Mpanda FM

MAENDELEO

12 May 2025, 12:55 pm

Mwenyekiti UWZ atoa wito wa mshikamano

Na Mary Julius. Mwenyekiti wa Umoja wa Watu Wenye Ulemavu Zanzibar, UWZ Abdulwakili H Hafidhi, amewataka wanachama wa umoja huo kuunga mkono viongozi wao kwa lengo la kuhakikisha kuwa huduma na mafanikio ya umoja huo yanawafikia watu wote wenye ulemavu…

11 May 2025, 10:37 am

UWZ yaanza  ziara za kuitambulisha bodi tendaji mpya

Na Juma Haji “Tutafika kila Wilaya kuonana na wanachama wa jumuiya ya watu wenye ulemavu Zanzibar na kuwasikiliza ili tuwende sambamba nao kwenye uendeshaji wa jumuiya” Na Juma Haji Wajumbe wa Bodi tendaji ya Umoja wa watu wenye ulemavu Zanzibar…

9 May 2025, 16:54

FAO yataka wanaume kushiriki maandalizi ya lishe kwa watoto

Jamii Mkoani Kigoma imetakiwa kuzingatia suala la lishe bora kwa watoto. Na Michael Mpunije Shirika la umoja wa mataifa la Chakula na Kilimo FAO limetoa wito kwa wanaume mkoani Kigoma kushirikiana na wenza wao katika kufanya maandalizi ya chakula ili…

7 May 2025, 6:44 pm

Makubaliano mapya kuleta mageuzi ya utalii Zanzibar

Mary Julius. Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale wa Zanzibar, Mudrick Ramadhan Soraga, amesema kwa kuwa utalii ni sekta yenye wadau wengi, wizara yake imeamua kusimamia ushirikiano wa pamoja ili kuondoa hali ya ushindani usiokuwa na tija na badala…

May 7, 2025, 11:54 am

Wauzaji wa mitungi ya gesi wapewa neno

Ni kutaka kuwaridhisha wateja   Na Anyisile Freddy Wauzaji wa gesi ya kupikia wametakiwa kuwa na mizani ya kupimia mitungi ya gesi ili kulinda uaminifu kwa wateja. Mfanyabiashara wa kuuza mitungi ya gesi mjini Vwawa mkoani Songwe, Grace Sichone amesema…

6 May 2025, 6:17 pm

Hewa tiba yaokoa gharama za matibabu kwa wananchi Simiyu

‘‘Hatuwezi kuwa na taifa lenye uchumi mkubwa kama watu wake wako wanapambana na changamoto ya miundombinu ya afya lazima kwanza tujali afya za watu ambao ndiyo nguvu kazi ya kuyafikia hayo maendeleo ni kweli tumefanya mageuzi makubwa sana katika sekta…

May 6, 2025, 2:00 pm

Wadudu waondoka na mwili wa marehemu msibani

Taharuki imetokea baada ya mwili wa marehemu kurudishwa mochwari mara mbili kabla ya kuzikwa. Na Michael Nanyaro Kundi la vijana wa bodaboda maarufu kama wadudu wilayani Arumeru jijini Arusha  wamemrudisha mwenzao aliyefariki  mochwari baada ya mwili kufikishwa nyumbani na familia,…

4 May 2025, 3:35 pm

ZAMECO yataka sheria mpya ya habari

Picha ya kamati ya wataalamu wa masuala ya habari Zanzibar (ZAMECO) Na Vuai Juma “Uwepo wa sheria kandamizi kwa wandishi wa habari imekua ni changamoto kubwa kwenye utendaji wao wa kazi” Na Vuai Juma Mamlaka zinazosimamia sekta ya habari hapa…

3 May 2025, 12:56 pm

Madereva wapewe elimu ya kununua mafuta

Picha ya Hassan Masanja mhandishi kitengo cha mafuta kanda ya magharibi. Picha na Anna Mhina. “Hairuhusiwi kubeba mafuta kwenye madumu” Na Rhoda Elias Baadhi ya madereva wa vyombo vya moto  wa Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi, hawana uelewa wa  kutosha…

2 May 2025, 2:29 pm

Hatimaye Mv mapinduzi II yakaribia kurudi kazini

Na Kassim Salum Abdi. Kamati ya kudumu ya Baraza la Wawakilishi inayosimamia Mawasiliano, Ardhi na Nishati imesema imeridhishwa na matengenezo ya ukarabati wa Meli ya MV MAPINDUZI (II) iliopo nangani katika bandari ya Malindi. Mwenyekiti wa Kamati ya Mawasiliano, Ardhi…