Pangani FM

MFUMUKO WA BEI

6 March 2023, 10:03 pm

Shilole atoa wito huu kwa wazazi Mitandaoni.

Msanii wa muziki na mjasiriamali maarufu Tanzania Bi. Zuwena Mohamed maarufu kama ‘Shilole’ ametoa wito kwa  wanawake kuwalinda  watoto wao dhidi ya vitendo vya ukatili vinavyoweza kutokana na  matumizi ya mitandao ya kijamii. Shilole alikuwa moja ya wageni walopata afas…

6 March 2023, 9:55 pm

Mwenyekiti U.W.T awasisitiza wanawake Kugombea

Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania UWT Bi. Mary Pius Chatanda  amewataka wanawake kuhakikisha wanachukua fomu kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika chaguzi zijazo. Bi Chatanda ameyasema hayo katika maadhimisho ya siku ya wanawake  Duniani, ambayo yamefanyika wilayani Pangani hapo…

1 March 2023, 1:53 pm

Barabara ya Lami Tanga-Pangani hii hapa.

Barabara ya Tanga-Pangani KM 50, ni sehemu ya barabara ya Tanga- Pangani- Saadani -Bagamoyo  yenye urefu wa KM 256 ambayo ni sehemu ya barabara kuu ya Horohoro-Tanga- Pangani- Saadani – Bagamoyo  hadi Dar es Salaam kwa upande wa Tanzania na…

16 February 2023, 4:09 pm

Ombi la Aweso kwa Mkuu wa wilaya ya Pangani

Na Saa Zumo Mbunge wa Jimb la Pangani Mkoani Tanga Mheshimiwa Jumaa Hamidu Aweso amemshauri mkuu wa wilaya ya Pangani Bi. Zainabu Abdalla kuliweka suala la kushughulikia changamoto zilizopo katika Hospitali ya Halmashaur ya wilaya hiyo katika moja ya vipaumbele…