Uncategorized
19 October 2022, 2:50 pm
Mpango wa Ofisi ya Umwagiliaji Pangani.
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekusudia kuanzisha Ofisi ya umwagiliaji wilayani Pangani ili kusaidia sekta ya kilimo wilayani humo ambayo imeonekana kuathiriwa na mabadiliko ya tabia nchi huku wahanga wakubwa wakitajwa kuwa ni wakulima wadogo Katika mahojiano…
19 October 2022, 1:51 pm
Benzema ashinda Ballon d’Or kwa Sauti ya Pangani FM.
Ulimwengu wa Soka hujumuika mara moja kwa kila mwaka tangu mwaka 1956 ili kumtangaza mwanasoka bora wa mwaka husika. Oktoba 15 mwaka huu jijini Paris pale katika Théâtre du Châtelet Mshambuliaji wa Klabu ya Real Madrid na Timu ya…
20 September 2022, 2:53 pm
Watu 900 watibiwa macho Pangani
Zaidi ya watu 900 wamepatiwa matibabu ya macho katika Hospitai ya wilaya ya Pangani kati ya tarehe 10-15 mwezi huu. Matibabu hayo yamefanyika kufuatia kambi maalum ya matibabu iliyowekwa Hospitalini hapo. Pangani FM imezungumza na Dk. Joan Amos Kibula…
5 September 2022, 9:21 pm
Mwanafunzi bora wa kijiji aomba msaada kuendelea na masomo Pangani
Mwanafunzi Aisha Ramadhani (20) mkazi wa Kijiji cha Stahabu wilayani Pangani mkoani Tanga ameomba wadau mbalimbali kumsaidiwa kwa hali na mali ili ili aweze kumudu kujiunga na masomo ya chuo baada ya kufanikiwa kuhitimu na kufaulu masomo ya Sekondari. …
19 August 2022, 10:22 am
Stamina ndani ya Banja Beat ya Pangani FM
Niaje, Karibu kusikiliza Podcast ya Pangani FM Leo hii tumekuletea mkali wa vina na ‘wordplay’ stamina ambaye amepia stori na Mtangazaji wetu Stephano Simanagwa katika kipindi cha Banja Beat kinachokwenda hewani Jumatatu mpaka Ijumaa saa 8 kamili mchana mpaka saa…
17 August 2022, 4:04 pm
Watu Nane wa Familia Moja wahisiwa kula chakula chenye Sumu Pangani.
Hali ya afya ya watu wa familia moja waliopata madhara baada ya kula chakula kinachohisiwa kuwa kimechanganyika na sumu wilayani Pangani Mkoani Tanga inaendelea vizuri na tayari saba kati yao wameruhusiwa kutoka hospitalini huku mmoja akiwa anaendelea kupatiwa matibabu.…
26 July 2022, 6:55 pm
Funguni Sekondari yapokea Milioni Mia Mbili za Mabweni.
Shule ya Sekondari Funguni iliyopo Wilayani Pangani mkoani Tanga imepokea kiasi cha pesa shilingi millioni mia mbili kwa ajili ya ujenzi wa mabweni ya wanafunzi wakike na wakiume. Akizungumza na Pangni FM katibu tawala Wilaya ya Pangani Mwalimu Hassani Nyange…
6 July 2022, 5:52 pm
Aweso atembelea mradi wa Barabara ya Tanga-Pangani-Bagamoyo
Mapema leo Mhe Mbunge wa Jimbo la Pangani Jumaa Hamidu Aweso amefanya ziara ya kujionea, kukagua na kupokea taarifa ya Utekelezaji wa Mradi wa Ujenzi wa Barabara ya Tanga-Pangani. Akiwa kijiji cha Choba pia amezungumza na wananchi wa eneo hilo…
30 June 2022, 11:11 am
Wakulima Pangani kupima hali ya Udongo wa Mashamba yao.
Wakulima wilayani Pangani mkoani Tanga wameshauriwa kuwa na utaratibu wa kupima hali ya afya ya udongo katika mashamba yao ili kutambua njia bora ya kusimamia ukuaji wa mazao yao na kuongeza tija katika shughuli zao za kilimo. Hayo yamezungumza na…
28 June 2022, 6:30 pm
Marufuku Bidhaa za Misitu kubebwa kwenye Pikipiki Pangani.
Wakala wa Huduma za Misitu (TFS) wilayani Pangani mkoani Tanga imepiga marufuku ubebaji wa mazao ya misitu ikiwemo mkaa kwa kutumia pikipiki ikiwa ni sehemu ya kupunguza mianya ya utoroshaji wa mazao hayo kwa njia za magendo. Afisa mhifadhi wa…