Mpanda FM
Mpanda FM
29/01/2026, 13:34
Picha ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba , Bungeni jijini Dodoma. Picha na Wizara ya Afya. Waziri Mkuu amesisitiza kuwa serikali itaendelea kuboresha na kusimamia utekelezaji wa Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote,…
26/01/2026, 22:31
Mamia ya wananchi wamejitokeza kupata huduma ya mifupa,pua sikio,koo na macho katika hospital ya rufaa ya mkoa wa Manyara . Na Mzidalfa Zaid Hatua hii imekuja baada ya Hospital ya Rufaa ya mkoa wa Manyara kwa kushirikiana na hospital ya…
22/01/2026, 19:10
Wizara ya afya chini ya Hospital ya Rufaa ya mkoa wa Manyara kwa kushirikiana na hospital ya rufaa Kanda ya Mbeya pamoja na shirika la KCCO wameandaa kambi ya madaktari bingwa maalumu wa mifupa ,pua, sikio,koo na macho itakayofanyika mkoani…
18 January 2026, 4:14 pm
kulelewa kwa mtoto na mzazi mmoja pekee kunaweza kusababisha changamoto mbalimbali ikiwemo upweke, msongo wa mawazo na athari nyingine za kisaikolojia Ezra Mesharck Wazazi wametakiwa kushirikiana kikamilifu katika malezi ya watoto wao ili kuhakikisha watoto wanakua katika mazingira salama, yenye…
13/01/2026, 19:01
Mamlaka ya dawa na vifaa tiba TMDA Kanda ya kaskazini imetoa elimu kwa wananchi mkoani Manyara na kanda ya kaskazini kwa ujumla namna ya kuhifadhi dawa ili zisipoteza uwezo wa kufanya kazi. Na Mzidalfa Zaid Elimu hiyo imetolewa na Meneja…
12/01/2026, 14:20
Mkuu wa Wilaya ya Babati, Emmanuela Mtatifikolo Kaganda, amefanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya Mji Babati kufuatia malalamiko kutoka kwa wananchi kuhusu kutozwa fedha kwa matibabu ya watoto wenye umri chini ya miaka mitano, kinyume na maelekezo ya Serikali.…
22 December 2025, 9:26 am
sisi tutaendelea kuwasiliana na kusaidia kwa kile tutakachokuwa tumekipata Abdunuru shafii Kituo cha afya cha Lupimo Sanitarium Clinic, ambacho kinapatikana katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania, kimetoa msaada kwa Kituo cha Kulea Watoto Yatima cha Subra Minaramani, kilichopo Ujiji, mkoani Kigoma…
19/12/2025, 19:37
Mpango wa uhamasishaji wa Bima ya afya kwa wote umezinduliwa katika katika mkoa wa Manyara utakao saidia wananchi wa mkoa wa Manyara kupata huduma za matibabu kwa urahisi na unafuu. Na Emmy Peter Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga …
19/12/2025, 10:14
Zaidi ya shilingi milion 150 zimetumika kukamilisha ujenzi wa zahanati ya Endagile iliyopo kata ya Mamire wilayani Babati mkoani Manyara ambapo wananchi wa kijiji hicho wamechangia fedha na nguvu kazi huku pia wadau na mbunge wa jimbo la Babati vijijini…
17/12/2025, 21:18
Kikundi hicho kabla ya kufanya mkutano mkuu wa mwaka , kimefanya matembezi kuelekea katika kituo cha afya Nyarugusu kwa ajili kutoa zawadi kwa wagonjwa , vifaa tiba pamoja na kuchangia damu. Na Mrisho Sadick: Viongozi wa dini katika Kata ya…