Uncategorized
22 April 2024, 6:49 pm
Wakazi uwanja wa taifa A mjiini Ifakara wakosa huduma za maji na choo kutokana n…
Na: Katalina Liombechi Mafuriko yamekuwa chanzo cha kukosa huduma muhimu za kibinadamu, kama vile; maji ya kunywa, vyoo, malazi na hata chakula. Hali hiyo pia imesimamisha baadhi ya shughuli za kila siku kwa kaya zilizokumbwa na mafuriko, hivyo njaa, magonjwa…
10 April 2024, 11:37 pm
Waathirika wa mafuriko Ifakara wapata msaada
Picha ya waathiriika wakiwa kwenye moja ya kambi – Picha na Katalina Liombechi Na Katalina Liombechi Mbunge wa Jimbo la Kilombero Mh Aboubakar Asenga Ametoa Msaada wa vyakula kwa Waathirika wa Mafuriko 135 walioweka kambi katika Shule ya Msingi Kiyongwile…
8 April 2024, 6:02 pm
Ulanga: Shule ya msingi Kivukoni yaendelea kufungwa kutokana na mafuriko
“Kama maji yatakauka kabla ya April 15 mwaka huu shule ifunguliwe na kama hayatakauka shule isifunguliwe” Ni maagizo ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmshauri ya Wilaya ya Ulanga Saida Mahugu. Na Elias Maganga Wakati shule zote zikifunguliwa baada ya mapumziko ya…
8 April 2024, 4:42 pm
Mbunge Asenga aiomba Serikali msaada wa dharura wa chakula kwa Wahanga wa Mafuri…
“Mpaka sasa Mh Naibu spika zaidi ya wananchi 300 wamehifadhiwa katika baadhi ya Shule,Je serikali na Wizara inamsaidiaje kupata chakula cha dharula kwa wananchi wa Jimbo la Kilombero?“-Mbunge wa Jimbo la Kilombero Mh,Abubakar Asenga Na Elias Maganga Mbunge wa Jimbo…
3 April 2024, 1:37 pm
Vijana Ifakara wanatakiwa kupambana kwa kufanya kazi na wasikate tamaa.
Na Elias Maganga Mkuu wa Wilaya ya Nkasi Peter Lijualikali ambaye aliwahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Kilombero amewataka vijana kupambana kwa kufanya kazi ili kuzikamilisha ndoto zao. Mh, Lijualikali ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na Pambazukofm kupitia Kipindi cha jioni…
3 April 2024, 11:58 am
Ujenzi wa Mabwawa ya kuvuna maji ya mvua yatasaidia kuondoa Mafuriko- Ifakara
“Maelekezo ya Mh Rais Samia Suluhu Hassani kwa Wizara ya maji na sekta zake ni kuhakikisha wanajenga mabwawa ya kimkakati ya kuvuna maji ya mvua ili kuzuia mafuriko”=Waziri wa Maji Mh,Juma Aweso Na Elias Maganga Wizara ya maji imesema leo…
2 April 2024, 3:43 pm
Dkt. Biteko aipongeza Tanesco kurejesha umeme
“Hakuna mgao wala upungufu wa umeme kwa sasa hiki kilichotokea ni hitilafu kwenye mitambo ya kuzalisha umeme” Naibu Waziri Mkuu Dotto Biteko Na Elias Maganga Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko amelipongeza shirika la…
1 April 2024, 2:30 pm
Wanusurika kifo baada ya nyumba yao kubomoka-Ifakara
“Hakuna kifo wala majeruhi kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha baada ya nyumba kubomoka ambayo imeacha familia ya watu watatu kukosa makazi,ambapo kwa sasa wamehifadhiwa katika Jengo la Ccm kata ya Kibaoni katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara“-Afisa Mtendaji wa…
28 March 2024, 5:13 pm
Uharibifu wa mazingira unavyogharimu maisha ya watu
‘‘Mnapojadiliana mikakati mtakayokuja nayo ni lazima, lazima nasema lazima ijibu hali ya umasikini sio kumwambia mtu asikate mti bila kumwambia afanye nini’’ Amesema Katibu Tawala Alhaj Mussa Ally Mussa Na Katalina Liombechi Imeelezwa kuwa Matokeo ya Uharibifu wa Mazingira katika…
27 March 2024, 12:21 pm
Tawa inavyolinda Pori la Akiba la Kilombero kama chanzo muhimu cha maji-Makala
Makala inayoelezea Jitihada zinazofanywa na Tawa kulinda Pori la Akiba la Kilombero kama chanzo muhimu cha maji katika Bwawa la Mwalimu Nyerere.