampeni ya upandaji wa Miti
WAKALA wa huduma za misitu Tanzania (TFS) kanda ya kusini imezindua rasmi kampeni ya upandaji miti wilayani Masasi mkoani Mtwara katika kipindi hiki cha msimu wa mvua ambapo miti zaidi ya 50,000 inatarajiwa kupandwa katika maeneo mbalimbali ya wazi katika…