Nuru FM
Nuru FM
13 June 2025, 12:05
Mbeya yazindua Mpango Mkakati wa Maendeleo 2025–2030 kufungua ukurasa mpya wa maendeleo jumuishi Na Samwel Mpogole Halmashauri ya Jiji la Mbeya imezindua rasmi Mpango Mkakati wa Maendeleo kwa kipindi cha miaka mitano ijayo, 2025 hadi 2030, katika hafla iliyofanyika jijini…
13 June 2025, 11:09 am
Wanawake wamehamasishwa kujitokeza kwa wingi kupambania nafasi za uongozi ili kuingia kwenye ngazi za uamuzi. Na Hafidh Ally Kuelekea uchaguzi Mkuu wa Okt 2025, Wanawake Mkoani Iringa wametakiwa kujitokeza kuwania nafasi mbalimbali za uongozi ili kupata wawakilishi watakaosemea changamoto zao.…
12 June 2025, 17:20
Mkugenzi wa kiwanda cha kuzarisha mafuta ya kula hapa wilayani kyela amechangia saruji na mbao katika ujenzi wa nyumba ya katibu wa wazazi wilaya ya Kyela. Na James Mwakyembe Mdau wa maendeleo na mkurugenzi wa kiwanda cha mafuta ya kula…
11 June 2025, 16:33
Waandishi wa habari Mbeya waaswa kujiandaa kwa maisha baada ya utumishi Na Samwel Mpogole Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari mkoani Mbeya wamepewa mafunzo na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), yenye lengo la…
June 7, 2025, 7:00 pm
Wananchi wa kijiji cha Mti mmoja wamepoteza matumaini yao ya utatuzi wa mgogoro wa ardhi baina ya mtu binafsi na eneo la malisho maarufu Sepeko baada ya Mkuu wa Wilaya ya Monduli kutoonekana katika eneo la mgogoro kama alivyoahidi. Na…
30 May 2025, 12:45
Wanaojihusisha na uuzaji pamoja na usambazaji wa bidhaa bandia kuchukuliwa hatuakali ikiwa ni pamoja na kufikishwa mahakamani Na Samwel Mpogole Serikali imesema haitosita kumchukulia hatua mzalishaji au msambazaji wa bidhaa yeyote atakayezalisha u kusambaza bidhaa feki ikiwemo kuingiza nchini kwani…
29 May 2025, 9:00 am
Makala hii inatazama ni upi ushiriki wa wanawake katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025. Na Hafidh Ally na Dorice Olambo Katika kuondokana na changamoto ya wanawake kushiriki kwenye nafasi za uongozi katika uchaguzi, Nuru FM imeandaa makala yenye lengo la…
28 May 2025, 10:07 pm
Mafunzo ya udhibiti ubora wa mbegu za kilimo yanayotolewa na taasisi ya (TOSCI) kwenye mradi wa Youth Enterprenuership for the future of food and agriculture (YEFA) Na Henry keto, Hai-kilimanjaro Kaimu mkurugenzi wilaya ya Hai ambaye pia ni Afisa Kilimo…
27 May 2025, 11:11 am
“Mazao ya kibiashara katika nchi yetu hususani zao la kahawa kwa mkoa wetu wa Kilimanjaro, tumedharau zao la kahawa, tunakata mikahawa na kujenga majumba lakini tukumbuke kwamba mikahawa hiyo ndio imewasomesha watoto wetu kufika chuo kikuu” Na Elizabeth Mafie-Moshi Kilimanjaro…
May 26, 2025, 12:58 pm
Mgogoro wa barabara uliodumu kwa takribani wiki mbili baina ya wananchi na mwekazaji katika kata ya Olmot mtaa wa Mateves Ngaramtoni ya chini umetatuliwa na wananchi kupata barabara. Na Gasper Sambweti Wakizungumza na Savvy FM wananchi wa Ngaramtoni ya chini…