Mpanda FM

SIASA

26 May 2026, 4:10 pm

Utapeli kwa njia ya whatsapp yawaibua Takukuru Songwe

Baadhi ya vikundi hivyo hukusanya fedha kutoka kwa wanachama lakini baadaye hugeuka chanzo cha migogoro. Na Denis Sinkonde, Songwe Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Songwe imetangaza mkakati maalum wa kudhibiti utapeli na wizi wa kidijiti…

12 May 2026, 11:51 pm

Kalanje: Walimu shule za msingi kuzeni michezo shuleni

Waalimu wa shule za msingi wilaya ya Hai wameaswa kukuza na kuibua vipaji vya wanafunzi mashuleni ili kujenga timu bora kwaajili ya mashindano ya kimkoa Na Henry Keto, Hai-Kilimanjaro Waalimu wa michezo mashuleni wametakiwa kujitoa kuinua na  kukuza michezo katika…

10 May 2026, 5:16 pm

Klabu ya mazoezi yazinduliwa hospitali ya rufaa Kabanga

Jamii yasisitizwa kufanya mazoezi ili kukabiliana na magonjwa yasiyoambukizwa. Na; Sharifat Shinji Hospitali ya Rufaa Kabanga imezindua klabu ya mazoezi (Jogging Club) ikiwa ni juhudi za kuunga mkono serikali kupunguza wimbi la magonjwa yasiyoambukizwa ambapo kila Jumamos klabu hiyo itafanya…

6 May 2026, 12:26 pm

Watu 32 wafariki Geita kwa miezi mitano

Afisa wa Jeshi la Zimamoto na uokoaji akionyesha namna ambavyo jeshi hilo hufanya kazi ya uokoaji. Picha na Kale Chongela Jumla ya matukio 82 yameripotiwa katika kipindi cha miezi mitano ndani ya mkoa wa Geita ambapo kati ya matukio hayo,…

17 April 2026, 13:05

Akutwa amefariki, mwili ukiwa kwenye kiroba Buhigwe

Serikali inapaswa kuhakikisha sheria dhidi ya mauaji zinatekelezwa kikamilifu, na wahusika wanachukuliwa hatua haraka. Na Michael Mpunije Mwanaume mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 30-35 ambaye hajatambulika uraia wala kabila lake amekutwa akiwa amefariki dunia na mwili…

19 March 2026, 11:02 pm

Mbunge Hai afuturisha misikiti 9 kudumisha umoja

Mbunge wa Jimbo la Hai Saashisha Mafuwe amefuturisha misikiti tisa katika jimbo la Hai akitoa ujumbe wa kudumisha umoja na mshikamano baina ya waumini wote wa dini zote. Na Annasta Urio, Hai-Kilimanjaro Wananchi na waumini wa dini ya kiislamu wilayani…