Mpanda FM
Mpanda FM
12 May 2025, 12:55 pm
Na Mary Julius. Mwenyekiti wa Umoja wa Watu Wenye Ulemavu Zanzibar, UWZ Abdulwakili H Hafidhi, amewataka wanachama wa umoja huo kuunga mkono viongozi wao kwa lengo la kuhakikisha kuwa huduma na mafanikio ya umoja huo yanawafikia watu wote wenye ulemavu…
11 May 2025, 10:37 am
Na Juma Haji “Tutafika kila Wilaya kuonana na wanachama wa jumuiya ya watu wenye ulemavu Zanzibar na kuwasikiliza ili tuwende sambamba nao kwenye uendeshaji wa jumuiya” Na Juma Haji Wajumbe wa Bodi tendaji ya Umoja wa watu wenye ulemavu Zanzibar…
9 May 2025, 16:54
Jamii Mkoani Kigoma imetakiwa kuzingatia suala la lishe bora kwa watoto. Na Michael Mpunije Shirika la umoja wa mataifa la Chakula na Kilimo FAO limetoa wito kwa wanaume mkoani Kigoma kushirikiana na wenza wao katika kufanya maandalizi ya chakula ili…
7 May 2025, 6:44 pm
Mary Julius. Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale wa Zanzibar, Mudrick Ramadhan Soraga, amesema kwa kuwa utalii ni sekta yenye wadau wengi, wizara yake imeamua kusimamia ushirikiano wa pamoja ili kuondoa hali ya ushindani usiokuwa na tija na badala…
May 7, 2025, 11:54 am
Ni kutaka kuwaridhisha wateja Na Anyisile Freddy Wauzaji wa gesi ya kupikia wametakiwa kuwa na mizani ya kupimia mitungi ya gesi ili kulinda uaminifu kwa wateja. Mfanyabiashara wa kuuza mitungi ya gesi mjini Vwawa mkoani Songwe, Grace Sichone amesema…
6 May 2025, 6:17 pm
‘‘Hatuwezi kuwa na taifa lenye uchumi mkubwa kama watu wake wako wanapambana na changamoto ya miundombinu ya afya lazima kwanza tujali afya za watu ambao ndiyo nguvu kazi ya kuyafikia hayo maendeleo ni kweli tumefanya mageuzi makubwa sana katika sekta…
May 6, 2025, 2:00 pm
Taharuki imetokea baada ya mwili wa marehemu kurudishwa mochwari mara mbili kabla ya kuzikwa. Na Michael Nanyaro Kundi la vijana wa bodaboda maarufu kama wadudu wilayani Arumeru jijini Arusha wamemrudisha mwenzao aliyefariki mochwari baada ya mwili kufikishwa nyumbani na familia,…
4 May 2025, 3:35 pm
Picha ya kamati ya wataalamu wa masuala ya habari Zanzibar (ZAMECO) Na Vuai Juma “Uwepo wa sheria kandamizi kwa wandishi wa habari imekua ni changamoto kubwa kwenye utendaji wao wa kazi” Na Vuai Juma Mamlaka zinazosimamia sekta ya habari hapa…
3 May 2025, 12:56 pm
Picha ya Hassan Masanja mhandishi kitengo cha mafuta kanda ya magharibi. Picha na Anna Mhina. “Hairuhusiwi kubeba mafuta kwenye madumu” Na Rhoda Elias Baadhi ya madereva wa vyombo vya moto wa Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi, hawana uelewa wa kutosha…
2 May 2025, 2:29 pm
Na Kassim Salum Abdi. Kamati ya kudumu ya Baraza la Wawakilishi inayosimamia Mawasiliano, Ardhi na Nishati imesema imeridhishwa na matengenezo ya ukarabati wa Meli ya MV MAPINDUZI (II) iliopo nangani katika bandari ya Malindi. Mwenyekiti wa Kamati ya Mawasiliano, Ardhi…