community
16 March 2021, 4:08 AM
HOSPITALI ya Mkomaind imenunua mashine ya X-ray
HOSPITALI ya Mkomaindo iliyopo halmashauri ya mji Masasi mkoani Mtwara imenunua mashine tatu za kisasa ikiwemo mashine ya X-ray ambayo ni Digital X-ray Mashine ambapo mashine hizo tatu zina thamani ya sh.161 milioni lengo likiwa ni kuboresha upatikanaji wa huduma…
10 March 2021, 11:45 AM
Ndoa Na Taraka Katika Jamii!!!
Hakimu mkazi mfawidhi mahakama ya mwanzo lisekese masasi LIGHTINESS MASIMBA alipokuwa akizungumza na kipini cha amka na radio fadhila akizungumzia maswala ya ndoa na taraka ameeleza maana ya ndoa kwa mujibu wa sheria ya ndoa sheria number 29 iliyofanyiwa marejeo…
8 March 2021, 4:01 PM
Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani mkoa wa mtwara yafanyika wilayani masas…
Maadhimisho ya siku ya wanawake dunia ambayo huazimishwa kila mwaka ifikapo tarehe 8 mwezi wa 3 yamefikiwa kilele chake hii leo , maadhimisho hayo. katika mkoa wa mtwara yamiadhishwa katika wilaya ya msasasi uwanja wa boma na kuhudhuliwa na viongozi…
4 March 2021, 3:08 PM
Kipindi cha jamii yetu, unyanyasaji wa kijinsia
4 March 2021, 4:12 AM
TAASISI ya (TaTeDo) kwa kushirikiana na Shirika la WWf watoa mafunzo wajasiliam…
TAASISI ya kuendeleza Nishati Asili Tanzania (TaTeDo) kwa kushirikiana na Shirika la WWF wameanza kutoa mafunzo kwa wajasiliamali wadogo wanawake zaidi ya 20 kutoka katika vikundi 10 wilayani Masasi mkoani Mtwara ya kuwajengea uwezo wa umuhimu wa matumizi bora ya…
23 February 2021, 4:55 AM
Kufuatia maadhimisho ya siku ya kuanzishwa kwa skauti Duniani
Kufuatia maadhimisho ya siku ya kuanzishwa kwa skauti Duniani, Wazazi na walezi wilayani Liwale Mkoani Lindi wameombwa kuwahamasisha watoto wao kujiunga na Chama Cha skauti kwani itasaidia kwa watoto hao kuwa wazalendo, wakakamavu, wabunifu na wanaoweza kujitegemea pindi wanapokumbana na…
19 February 2021, 10:02 AM
Waziri Bashungwa Atoa Pole Kwa Waandishi Wa Habari Kufuatia Kifo Cha Mwandishi M…
19 February 2021, 9:56 AM
Mabalozi ‘Wamlilia’ Maalim Sief Sharif Hamad
Mabalozi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa nchini, ‘wamemlilia’ Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad na kumuelezea kwa mema aliyoyafanya enzi za uhai wake hapa duniani. Mabalozi hao wamewasili katika Ofisi Ndogo za Wizara jijini Dar…
18 February 2021, 10:19 AM
Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad Kuzikwa Leo Pemba
Mwili wa Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad utazikwa leo Alhamisi Februari 18, 2021 mjini Pemba, Zanzibar. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inaeleza kuwa mwili wa mwenyekiti huyo wa chama cha…
18 February 2021, 9:21 AM
TANZIA: Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi afariki dunia.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli ametangaza kifo cha Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu, kifo cha Balozi Kijazi kimetokea majira ya saa 3:10…