Radio Fadhila

community

3 May 2024, 7:42 PM

Baraza la madiwani lapokea na kujadili taarifa za kata

Baraza la Madiwani Halmashauri ya Mji Masasi chini ya Mwenyekiti wake Mhe. Hashim Namtumba April 30, 2024 limepokea, kujadili na kupitisha taarifa za kata robo ya tatu, 2023/2024 katika mkutano wa Baraza la Madiwani Baraza hilo limepokea, kujadili na kupitisha…

1 May 2024, 11:50 AM

Mshona viatu miaka 30 jela

Na Lilian Martin, Masasi Mkazi wa mtaa wa Dodoma Wilayani Masasi Saidi Bakari mwenye umri wa miaka 42 anaye jishughulisha na ushonaji wa viatu ahukumiwa kifungo Cha miaka 30 jela Kwa kosa la Kumbaka Bi Eva chande mkazi wa mtaa…