Nuru FM
Nuru FM
9 February 2025, 1:27 pm
Na Mwandishi wetu Mjumbe wa Mkutano Mkuu UWT Taifa Wilaya ya Handeni Bi Mariam Mwanilwa amechangia Bati 40 kwa familia ya watoto Yatima 6 iliyopo Mtaa wa Zizini Kata ya Chanika Wilaya ya Handeni Mkoani Tanga. Akizungumza wakati wa kukabidhi…
7 February 2025, 4:51 pm
Na Omar Hassan Watendaji wa Madawati ya Jinsia na watoto ya Jeshi la Polisi wametakiwa kuongeza nguvu katika kushughulikia Kesi za Udhalilishaji wa kijinsia na ukatili dhidi ya watoto ili kudhibiti matukio hayo na kuifanya jamii ibaki salama.Akifungua mafunzo ya…
1 February 2025, 9:47 am
Na Hafidh Ally Halmshauri ya Mafinga Mji Mkoani Iringa imepitisha jumla ya shilingi Bilioni 31.5 katika Bajeti ya Mwaka wa fedha 2025/2026. Akiwasilisha rasimu ya Mpango wa Bajeti ya 2025/2026 katika Baraza Madiwani, Afisa Mipango Halmashauri ya Mji Mafinga, Peter…
28 January 2025, 3:16 pm
Na Hafidh Ally Taasisi ya Kuzuia na Kupambana Rushwa Takukuru Mkoa wa Iringa imebaini kasoro katika mradi wa maji wenye thamani ya Bilioni 1.5 fedha za Mfuko wa Maji wa Taifa. Akizungumza na waandishi wa habari Mkuu wa Takukuru Mkoa…
28 January 2025, 12:31 pm
Licha ya serikali kupitia wizara ya Afya kusisitiza juu ya umuhimu wa kila kaya kuwa na choo bora, bado utekelezaji wa agenda hii umekuwa wa kusua sua. Na: Amon Mwakalobo – Geita Wapangaji wanaoishi kwenye nyumba moja iliyopo maeneo ya…
25 January 2025, 5:04 pm
Mama n’tilie wakiendelea na shughuli zao za kupika chakula. Picha kutoka maktaba Walaji wa vyakula vya mighahawani walia na changamoto wanazozipata kutokana na vyakula hivyo. Na Kelvin Mambaga Wananchi wa wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma wameeleza namna ambavyo mazingira ya…
23 January 2025, 11:26 am
Na Cleef Mlelwa Wanachama wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA mjini Makambako wamemtaka Mwenyekiti wao Tundu Lissu kuhakikisha wanajenga ofisi zake na kuwa tumaini kwa wananchi kwa kuzisemea changamoto zinazoikabili jamii hasa katika sekta ya afya,elimu na kilimo. Wakizungumza…
20 January 2025, 11:38 am
Na Godfrey Mengele Halmashauri ya Manispaa ya Iringa imeanza rasmi zoezi la utoaji mikopo kwa wanufaika 52 wa vikundi vya Vijana, Wanawake na wenye Ulemavu, vilivyo kidhi vigezo vya kupewa Mikopo hiyo, kwa kupewa hundi ya kiasi cha shilingi Milioni…
16 January 2025, 2:27 pm
Katika kuendelea kurejesha kwa jamii, shirika la ICAP limefadhili jumla ya pikipiki 50 kwa wahudumu wa afya ngazi ya jamii mkoani Geita. Na: Edga Rwenduru – Geita Shirika la ICAP linalotoa huduma ya matibabu na matunzo kwa waathirika wa Virusi…
15 January 2025, 10:11 pm
Kwa sababu mboga za majani zina madini mbalimbali yanayosaidia katika kuimarisha afya kwa ujumla. Na Emmanuel Kamangu Jamii katika halmashauri ya mji wa Kasulu mkoani Kigoma imeshauriwa kujenga tabia ya kula mbogamboja za majani kwa ajili ya kuimalisha mfumo wa…