Offline
Play internet radio

Recent posts

20 February 2023, 13:11 pm

Kisa cheje auwawa na kutupwa kando ya bahari

Jeshi la Polisi mkoani Mtwara limesema linaendelea kufanya uchunguzi wa mauaji ya mwanaume mmoja aitwaye Abdul Shaa Abdulmajidi mwenye umri wa miaka 47, ambaye amekutwa akiwa amefariki baada ya kupigwa na kitu chenye ncha kali kichwani na mtu au watu…

7 February 2023, 13:31 pm

Mamcu & Tanecu zarejesha kwa jamii

Chama Kikuu cha Ushirika wa Mazao cha Masasi, Mtwara Cooperative Union (MAMCU) na Tandahimba, Newala Cooperative Union (TANECU) vimetoa Gawio la Shilingi Milioni 253 kuchangia utatuzi wa changamoto zilizopo katika sekta za Elimu, Maji na Afya kwa mkoa wa Mtwara.…

7 February 2023, 11:58 am

Aondolewa kwenye makazi baada ya miaka 24

Na Zainabu Jambia Uongozi wa Serikali ya mtaa wa Namtibwili kata ya Chuno manispaa ya Mtwara- Mikindani, mkoani Mtwara umesikitishwa na kitendo kilichofanywa na kampuni moja ya udalali iliyotajwa kwa jina la Adili, kuiondoa kwa nguvu kwenye nyumba familia ya…

3 February 2023, 12:14 pm

Zahanati Mnyawa mikononi mwa mkuu wa mkoa

Wameiomba serikali kusaidia ukamilishaji wa ujenzi wa kituo cha afya ili kuwapunguzia adha ya kujifungulia majumbani mwao. Na Hamza Ally Mkuu wa mkoa wa Mtwara Kanali Ahmed Abbas amemwagiza Mhandisi wa wilaya ya Tandahimba m kufanya tathmini ya gharama za…

31 January 2023, 12:23 pm

Hekima na busara, sababu ya amani msimbati

Jaji Mfawidhi wa Makahama Kuu ya Kanda ya Mtwara Mhe.Zainab Muruke amemtaja mzee Issa Mohamed Mkumba kuwa ni kinara wa kutatua changamoto za migogoro katika jamii bila kufikishana katika vyombo vya usuluhishi na Mahakama. Na Hamza Ally Mzee Mkumba amekua…

30 January 2023, 12:32 pm

Apatikana akiwa amefariki eneo la mpakani

Na: Hamza Ally Taarifa za awali zinadai kuwa mwili wa Elvida Anael maarufu kwa jina la Mama Chamicha, ambaye ni mstaafu wa Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara-Mikindani idara ya Mifugo toka mwaka 2020, umekutwa maeneo ya mpakani mwa Mkoa wa…

13 December 2022, 11:14 am

Bandari Mtwara inavyokabiliana na vumbi la makaa ya mawe

na Mc Kaluta Mizinga sita ya kumwaga maji (Misty Cannon Sprayer) imefungwa katika bandari ya Mtwara ili kudhibiti vumbi la makaa ya mawe kutoka katika maeneo hayo. Lakini pia magari ya kumwaga maji na kunyonya vumbi yanafanyakazi kutwa nzima ili…

About Us

This is an example page. It’s different from a blog post because it will stay in one place and will show up in your site navigation (in most themes). Most people start with an About page that introduces them to potential site visitors. It might say something like this:

Hi there! I’m a bike messenger by day, aspiring actor by night, and this is my website. I live in Los Angeles, have a great dog named Jack, and I like piƱa coladas. (And gettin’ caught in the rain.)

…or something like this:

The XYZ Doohickey Company was founded in 1971, and has been providing quality doohickeys to the public ever since. Located in Gotham City, XYZ employs over 2,000 people and does all kinds of awesome things for the Gotham community.

As a new WordPress user, you should go to your dashboard to delete this page and create new pages for your content. Have fun!