Mpanda FM
Mpanda FM
August 13, 2025, 11:21 am
“Pombe ina athari kwa mama mjamzito moja kwa moja hasa anayetumia lakini pia sigara ina madhara makubwa haijalishi anavuta au havuti hivyo wajawazito hawatakiwi kuvuta au kutumia pombe wakati wa ujauzito kwani inaweza kuathiri mtoto aliyepo tumboni” Amesema Dkt. Ally.…
6 August 2025, 7:01 pm
Na Salma Rahim-Arusha Wakulima na wafugaji kanda ya kaskazini kwenye mikoa ya Manyara, Arusha na Kilimanjaro wameaswa kutumia Kilimo cha kisasa chenye tija kwa kufuata maelekezo ya wataalamu wa afya na Kilimo ili kuongeza uzalishaji wa mazo na Mifugo. Hayo…
4 August 2025, 6:03 pm
Ivan Mapunda. Kampeni ni sehemu au uwanja wenye changamoto kubwa kwa wanawake wanaotafuta nafasi za uongozi. Mbali na changamoto za kawaida za kisiasa, wanawake hukabiliana na tatizo kubwa la matamshi ya chuki, udhalilishaji, na matusi ya kijinsia yanayolenga kudhoofisha heshima…
3 August 2025, 2:34 pm
“Tuwahutubie waumini wa dini ya kiislam kuhusu hijja kumekuwa na mabadiliko kwa wale wanaotaka kwenda Makka wanatakiwa kujiandikisha mapema huu ni utaratibu uliowekwa na uongozi wa Makaa” Na Juma Haji Juma Mashekh na maimamu Nchini wametakiwa kutoa khotba ya kuelimisha…
28 July 2025, 5:23 pm
Na Mandishi wetu. Mchambuzi wa masuala ya uchumi na jamii Zanzibar, Abdulhamid Mshangama, amesema kuwa kuna baadhi ya viongozi wanaotumia vibaya fursa ya mitandao ya kijamii jambo ambalo linaweza kusababisha kuvuruga umoja wa kitaifa kwa watanzania.Mshangama amesema hayo wakati akizungumza…
22 July 2025, 12:47 pm
Wahitimu wa kidato cha nne na cha sita kisiwani Pemba wametakiwa kuchangamkia fursa ya kujiunga na chuo cha Abdurahman-Alsumait. Amina Massoud Jabir Wahitimu wa kidato cha nne na cha sita kisiwani Pemba wametakiwa kuchangamkia fursa ya kujiunga na chuo cha…
21 July 2025, 6:14 pm
Na Is haka Mohammed. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi INEC imewataka Waratibu na wasimamizi wa Uchaguzi Pemba Kuzingatia Katiba,Sheria, Kanuni na Miongozo iliyotolewa na itakayolewa na Tume katika kutekeleza majukumu yao ya kusimamia uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.Wito huo…
20 July 2025, 9:34 am
Chama cha akiba na mikopo Hai Rural Teachers Saccos (HRT) kimefanya Bonanza la aina yake katika viwanja vya Taasisi ya Charllote katika kuelekea miaka 25 tangu kuanzishwa kwake. Na Elizabeth Noel Siha-Kilimanjaro Katika kuelekea maadhimisho ya miaka 25 tangu kuanzishwa…
July 18, 2025, 2:47 pm
Wakulima wa Kijiji cha Kivul, kitongoji cha Olmatejo jijini Arusha, wameiomba serikali kuwasaidia kuboresha miundombinu ya kilimo hasa ya maji ya umwagiliaji ambayo imekuwa changamoto kubwa kutokana na mvua. Na Jenipha Lazaro Wakizungumza wakati wa zoezi la kurekebisha mifereji na…
17 July 2025, 5:08 pm
Katika kuthamini juhudi za Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi ,Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar imemtunuku Rais huyo Tuzo Maalum kwa mchango wake mkubwa katika kuimarisha demokrasia na mazingira bora ya utendaji wa…