Mpanda FM

SIASA

24/09/2025, 22:36

UPDP yaja na sera za afya bure na uvuvi bahari kuu

Na Mary Julius. Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha UPDP, Hamad Mohammed Ibrahim, amesema endapo chama chake kitachaguliwa na kuingia madarakani kitadumisha Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Akizungumza katika mkutano  wa kampeni za chama hicho uliofanyika katika…

16 September 2025, 3:31 pm

ACT yamnadi mgombea udiwani kata ya Kazima

“Mgombea udiwani Kata ya Nsemulwa na kata ya Shanwe wamemuombea kura mgombea udiwani wa kata hiyo ya kazima“ Na Anna Milanzi-Katavi Chama cha ACT wazalendo kimeendelea na kampeni zake katika maeneo mbalimbali mkoani Katavi na kunadi sera zao kwa wananchi.…

14/09/2025, 23:18

UPDP kutoa mamilioni kwa wanaotaka kuoa Zanzibar

Na Mary Julius. Mgombea urais Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha the United People’s Democratic Party UPDP, Hamad Mohammed Ibrahim, ameahidi kuwa endapo itapata ridhaa na kuingia madarakani seriakali yake itajenga viwanda vya kusarifu karafuu na mazao mengine ili kuleta…

September 10, 2025, 6:17 am

2641 kuhitimu elimu msingi Ileje 2025

Na Denis sinkonde na Anord Kimbulu Jumla ya watahiniwa 2641 wanatarajia kufanya mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi wilayani Ileje Mkoani Songwe utakaofanyika Septemba 10 na 11 mwaka huu. Akizungumza na Ileje Fm juu ya maandalizi ya mitihani hiyo Mkurugenzi…

03/09/2025, 13:49

Simai aahidi kampeni za kistaarabu jimbo la Tunguu

Na Mary Julius. Mgombea wa uwakilishi jimbo la Tunguu, kupitia Chama Cha Mapinduzi Simai Mohammed Said, ameahidi kufanya Kampeni za kistaarabu kama ilivyoagizwa na viongozi wakuu wa chama chake. Simai ameyasema hayo leo mara baada ya kuchukua fomu katika ofisi…

27/08/2025, 16:17

Wafuasi 100 wa ACT Wazalendo watimkia CHAUMA Micheweni

Na Is-haka Mohammed. Wananchi wa jimbo la Micheweni Wilaya ya Micheweni Pemba wameombwa kukiunga mkono chama cha CHAUMA na Wagombea wake ambao kitawasimamisha kupitia nafasi mbali mbali za uongozi katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.Ombi hilo limetolewa na Makamo Mwenyekiti…