community
31 August 2021, 2:14 PM
Mwenge Wa Uhuru Wa Zindua Miradi Mbalimbali Ndani Ya Wilaya Ya Masasi Leo.
Kiongozi wa Mwenge wa Uhuru Luteni Mwambashi amegiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU kuchunguza ujenzi wa Jengo la utawala Halmashauri ya Wilaya ya Masasi Mkoa wa Mtwara linalojengwa maeneo ya Mbuyuni . Mwambashi ameyasema hayo wakati wa…
26 August 2021, 5:16 AM
CHAMA Cha Mapinduz Kimewazawadia Vyeti Maalumu
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Masasi mkoani Mtwara kimewazawadia vyeti maalumu vya kutambua mchango na juhudi wanazozifanya ndani ya Chama hicho ikiwemo kufanikisha upatikanaji wa ushindi wa kishindo katika uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani mwaka 2020 Wanachama…
17 July 2021, 5:03 AM
Mazalia ya mbao maarufu kama rapurapu kutumika mkaa!!
Huu ni mkaa ambao umetengenezwa kutokana na mazalia ya mbao maarufu kama rapurapu baada ya mbao kurandwa mkaa huu unasifa bora ya unapotumia kwanza unatumia kiasi kidogo sana cha lakini pia unasifa ya kuwaka kwa muda mrefu tofauti na mkaa…
9 July 2021, 7:31 AM
WAKULIMA wa zao la ufuta wa chama kikuu cha ushirika wa wakulima Masasi wamelipw…
WAKULIMA wa zao la ufuta wa chama kikuu cha ushirika wa wakulima Masasi-Mtwara (MAMCU) mkoani Mtwara wamelipwa fedha zao jumla ya sh.11,702,529,251 ambazo ni mauzo ya jumla ya kilo 5,002,275 katika minada miwili ya zao hilo iliyofanyika mwezi huu wa…
9 July 2021, 7:25 AM
MKUU wa Wilaya ya Masasi mkoani Mtwara, ameomba kupewa ushirikiano wa karibu kut…
MKUU wa Wilaya ya Masasi mkoani Mtwara, Claudia Kitta( katikati) ameomba kupewa ushirikiano wa karibu kutoka kwa watendaji na wananchi wa wilaya hiyo ili kwa pamoja kuweza kufanya kazi kwa bidii katika kutatua kero za wananchi wa wilaya ya Masasi.…
9 July 2021, 7:19 AM
Mtoto ambaye ni Msichan amekufa baada ya fisi kuvamia Jando la wasichana
Mtoto ambaye ni Msichana mwenye umri wa miaka nane wa kijiji cha kivukoni kata ya Chiwale , Wilayani Masasi mkoani Mtwara ambapo mtoto huyo alikuwa amewekwa unyango Jandoni amekufa baada ya fisi kuvamia Jando la wasichana na kumkamata mtoto huyo…
20 May 2021, 11:35 AM
TATEDO Kushirikiana na WWF yatoa majiko 2 na Sufuria 2 kupunguza uharibifu wa ma…
Shirika lisilo la kiserikali TATEDO linalo jihusisha na uendelezaji wa teknolojia na huduma za nishati endelevu tanzania, katika ukanda huu wa ruvuma linatekeleza Mladi wa kuleta mabadiliko katika sekta ya nishati na mradi huu unafaziliwa na WWF tanzania na kushirikiana…
19 May 2021, 5:38 AM
CHAMA Cha Viziwi Tanzania (CHAVITA) Kuweka Madawati Ya Lugha Ya Alama
CHAMA Cha viziwi Tanzania (CHAVITA) tawi la mkoa Mtwara kimeiomba serikali kuweka madawati ya lugha ya alama katika vituo vya kutolea huduma za afya mkoani Mtwara lengo likiwa ni kupunguza vikwazo vya mawasiliano kati ya viziwi na wahudumu wa afya.…
21 April 2021, 12:24 PM
MAMCU wafanya mkutano mkuu wa 21 wa mwaka
WAKULIMA wa Chama kikuu Cha Ushirika wa wakulima Masasi-Mtwara( MAMCU) hii leo April 21 – 2021 wanafanya mkutano mkuu wa 21 wa mwaka wenye lengo la kuchagua viongozi wa bodi wa Chama hicho ikiwemo kusoma mapato na matumizi. Mkutano huo…
21 April 2021, 11:57 AM
Nanyumbu imezindua rasmi mpango wa utekelezaji wa kunusuru kaya masikini
HALMASHAURI ya wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara imezindua rasmi mpango wa utekelezaji wa kunusuru kaya masikini kupitia mfuko wa maendeleoya jamii (TASAF III) kipindi cha pili, awamu ya tatu.Mpango huo ulizinduliwa jana wilayani Nanyumbu katika kikao kazi cha kujenga uwelewa…