Pambazuko FM Radio
Pambazuko FM Radio
17 December 2025, 9:30 pm
Katika mwaka wa fedha 2025/2026 walitengewa jumla ya kiasi cha Shilingi Bilioni 12.3 kwa ajili ya utekelezaji wa kazi za matengenezo ya aina mbalimbali ya barabara na madaraja Na Mrisho Sadick: Serikali mkoani Geita imetangaza rasmi kuanza kumkata fedha mkandarasi…
16 December 2025, 9:29 pm
Na Mary Julius. Mkurugenzi wa Mipango na Uwekezaji wa Mfuko wa Huduma za Afya Zanzibar (ZHSF), Khalifa Hilal Muumin, amewataka Masheha kote Zanzibar kuimarisha utoaji wa elimu kwa wananchi katika shehia zao kuhusu Mfuko wa Huduma za Afya Zanzibar (ZHSF),…
10 December 2025, 9:06 pm
Na Mary Julius. Katika harakati za kuimarisha mapambano dhidi ya maambukizi ya Virusi vya UKIMWI Zanzibar, Afisa Ufuatiliaji na Tathmini wa Tume ya UKIMWI Zanzibar, Khamis Haroun Hamad, ameibuka na kampeni kabambe inayolenga moja kwa moja wanafunzi wa vyuo vikuu,…
1 December 2025, 7:20 pm
Na Mary Julius. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema itahakikisha inaongeza Bajeti katika kusimamia utoaji wa huduma za afya kwa watu wanao ishi na virusi vya ukimwi ili kuimarisha upatikanaji wa huduma hizo kwa uhakika hayo yamebainishwa na Makamu wa…
18 November 2025, 12:02 pm
Jeshi la polisi limewataka waendesha Bodaboda mkoani Geita kuepukana na matukio yanayoweza kuhatarisha usalama wa maisha yao. Na Edga Rwenduru: Jeshi la polisi mkoani Geita limetoa maelekezo kwa umoja wa waendesha pikipiki mkoa wa Geita kuhakikisha wanasimamia sheria ndogo ndogo…
14 November 2025, 8:33 pm
Na Mwandishi wetu SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema itaendelea kuchukua hatua mbalimbali kuhakikisha ustawi wa watu wanaoishi na changamoto za ugonjwa wa kisukari unaimarika. Mkurugenzi wa Kinga na Elimu ya Afya, Dk. Salim Slim, amesema hayo wakati akifungua kongamano…
11 November 2025, 4:55 pm
Mkandarasi wa mradi huo hatapewa muda wa nyongeza baada ya siku 100 kukamiliza mapema mwezi wa pili mwaka kesho. Na Mrisho Sadick: Wananchi wa Mtaa wa Mwatulole Manispaa ya Geita Mkoani Geita wameiomba serikali kuendelea kumsukuma mkandarasi anayetekeleza mradi wa…
5 November 2025, 19:08 pm
Tutahakikisha elimu jumuishi inatekelezwa kwa vitendo ili kutatua changamoto zinazowakabili wanafunzi wenye ulemavu na kuboresha kiwango cha elimu mkoani Mtwara Na Msafiri Kipila Shirika lisilo la kiserikali Sport Development Aid (SDA) kwa kushirikiana na Jamii FM, linaendelea kuhimiza jamii kuwashirikisha…
October 29, 2025, 12:35 pm
Picha ya mkuu wa mkoa wa manyara Queen Sendiga akiwa tayari amepiga kura Wananchi wilaya ya Babati wamejitokeza katika vituo vyao walivyojiandikishia kwa ajili ya zoezi la kupiga kura Na Linda Moseka Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga mapema…
October 28, 2025, 2:17 pm
Picha ya msimamizi wa uchaguzi jimbo la Babati Mjini Simon Mumbee Wananch wametakiwa kufanya uhakiki mapema wa majina kwenye vitio walivyojiandikishia kabla ya kuingia kwenye vyumba vya kupigia kura tarehe 29 oktoba 2025 Na Kudra Massaga Jumla ya wapiga kura…