MFUMUKO WA BEI
6 March 2023, 10:03 pm
Shilole atoa wito huu kwa wazazi Mitandaoni.
Msanii wa muziki na mjasiriamali maarufu Tanzania Bi. Zuwena Mohamed maarufu kama ‘Shilole’ ametoa wito kwa wanawake kuwalinda watoto wao dhidi ya vitendo vya ukatili vinavyoweza kutokana na matumizi ya mitandao ya kijamii. Shilole alikuwa moja ya wageni walopata afas…
6 March 2023, 9:55 pm
Mwenyekiti U.W.T awasisitiza wanawake Kugombea
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania UWT Bi. Mary Pius Chatanda amewataka wanawake kuhakikisha wanachukua fomu kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika chaguzi zijazo. Bi Chatanda ameyasema hayo katika maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani, ambayo yamefanyika wilayani Pangani hapo…
1 March 2023, 1:53 pm
Barabara ya Lami Tanga-Pangani hii hapa.
Barabara ya Tanga-Pangani KM 50, ni sehemu ya barabara ya Tanga- Pangani- Saadani -Bagamoyo yenye urefu wa KM 256 ambayo ni sehemu ya barabara kuu ya Horohoro-Tanga- Pangani- Saadani – Bagamoyo hadi Dar es Salaam kwa upande wa Tanzania na…
25 February 2023, 4:50 pm
Polisi Muheza waingilia kati utoro unaosababishwa na Machungwa
Na Saa Zumo Baadhi ya vijana wilayani Muheza Mkoani Tanga wamekumbwa na tabia ya kutotilia mkazo suala la Elimu na kukimbilia katika biashara ya uuzaji wa machungwa. Kutokana na wilaya hiyo kuzalisha kwa wingi machugwa zao hilo ni rahisi kupatikana…
16 February 2023, 4:09 pm
Ombi la Aweso kwa Mkuu wa wilaya ya Pangani
Na Saa Zumo Mbunge wa Jimb la Pangani Mkoani Tanga Mheshimiwa Jumaa Hamidu Aweso amemshauri mkuu wa wilaya ya Pangani Bi. Zainabu Abdalla kuliweka suala la kushughulikia changamoto zilizopo katika Hospitali ya Halmashaur ya wilaya hiyo katika moja ya vipaumbele…
15 February 2023, 4:55 pm
Hatua zaanza dhidi ya athari za mabadiliko ya tabianchi kwa wanawake Pangani
Na Erick Mallya Wadau mbalimbali wilayani Pangani Mkoani Tanga wametakiwa kuogeza jitihada zao katika utunzaji wa mazingira na kuiwezesha jamii kushiriki kikamilifu katika kuzuia na kustahimili mabadiliko ya tabia nchi ili kuwanusuru wanawake dhidi ya masaibu mbalimbali wanayokutana nayo ambayo…
8 February 2023, 12:08 pm
Yaliyoibuka kwenye ziara ya kushtukiza ya DC kwenye soko la Pangani
Soko la Pangani liko kwenye maboresho makubwa yaliyoplekea kituo cha mabasi ya Pangani-Tanga na Pangani-Muheza kilichokuwa ndani ya Soko hilo kuhamishwa ili kupisha maboresho hayo. Kwa miaka mingi soko hilo limekuwa taswira ya mji wa Pangani na kituo maarufu kwa…
2 February 2023, 9:01 pm
Mkuu wa wilaya atoa agizo hili katika Sheria Pangani.
Na Saa Zumo kushirikiana na Erick Mallya Kauli mbiu ya wiki ya Sheria mwaka 2023 ni ‘Umuhimu wa Utatuzi wa Migogoro kwa Njia ya Usuluhishi Katika Kukuza Uchumi Endelevu: Wajibu wa Mahakama na Wadau.’ Mkuu wa wilaya ya Pangani Bi.…
31 January 2023, 11:56 am
DAS Pangani atangaza hatua dhidi ya wazazi wasiochangia chakula Shuleni
Jumla ya wanafunzi 280 walifanya mitihani ya Darasa la Saba mwaka 2022 katika shule ya msingi Kipumbwi. Waliochaguliwa kujiunga na Elimu ya Sekondari ni 219 na ambao hawakufanikiwa kupata alama za kutosha kuendelea na elimu ya Sekondari ni 61. Na…
22 February 2022, 7:03 pm
Halmashauri Pangani yatoa ufafanuzi kupanda kwa bei ya nafaka na vifaa vya ujenz…
Halmashauri ya Wilaya ya Pangani Mkoani Tanga imeendelea kushuhudia kupanda kwa bei za baadhi ya bidhaa ikiwemo za Nafaka na Vifaa vya Ujenzi huku ongezeko hilo likitajwa kuwa ni kutokana na hali ya uzalishaji nchini. Hayo yameelezwa hii leo na…