Mpanda FM

Umeme

November 20, 2025, 3:02 pm

Muziki wawaongezea utulivu Ng’ombe wakati wa kukamuliwa

Asajile amekuwa akiwasoma Ng’ombe wake tabia hii humsaidia kupata maziwa kwa wingi zaidi Na Anyisile Fredy MKAZI na mfugaji wa ng’ombe  wa maziwa mjini Vwawa Mbozi Mkoani Songwe, Mikaya Asajile amesema  amewagundua  ng’ombe wake kwamba wanapenda muziki wakati wa kukamuliwa.…

10 November 2025, 10:18 am

Tanzania yaweka kipaumbele jinsia na tabianchi COP30

Wadau wa maendeleo wanaaswa kuwekeza katika elimu, teknolojia rafiki kwa mazingira, na miradi ya kiuchumi itakayowawezesha wanawake kuwa sehemu ya suluhisho la mabadiliko ya tabianchi. Na Abdunuru Shafii Wanawake wa wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma wameendelea kukabiliwa na athari kubwa…

21 October 2025, 8:08 am

TAMWA yaja na mkakati wa kutetea usawa wa kijinsia

“Kufuatia matokeo hayo wamiliki wa vyombo vya habari wanahitaji kuongeza juhudi zaidi katika kufikia mkakati wa serikali unaolenga kuwa na 50% ya uwakilishi sawa kwenye vyombo vya maamuzi ikiwemo Bunge na Baraza  la wawakilishi kwa upande wa Zanzibar kwa kuruhusu…

18 October 2025, 8:23 pm

TAKUKURU: Kufanya sherehe baada ya kushinda uchaguzi ni rushwa

“TAKUKURU hatutasita kuchukua hatua kwa yeyote atakayekiuka agizo hilo la kisheria“ Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa kufanya sherehe baada ya kushinda uchaguzi na kualika watu unaodhani wamekupigia kura ili ushinde ni rushwa. Hayo yamesema na William Eliyau Afisa uchunguzi kutoka…

October 8, 2025, 3:37 pm

Zaidi ya bil 3 zatajwa kilimo cha pamba Kasulu

Wakulima wa kilimo cha Pamba wamejitokeza kushiliki Maadhimisho ya siku ya Pamba duniani ambapo katika Wilaya ya Kasulu yamefanyika kata ya Asante Nyerere huku mamia ya wananchi wakijitokeza kwa wingi kushudia zoezi hilo. Na; Sharifat Shinji Wilaya ya Kasulu mkoani…

2 October 2025, 7:11 pm

Wazee ni tunu tuwajali na kuwatunza

Wananchi wametakiwa kushilikiana na serikali katika kuibua changamoto ya unyanyasaji wa kijinsia unaofanyika kwa wazee. Na Dunia Stephano Kaimu mtendaji ambaye pia ni Afisa maendeleo wa kata ya nguruka wilaya ya Uvinza Sarafina jonijo mapasi amewataka wananchi kushilikiana na serikali…

1 October 2025, 11:40 am

Mahwa: Jimbo la Kigoma Kusini sio shamba la bibi

“Nitahakikisha  naishauri serikali kurekebisha sheria na sera rafiki za uwekezaji ili vijana wanaosoma wapate ajira rasmi.” Eliya Mahwa Na. Theresia Damasi Mgombea wa ubunge jimbo la Kigoma Kusini  kwa tiketi ya Chama cha Ukombozi wa Umma CHAUMA BW. Eliya Mahwa…

27 September 2025, 10:15 pm

‎Himidi Kisobwe Aanadi sera kwa wananchi kata ya Uvinza

Nitashirikiana nanyi katika kuleta maendeleo yeti hapa Uvinza, kukamilisha barabara ya Karuele Hadi Shekeshe na kushughulikia changamoto ya upatikanaji wa ardhi. ‎Na. Abdunuru Shafii Mgombea udiwani wa Kata ya Uvinza kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Himidi Kisobwe, amefanya mkutano wa…

22 September 2025, 2:01 pm

Mwenge wa Uhuru 2025 Kugusa Miradi ya Bilioni 2.4 Uvinza

‎Mwenge wa Uhuru utakimbizwa ndani ya wilaya kwa umbali wa kilomita 131 Na Abdunuru Shafii Jumla ya miradi 7 yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 2.4 inayojumuisha sekta za elimu, afya, Maji na nishati inatarajiwa kukaguliwa, kutembelewa na mingine…

September 18, 2025, 6:20 am

Auwawa kisa ushabiki wa Simba na Yanga Songwe

Na Denis Sinkonde,Songwe Jeshi la Polisi mkoani Songwe linamtafuta Evacery Mwaweza mkazi wa Kitongoji cha Ululu kiijiji cha Idiwili kata ya Idiwili wilayani Mbozi mkoani Songwe kwa tuhuma za kusababisha kifo cha Zabroni Mwambogolo (28) mkazi wa kitongoji hicho wakati…