Nuru FM
Nuru FM
3 March 2025, 11:03 am
Na Halfan Akida Wanawake wa Manispaa ya Iringa wamehamasishwa kuwa na utamaduni wa kutunza mazingira ikiwemo kupanda miti ya vivuli pamoja na matunda katika maeneo yao. Wito huo umetolewa na , Diwani wa Viti maalum Manispaa ya Iringa, Dora Nziku…
28 February 2025, 4:20 pm
Wafanyakazi wa Uvinza FM wamepatiwa elimu juu ya ugonjwa wa marburg na namna ya kujilinda na ugonjwa huo. Na Linda Dismas Msimamizi wa vipindi wa Uvinza fm Bw. Abdunuru Shafii ameeleza namna ambavyo ugonjwa wa Marburg unaenezwa pamoja na kuwataka…
25 February 2025, 12:26 pm
Na Adelphina Kutika Tume ya Taifa na Mpango wa Matumizi ya Ardhi imeanzisha mchakato wa kuandaa mpango wa matumizi bora ya ardhi katika kijiji cha Iwungi, kilichopo katika kata ya Uhambingeto, Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo, mkoani Iringa. Akizungumza na…
22 February 2025, 6:59 pm
Wananchi mkoa wa Kigoma walia na serikali juu ya ukosefu wa mfumo wa utiririshaji wa maji wadai kunawapelekea kupatwa na magonjwa ya mlipuko. Na Linda Dismas Wananchi wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma wameeleza changamoto wanazokumbana nazo kutokana na kutokuwa na…
21 February 2025, 12:12 pm
Na Fredrick Siwale Mwalimu wa shule ya msingi Kinyanambo Silvester Joseph Lyuvale (57) aliyepata ajali na kukatwa miguu yote miwili ameiomba Serikali na Wadau wa maendeleo ili aweze kupata msaada wa Kitimwendo kinachotumia umeme. Akizungumza na Nuru FM Mwl.Silvester anayefundisha…
18 February 2025, 8:54 pm
Na Joyce Buganda Wadau wa maendeleo mkoani Iringa wametakiwa kuwa na utaratibu wa kujitoa na kuwasaidia watu wenye uhitaji na kutowatenga. Hayo yamzungumzwa na msanii kutoka nyanda za juu kusini Ezra Francis maalufu kwa jina la Eze Nice ambae ndiye…
17 February 2025, 3:26 pm
Wananchi wa kijiji cha Narusunguti hatimaye waagana na changamoto ya kutembea umbali mrefu kufuata huduma za afya katika maeneo jirani. Na: Edga Rwenduru – Geita Wananchi wa kijiji cha Narusunguti kata ya Busonzo wilaya ya Bukombe mkoani Geita wameishukuru serikali…
14 February 2025, 9:26 am
Serikali imeendelea kusisitiza suala la ulaji wa vyakula vyenye lishe bora kwa wazazi na watoto. Na Theresia Damas Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza imefanya tathmini ya kikao kuangazia lishe bora ikiwa na maazimio mbalimbali ikiwemo watoto kula shuleni ili kuwajenga…
11 February 2025, 4:52 pm
Wananchi wametakiwa kujenga tabia ya kula vyakula vya jamii ya mikunde kwa lengo la kuboresha Afya. Na Theresia Damas Ikiwa ni Maadhimisho ya siku ya mikunde Duniani, wananchi wametakiwa kujenga tabia ya kula vyakula jamii ya mikunde kwa lengo la…
10 February 2025, 4:41 pm
Meli ya MV Jubilee hope imekuwa ikitoa huduma za afya kwa jamii inayozunguka visiwa mbalimbali vya Ziwa Viktoria. Na: Ester Mabula – Geita Kampuni ya Geita Gold Minning Limited (GGML) imeendelea kujivunia jukumu lao la kudhamini huduma za afya zinazotolewa…