

June 20, 2025, 6:12 pm
“Vijiji vyote vilivyopitiwa na mradi wa maji ikiwemo Bisarye, Nyamswa,Ikizu na Bukama vinufaike na mradi ili kupunguza uharibifu kwa miundombinu ya maji kwa vijiji ambavyo sio wanufaika” Joshua Mirumbe Mwenyekiti wa Bodi ya Maji Wilaya ya Bunda Na Amos Marwa…
17 June 2025, 16:31
Uhasama wa usiku mmoja umegeuka kuwa msiba wa maisha kwa familia ya mwanafunzi aliyeuawa kwa kuchomwa na mwenzake katika kumbi ya burudani Mbeya Na Samwel Mpogole Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia mwanafunzi wa mwaka wa kwanza kutoka Chuo…
6 June 2025, 12:30 am
Maadhimisho ya kilele cha wiki ya Mazingira Duniani ambayo kwa mkoa wa kilimanjaro yamefanyika wilaya ya Hai Na Henry Keto,Hai-Kilimanjaro Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Nurdin Babu ametoa wito kwa Wananchi kupanda miti na kuitunza na kuhakikisha mazingira yanakuwa…
June 5, 2025, 9:14 pm
Wananchi wa kitongoji cha Losinoni Kata ya Kisongo mkoani Arusha wanakwenda kunufaika na maji safi na salama baada ya kukosa maji kwa muda mrefu. Na Jenifa Lazaro Akizungumza na Savvy FM mwenyekiti wa Kijiji cha Engorora mhe Onesmo Lameck amesema…
4 June 2025, 3:07 pm
Na Mwandishi wetu.Mwanasiasa mkongwe na mbunge wa zamani jimbo la Kikwajuni Parmukh Singh amesema wataalamu wengi wanaacha kazi za taaluma na kugombea nafasi za uongozi za kisiasa kutokana na kulipwa malipo duni. Singh amesema hayo alipokuwa akizungumzia misingi ya siasa…
27 May 2025, 11:11 am
“Mazao ya kibiashara katika nchi yetu hususani zao la kahawa kwa mkoa wetu wa Kilimanjaro, tumedharau zao la kahawa, tunakata mikahawa na kujenga majumba lakini tukumbuke kwamba mikahawa hiyo ndio imewasomesha watoto wetu kufika chuo kikuu” Na Elizabeth Mafie-Moshi Kilimanjaro…
22 May 2025, 23:04
Jeshi la Polisi mkoani Songwe lime kamata silaha mbili aina ya bastola katika oparesheni inayoendelea ya misako na doria katika maeneo mbalimbali ya mkoa huo, hatua inayolenga kukabiliana na matukio ya uhalifu. Na samweli mpogole Akizungumza na vyombo vya habari,…
19 May 2025, 2:35 pm
“wataweka wazi mustakabali wao kisiasa na jukwaa gani la kisiasa ambalo wataelekea .“ Na Ben Gadau -Katavi Wanachama 140 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA ) Mkoani Katavi wametangaza kukihama chama hicho. Wakizungumza wanachama hao, wamesema kuwa wamefikia uamuzi…
18 May 2025, 10:38 am
Mkuu wa wilaya ya Moshi Mkoani kilimanjaro Godfrey Mzanva akihutubia wakati wa mahafali ya 40 ya chuo cha VETA Mkoani Kilimanjaro (Picha na Furaha Hamad) Mkuu wa wilaya ya Moshi Godfrey Mzanva ameshiriki mahafali ya 40 ya chuo cha VETA…
6 May 2025, 12:24
Licha ya shuruba wanazokutana nazo wananchi wanaoishi katika maeneo yaliyoathirika mafuriko Katika Manispaa ya Kigoma Ujiji, baadhi ya vijana wametumia mafuriko hayo kuwa fursa kwa kujipatia kipato kupitia kuwabeba watu wanaovuka. Na Josephine Kiravu Baadhi ya vijana katika eneo la…