Mpanda FM
Mpanda FM
19 June 2026, 8:04 pm
Kampuni ya GGML imekuwa mdhamini wa mafunzo ya polisi jamii mkoani Geita tangu mwaka 2016 ikiwa ni sehemu ya mchango wake katika kuimarisha usalama na maendeleo katika ya jamii zinazouzunguka mgodi. Na: Ester Mabula Vijana 1056 kutoka katika mitaa 7…
26 May 2026, 4:10 pm
Baadhi ya vikundi hivyo hukusanya fedha kutoka kwa wanachama lakini baadaye hugeuka chanzo cha migogoro. Na Denis Sinkonde, Songwe Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Songwe imetangaza mkakati maalum wa kudhibiti utapeli na wizi wa kidijiti…
20 May 2026, 11:27 am
Katika maadhimisho ya siku ya nyuki duniani wafugaji wa nyuki wametakiwa kuhifadhi asali katika vifungashio salama na sio chupa zilizoisha vinywaji. Na Oliver Joel, Hai- Kilimanjaro Katika kuelekea maadhimisho ya siku ya nyuki duniani yatakayofanyika kesho, wafugaji nyuki wilayani Hai…
16 May 2026, 4:00 pm
Hakika msemo wa wahenga usemao ukihitaji mali basi utaipata shambani umeendelea kujidhihirisha baada ya vijana kutoka Geita kutaraji kunufaika na kilimo. Na Mrisho Sadick: Mbunge wa Jimbo la Geita mjini Mhandisi Chacha Wambura amewawezesha Jumla ya vijana 23 kutoka Kata…
12 May 2026, 11:51 pm
Waalimu wa shule za msingi wilaya ya Hai wameaswa kukuza na kuibua vipaji vya wanafunzi mashuleni ili kujenga timu bora kwaajili ya mashindano ya kimkoa Na Henry Keto, Hai-Kilimanjaro Waalimu wa michezo mashuleni wametakiwa kujitoa kuinua na kukuza michezo katika…
10 May 2026, 5:16 pm
Jamii yasisitizwa kufanya mazoezi ili kukabiliana na magonjwa yasiyoambukizwa. Na; Sharifat Shinji Hospitali ya Rufaa Kabanga imezindua klabu ya mazoezi (Jogging Club) ikiwa ni juhudi za kuunga mkono serikali kupunguza wimbi la magonjwa yasiyoambukizwa ambapo kila Jumamos klabu hiyo itafanya…
6 May 2026, 12:26 pm
Afisa wa Jeshi la Zimamoto na uokoaji akionyesha namna ambavyo jeshi hilo hufanya kazi ya uokoaji. Picha na Kale Chongela Jumla ya matukio 82 yameripotiwa katika kipindi cha miezi mitano ndani ya mkoa wa Geita ambapo kati ya matukio hayo,…
21 April 2026, 9:34 am
Zaidi ya wagonjwa 300 wamepata matibabu siku ya kwanza Na Devi Moses ZAIDI ya wagonjwa 300 wamepata matibabu siku ya kwanza ya kambi ya madaktari bingwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Songwe. Kambi hiyo imefunguliwa rasmi April 20,…
17 April 2026, 13:05
Serikali inapaswa kuhakikisha sheria dhidi ya mauaji zinatekelezwa kikamilifu, na wahusika wanachukuliwa hatua haraka. Na Michael Mpunije Mwanaume mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 30-35 ambaye hajatambulika uraia wala kabila lake amekutwa akiwa amefariki dunia na mwili…
19 March 2026, 11:02 pm
Mbunge wa Jimbo la Hai Saashisha Mafuwe amefuturisha misikiti tisa katika jimbo la Hai akitoa ujumbe wa kudumisha umoja na mshikamano baina ya waumini wote wa dini zote. Na Annasta Urio, Hai-Kilimanjaro Wananchi na waumini wa dini ya kiislamu wilayani…