community
17 February 2021, 10:09 AM
Lishe kwa watoto wenye umri wa miaka 3-5
Watoto katika umri huu wana mahitaji makubwa ya virutubishi kwa sababu wapo katika kipindi cha ukuaji wa haraka. Pia katika kipindi hiki huwa hakuna uangalizi mzuri wa watoto, na hivyo kuwaacha watoto wale chakula peke yao au kula na watoto…
17 February 2021, 9:52 AM
WADAU wa elimu Jimbo la Lulindi Halmashauri kupiga marufuku vitendo kuwafanyia…
WADAU wa elimu Jimbo la Lulindi Halmashauri ya wilaya ya Masasi mkoani Mtwara kwa kauli moja wamepitisha maazimio mbalimbali likiwemo la kupiga marufuku vitendo vinavyofanywa na baadhi ya wazazi wa wanafunzi wa wanaomaliza elimu ya msingi( Darasa la saba) kuwafanyia…
17 January 2021, 11:57 AM
Msanii wa Bongofleva Ilunga Khalifa maarufu C Pwaa amefariki Dunia
Msanii wa Bongofleva Ilunga Khalifa maarufu C Pwaa amefariki Dunia Alfajiri ya kuamkia leo akiwa anapatiwa matibabu Hospitali ya Taifa Muhimbili., Ndugu wa karibu wa C Pwaa amethibitisha kuwa Pwaa alikuwa anaugua Pneumonia na alifikishwa Hospitali kwa matibabu, hali yake…
12 January 2021, 2:57 AM
Diwani wa kata ya Mijelejele Iliyopo Halmashauri ya Wilaya Masasi Ndg Juma pole…
Diwani wa kata ya Mijelejele Iliyopo Halmashauri ya Wilaya Masasi Ndg Juma pole amezindua zoezi la upandaji miti katika kata hio iliyoambatana na kauli mbiu isemayo Mti wangu uhai wangu.Uzinduzi huo pia ulihudhuriwa na Afisa Misitu Wilaya Masasi Ndg Kelvin…
11 January 2021, 4:23 AM
DK Jackson- mazoezi ni sehemu ya afya.
8 January 2021, 4:43 AM
Mbunge wa Jimbo la Ndanda Cecil mwambe amefanya ziara katika Jimbo lake
Mbunge wa Jimbo la Ndanda Cecil mwambe amefanya ziara katika Jimbo lake na kutembelea Jumuiya mbali mbali za maji na kufanya nazo mkutano wenye lengo la kuboresha Shuguli wanazozifanya ili ziweze kufahamika kikatiba . Katika ziara hio aliambatana na Meneja…
31 December 2020, 4:03 AM
Tatizo la kupata Hedhi nyingi kupita kiasi sababu na athari zake
Je ni wakati gani mwanamke anatakiwa kuhisi kuwa anapata hedhi kupita kiasi? Unapata hedhi inayozidi siku 7 Unapata hedhi nzito inayofanya ubadiri pedi moja ndani ya masaa mawili Unapata hedhi nzito inayokulazimu kuvaa pedi zaidi ya moja Unapata hedhi nzito inayolowesha hadi nguo za…
31 December 2020, 3:29 AM
Kaya Zaidi Ya 40 Katika Vijiji Vya Kivukoni Na Chiwale Zakosa Makazi
Chanzo-Hamisi Abdelehemani Nasiri
13 December 2020, 6:10 AM
Wanajamii wachanga fedha kukamilisha mahitaji ya shule.
Mkutano uliowahusisha Wazazi na wanajamii katika shule ya msingi Mpindimbi iliyopo wilayani Masasi kwa lengo kujadili mambo ya maendeleo ya katika shule hiyo Katika mkutano huo pia ilihusisha zoezi la harahambee ya kuchangia ili kukamilisha ujenzi wa ofisi ukarabati wa…
11 December 2020, 8:34 AM
Kipindi Cha Ujasilia Mali- Sanaa ya Uchoraji Kwa Kutumia Rangi Imewaajili vijana…
Msikilize athumani miranzi ni moja ya wasanii wa sanaa ya uchoraji kwa kutumia rangi amefanya kazi nyingi 9AMECHORA PICHA NYINGI na kuziuza inje ya nchi ni mwanasanaa anaetokea kusini pia moja ya kazi zake alizo wa hi kuzifanya utazitazama hapa…