WAJIBU WA WAZAZI
20 March 2024, 4:51 pm
Wazazi wahimizwa kutoa michango ya shule kwa wakati.
Kikao cha wazazi na uongozi wa shule wa msingi Terrat Wilaya ya Simanjiro kimeazimia kushirikiana kuhakikisha kutatua changamoto zilizopo shuleni hapo ikiwepo tatizo la upungufu wa walimu. Na Joyce Elius, Terrat. Kikao hicho kilichofanyika tarehe 19.03.2024 kimeongozwa na Mwalimu Mkuu…
14 December 2023, 11:41 am
Kufanya mazoezi pamoja kwatajwa kuongeza ushirikiano
[picha kwa msaada wa mtandao] “Kwanza michezo inaleta watu pamoja, kufahamiana kuleta ule undugu …pia mazoezi yanaongeza muda wa kuishi” Mratibu ndg. Mbaga Na Isack Dickson Mratibu wa michezo wilaya ya simanjiro mkoa wa manyara bwana CHARLES MSENGI MBAGA Amesema…
7 December 2023, 5:36 pm
Uhaba wa miundombinu, vifaa tiba kituo cha afya Mererani
Kituo cha afya Mererani. Picha na Mwandishi wetu Joyce Elius Kituo cha afya Merereni kilichopo kata ya Endiamutu mji mdogo wa Mererani wilayani Simanjiro kinakabiliwa na uhaba wa miundombinu na vifaa tiba hali inayosababisha wananchi wa eneo hilo kulazimika kupatia…
15 June 2023, 9:19 am
MAKALA:Jinsi uchangiaji damu ulivyo na faida kwako mchangiaji.
Kuchangia damu kunafaida si kwa wale wanaokwenda kusaidiwa kwa ile damu uliyochangia lakini pia kwako mchangiaji,kwani unapata namba na cheti cha kuonesha kuwa ni mchangiaji damu kitakachokufanya utambulike kama mchangiaji damu. Na Isack Dickson Kila tarehe 14 ya kila mwaka…