uhifadhi
2 May 2024, 7:30 pm
Kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi ni kubadili tabia-Kipindi
Jamii imetakiwa kubadili tabia katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi ili kuzuia athari zitokanazo na uharibifu wa mazingira ya asili. Afisa Mazingira kutoka Idara ya Mazingira na Maliasili Halmashauri ya Mji wa Ifakara Salome Mayenga ameyasema hayo wakati akizungumza na…
2 May 2024, 7:23 pm
Ujangili unakuingiza kwenye makosa ya jinai-Kipindi
Jamii katika Bonde la Kilombero imetakiwa kufuata sheria zilizowekwa katika kuvuna rasilimali mbalimbali badala ya kufanya ujangili hali ambayo watajikuta wakiangukia kwenye makosa ya jinai. Mhifadhi Pori la Akiba Kilombero Kamanda Bigilamungu Kagoma amesema ili mtu aweze kuvuna rasilimali zinazosimamiwa…
2 May 2024, 7:17 pm
Jamii yatakiwa kuchukua hatua kukabiliana na Uharibifu wa Bionuai-Kilombero
Matumizi ya Nishati Mbadala na Majiko Banifu vimetajwa kusaidia Kupunguza utegemezi wa Mazao ya Misitu na kuelezwa kuwa njia moja wapo ya kukabiliana na Uharibifu wa Bianoai. Isack Shonga ni Afisa Mazingira Kutoka Shirika la Association Maingira ameyasema hayo wakati…
2 May 2024, 7:08 pm
Bionuai Hatarini kutokana na shughuli za Kibinadamu-Kilombero
Shughuli za Kibinadamu katika Bonde la Kilombero zimetajwa kuhatarisha uhifadhi wa Bionuai. Mratibu kutoka Shirika la Association Mazingira amezitaja shughuli hizo wakati akizungumza Na Radio pambazuko Fm kutokana na Uwepo wa Watu wanaolima kwa kuhama hama na Kuandaa mashamba kwa…
20 February 2024, 11:51 am
TAWA: Pori la akiba Kilombero lazima lilindwe kwa nguvu zote
Pori la akiba la Kilombero ni chanzo kikubwa cha maji katika mradi mkubwa wa kufua umeme katika Bwawa la Mwalimu Nyerere hivyo kuna kila sababu ya kulilinda ili mradi huo wa kimkakati uweze kukamilika Na Elias Maganga Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori…