Mpanda FM
Mpanda FM
19 November 2025, 12:57 am
Na. Abdunuru Shafii Karibu kusikiliza Makala fupi inayozungumzia kwa kina athari kubwa za mabadiliko ya tabianchi katika kilimo nchini Tanzania, hususan katika Wilaya ya Uvinza na Mkoa wa Kigoma. Wakulima wamekuwa wakikumbana na mabadiliko yasiyotabirika ya mvua ikiwemo vipindi virefu…
18 November 2025, 11:41 am
Mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi, maarufu kamaConference of the Parties — COP 30, unaendelea huko Belem nchini Brazil, ambapoTanzania ikiwa imewasilisha agenda kumi na mbili. Na Joyce Buganda Nuru Fm imekuandalia makala fupi kuhusu athari zinazowakumba…
14 November 2025, 3:43 pm
Wiki ya Upimaji wa Magonjwa Yasiyoambukiza ilianza Novemba 12 na inahitimishwa leo Novemba 14 katika Viwanja vya Nyerere Square jijini Dodoma. Na Lilian Leopold.Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Alhaji Jabir Shekimweri, amesisitiza umuhimu wa watoa huduma za afya kufuata sheria…
November 12, 2025, 8:50 pm
Katibu wa Mtandao wa vikundi vya wakulima Tanzania (MVIWATA) Mkoa wa Mara akizungumza na Bunda FM kwenye kipindi cha Busati la Habari kinachoruka Jumatatu hadi Ijumaa. Picha na Amos Marwa “MVIWATA inawapa nafasi wakulima wadogowadogo kujifunza kilimo bora kwa kupewa elimu tunafanya…
10 November 2025, 10:18 am
Wadau wa maendeleo wanaaswa kuwekeza katika elimu, teknolojia rafiki kwa mazingira, na miradi ya kiuchumi itakayowawezesha wanawake kuwa sehemu ya suluhisho la mabadiliko ya tabianchi. Na Abdunuru Shafii Wanawake wa wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma wameendelea kukabiliwa na athari kubwa…
October 27, 2025, 9:24 pm
Mkuu wa polisi wilaya ya Butiama(OCD) Mrakibu mwandamizi wa jeshi la polisi Daudi Methew Ibrahim akizungumza na Bunda FM kwenye kipindi cha Busati la Habari kinachoruka Jumatatu hadi Ijumaa. Picha na Witness Joseph ’Wananchi wajitokeze kwa wingi kupiga kura wakiwa na ari…
October 20, 2025, 9:30 pm
”Hakuna jasho la Mtu linalotumika bure kama wananchi watachagua viongozi wanaotoa rushwa viongozi hao watakaposhinda watatumia muda wao mwingi kurejesha fedha walizotumia kuhonga wananchi hivyo huduma za kijamii kuwa duni”William Eliyau ambae ni Mchunguzi kutoka tasisi ya kuzuia na kupambana…
19 October 2025, 11:53 pm
Mafunzo hayo ambayo yametolewa na taasisi ya TESIFA Tanzania kwa kushirikiana na Swisscontact chini ya shirika la maendeleo nchini Uswiss (SDC) Kupitia ubalozi wa Uswiss Tanzania yamelenga kuwawezesha vijana hao kujipatia ujuzi utakaowasaidia kujitegemea, kujisimamia kimaisha, na pia kuwa mfano…
17 October 2025, 9:04 am
Makala hii inaelezea Jinsi Taasisi Binafsi na za Kiserikali zinavyoshiriki kuhamasisha wanawake kujihusisha na masuala ya Uchaguzi na siasa. Na Hafidh Ally na Dorice Olambo Nuru FM imekuandalia makala hii maalum kujua ni kwa kiwango gani Taasisi Binafsi, za Kidini…
October 16, 2025, 12:37 pm
”Nchi yoyote ili iwe na maendeleo ni lazima kuwepo na amanai na utulivu hivyo kila mtu anawajibu wa kulinda tunu hii ya amani”Mkuu wa polisi wilaya ya Butiama(OCD)rakibu mwandamizi wa polisi Daudi Methew Ibrahim Na Amos Marwa Wananchi mkoa wa…