Pambazuko FM Radio

uhifadhi

2 May 2024, 7:23 pm

Ujangili unakuingiza kwenye makosa ya jinai-Kipindi

Jamii katika Bonde la Kilombero imetakiwa kufuata sheria zilizowekwa katika kuvuna rasilimali mbalimbali badala ya kufanya ujangili hali ambayo watajikuta wakiangukia kwenye makosa ya jinai. Mhifadhi Pori la Akiba Kilombero Kamanda Bigilamungu Kagoma amesema ili mtu aweze kuvuna rasilimali zinazosimamiwa…