Mpanda FM

SIASA

August 13, 2025, 11:21 am

Matumizi ya pombe, sigara hatari kwa mjamzito

“Pombe ina athari kwa mama mjamzito moja kwa moja hasa anayetumia lakini pia sigara ina madhara makubwa haijalishi anavuta au havuti hivyo wajawazito hawatakiwi kuvuta au kutumia pombe wakati wa ujauzito kwani inaweza kuathiri mtoto aliyepo tumboni” Amesema Dkt. Ally.…

6 August 2025, 7:01 pm

Nanenane nguzo kwa wakulima na wafugaji

Na Salma Rahim-Arusha Wakulima na wafugaji kanda ya kaskazini kwenye mikoa ya Manyara, Arusha na Kilimanjaro wameaswa kutumia Kilimo cha kisasa chenye tija kwa kufuata maelekezo ya wataalamu wa afya na Kilimo ili kuongeza uzalishaji wa mazo na Mifugo. Hayo…

3 August 2025, 2:34 pm

Jiandikisheni mapema kwa ajili ya ibada ya Hijja

“Tuwahutubie waumini wa dini ya kiislam kuhusu hijja kumekuwa na mabadiliko kwa wale wanaotaka kwenda Makka wanatakiwa kujiandikisha mapema huu ni utaratibu uliowekwa na uongozi wa Makaa” Na Juma Haji Juma Mashekh na maimamu Nchini wametakiwa kutoa khotba ya kuelimisha…

28 July 2025, 5:23 pm

Viongozi wanaotumia vibaya mitandao wanahatarisha umoja wa kitaifa

Na Mandishi wetu. Mchambuzi wa masuala ya uchumi na jamii Zanzibar, Abdulhamid Mshangama, amesema kuwa kuna baadhi ya viongozi wanaotumia vibaya fursa ya mitandao ya kijamii jambo ambalo linaweza kusababisha kuvuruga umoja wa kitaifa kwa watanzania.Mshangama amesema hayo wakati akizungumza…

22 July 2025, 12:47 pm

Wanafunzi Pemba wahimizwa kujiunga na Abdulrahman-Alsumait

Wahitimu wa kidato cha nne  na cha sita kisiwani Pemba wametakiwa kuchangamkia fursa ya kujiunga na chuo cha Abdurahman-Alsumait. Amina Massoud Jabir Wahitimu wa kidato cha nne  na cha sita kisiwani Pemba wametakiwa kuchangamkia fursa ya kujiunga na chuo cha…

21 July 2025, 6:14 pm

INEC yapiga marufuku upendeleo wa kisiasa Pemba

Na Is haka Mohammed. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi INEC imewataka Waratibu na wasimamizi wa Uchaguzi Pemba Kuzingatia Katiba,Sheria, Kanuni na Miongozo iliyotolewa na itakayolewa na Tume katika kutekeleza majukumu yao ya kusimamia uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.Wito huo…

20 July 2025, 9:34 am

HRT Saccos yawasha moto, wafanya bonanza la aina yake

Chama cha akiba na mikopo Hai Rural Teachers Saccos (HRT) kimefanya Bonanza la aina yake katika viwanja vya Taasisi ya Charllote katika kuelekea miaka 25 tangu kuanzishwa kwake. Na Elizabeth Noel Siha-Kilimanjaro Katika kuelekea maadhimisho ya miaka 25 tangu kuanzishwa…

July 18, 2025, 2:47 pm

Wakulima Kivul walia na miundombinu

‎Wakulima wa Kijiji cha Kivul, kitongoji cha Olmatejo jijini Arusha, wameiomba serikali kuwasaidia kuboresha miundombinu ya kilimo hasa ya maji ya umwagiliaji ambayo imekuwa changamoto kubwa kutokana na mvua. Na Jenipha Lazaro ‎Wakizungumza wakati wa zoezi la kurekebisha mifereji na…