Mpanda FM

SIASA

21 April 2024, 1:17 pm

CHADEMA: maandamano ya amani kufanyika april 24 mkoani Katavi

Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA .Picha na Lilian vicent “chama cha demokrasia na maendeleo kimejipanga kwa kuandaa mwanasheria atakaesimamia kesi za migogoro mbalimbali ambayo wananchi wa mkoa wa Katavi wanaonewa bila kupewa haki yao.“ Na Samwel Mbugi…

19 April 2024, 12:03 pm

Mwenyekiti Chadema mkoa wa Katavi atangaza maandamano

 Mwenyekiti wa Chama cha Chadema mkoa wa Katavi akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake. Picha na Lilian Vicent “tuna mambo makuu manne ikiwamo jambo la maandamano ambapo wiki ya maandamano inaanza tarehe 22 mwezi wa nne na jambo hili…

14 April 2024, 1:18 am

Katibu Mkuu CCM atua Mpanda, asikiliza kero za wananchi

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Taifa Balozi Dkt.Emmanueli Nchimbi akizungumza na Wananchi na Viongozi Mbalimbali Katavi .Picha na Samwel Mbugi “Serikali itaendelea kutekeleza ilani ya Chama Cha Mapinduzi CCM katika kusimamia miradi yote ili iweze kuleta manufaa yaliyokusudiwa“…

13 April 2024, 11:18 pm

Dkt. Nchimbi apokelewa Katavi kwa kishindo

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa Dkt.Emmanuel Nchimbi akiwasili Katika uwanja wa ndege Mkoani Katavi kwa ajili ya ziara ya siku mbili Mkoani hapa .Picha na Samwel Mbugi “ Amewataka Viongozi kuhakikisha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Wanaweka…

11 April 2024, 10:00 am

Wananchi Katavi watakiwa kushiriki uchaguzi

“Uchaguzi unapofika ni vema kushiriki katika uchaguzi huo na kuendeleza utulivu na amani iliyopo” Sheikh Nassoro Kakulukulu. Na Deus Daudi-Katavi Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Katavi Nassoro Kakulukulu amewataka Wananchi kujiandaa na kushiriki katika Uchaguzi Wa serikali za Mitaa  na…

20 November 2021, 12:30 pm

Mkuu wa Wilaya: Wakurugenzi Simamieni Miradi

Mkuu wa wilaya ya  mpanda Jamila Yusuph amewaagiza wakurugenzi wa manispaa ya  mpanda na halmashauri ya nsimbo  kusimamia miradi ya maendeleo ili inapokamilika iwe na ubora unaoendana na thamani ya pesa iliyotolewa. Akizungumza katika kikao cha kamati ya ushauri ya…

19 November 2021, 10:29 am

Bilioni Nne Kunufaisha Halmashauri ya Nsimbo

Halmashauri ya  Nsimbo Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi imepata zaidi ya shiling bilioni nne kwa ajili  ya ujenzi wa miradi ya maendeleo ikiwemo vyumba vya madarasa. Akizungumza na kituo hiki mkurugenzi wa halmashauri hiyo Mohamed Ramadhani amesema kuwa  kupatikana fedha…

26 October 2021, 5:56 pm

Mstahiki Meya: Simamieni fedha za miradi

MPANDA Mstahiki meya wa manspaa ya Mpanda Haidary Sumry amewaagiza madiwani kufuatilia fedha zinazopitishwa kwenye miradi ya maendeleo ili kukamilika kwa wakati. Akizungumza katika baraza la madiwani amesema ufuatiliaji huo utasaidia kiwango Cha pesa zinazoelekezwa kwenye miradi kuendana na kasi…