Mpanda FM
Mpanda FM
November 20, 2025, 3:02 pm
Asajile amekuwa akiwasoma Ng’ombe wake tabia hii humsaidia kupata maziwa kwa wingi zaidi Na Anyisile Fredy MKAZI na mfugaji wa ng’ombe wa maziwa mjini Vwawa Mbozi Mkoani Songwe, Mikaya Asajile amesema amewagundua ng’ombe wake kwamba wanapenda muziki wakati wa kukamuliwa.…
10 November 2025, 10:18 am
Wadau wa maendeleo wanaaswa kuwekeza katika elimu, teknolojia rafiki kwa mazingira, na miradi ya kiuchumi itakayowawezesha wanawake kuwa sehemu ya suluhisho la mabadiliko ya tabianchi. Na Abdunuru Shafii Wanawake wa wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma wameendelea kukabiliwa na athari kubwa…
21 October 2025, 8:08 am
“Kufuatia matokeo hayo wamiliki wa vyombo vya habari wanahitaji kuongeza juhudi zaidi katika kufikia mkakati wa serikali unaolenga kuwa na 50% ya uwakilishi sawa kwenye vyombo vya maamuzi ikiwemo Bunge na Baraza la wawakilishi kwa upande wa Zanzibar kwa kuruhusu…
18 October 2025, 8:23 pm
“TAKUKURU hatutasita kuchukua hatua kwa yeyote atakayekiuka agizo hilo la kisheria“ Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa kufanya sherehe baada ya kushinda uchaguzi na kualika watu unaodhani wamekupigia kura ili ushinde ni rushwa. Hayo yamesema na William Eliyau Afisa uchunguzi kutoka…
October 8, 2025, 3:37 pm
Wakulima wa kilimo cha Pamba wamejitokeza kushiliki Maadhimisho ya siku ya Pamba duniani ambapo katika Wilaya ya Kasulu yamefanyika kata ya Asante Nyerere huku mamia ya wananchi wakijitokeza kwa wingi kushudia zoezi hilo. Na; Sharifat Shinji Wilaya ya Kasulu mkoani…
2 October 2025, 7:11 pm
Wananchi wametakiwa kushilikiana na serikali katika kuibua changamoto ya unyanyasaji wa kijinsia unaofanyika kwa wazee. Na Dunia Stephano Kaimu mtendaji ambaye pia ni Afisa maendeleo wa kata ya nguruka wilaya ya Uvinza Sarafina jonijo mapasi amewataka wananchi kushilikiana na serikali…
1 October 2025, 11:40 am
“Nitahakikisha naishauri serikali kurekebisha sheria na sera rafiki za uwekezaji ili vijana wanaosoma wapate ajira rasmi.” Eliya Mahwa Na. Theresia Damasi Mgombea wa ubunge jimbo la Kigoma Kusini kwa tiketi ya Chama cha Ukombozi wa Umma CHAUMA BW. Eliya Mahwa…
27 September 2025, 10:15 pm
Nitashirikiana nanyi katika kuleta maendeleo yeti hapa Uvinza, kukamilisha barabara ya Karuele Hadi Shekeshe na kushughulikia changamoto ya upatikanaji wa ardhi. Na. Abdunuru Shafii Mgombea udiwani wa Kata ya Uvinza kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Himidi Kisobwe, amefanya mkutano wa…
22 September 2025, 2:01 pm
Mwenge wa Uhuru utakimbizwa ndani ya wilaya kwa umbali wa kilomita 131 Na Abdunuru Shafii Jumla ya miradi 7 yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 2.4 inayojumuisha sekta za elimu, afya, Maji na nishati inatarajiwa kukaguliwa, kutembelewa na mingine…
September 18, 2025, 6:20 am
Na Denis Sinkonde,Songwe Jeshi la Polisi mkoani Songwe linamtafuta Evacery Mwaweza mkazi wa Kitongoji cha Ululu kiijiji cha Idiwili kata ya Idiwili wilayani Mbozi mkoani Songwe kwa tuhuma za kusababisha kifo cha Zabroni Mwambogolo (28) mkazi wa kitongoji hicho wakati…