Mpanda FM

ELIMU

29/01/2026, 13:34

Serikali kusimamia viwango vya gharama za matibabu

Picha ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba , Bungeni jijini Dodoma. Picha na Wizara ya Afya. Waziri Mkuu amesisitiza kuwa serikali itaendelea kuboresha na kusimamia utekelezaji wa Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote,…

26/01/2026, 22:31

Mamia wanufaika na kambi ya madaktari bingwa Manyara

Mamia ya wananchi wamejitokeza kupata huduma ya mifupa,pua sikio,koo na macho katika hospital ya rufaa ya mkoa wa Manyara . Na Mzidalfa Zaid Hatua hii imekuja baada ya  Hospital ya Rufaa ya mkoa wa Manyara kwa kushirikiana na hospital ya…

22/01/2026, 19:10

Kambi ya madaktari bingwa kuanza Januari 26 Manyara

Wizara ya afya chini ya Hospital ya Rufaa ya mkoa wa Manyara kwa kushirikiana na hospital ya rufaa Kanda ya Mbeya pamoja na shirika la KCCO wameandaa kambi ya madaktari bingwa maalumu wa mifupa ,pua, sikio,koo na macho itakayofanyika mkoani…

18 January 2026, 4:14 pm

Wazazi wametakiwa kushirikiana malezi ya watoto wao

kulelewa kwa mtoto na mzazi mmoja pekee kunaweza kusababisha changamoto mbalimbali ikiwemo upweke, msongo wa mawazo na athari nyingine za kisaikolojia Ezra Mesharck Wazazi wametakiwa kushirikiana kikamilifu katika malezi ya watoto wao ili kuhakikisha watoto wanakua katika mazingira salama, yenye…

22 December 2025, 9:26 am

Lupimo sanitarium clinic yarudisha kwa jamii Kigoma

sisi tutaendelea kuwasiliana na kusaidia kwa kile tutakachokuwa tumekipata Abdunuru shafii Kituo cha afya cha Lupimo Sanitarium Clinic, ambacho kinapatikana katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania, kimetoa msaada kwa Kituo cha Kulea Watoto Yatima cha Subra Minaramani, kilichopo Ujiji, mkoani Kigoma…

19/12/2025, 19:37

RC Sendiga azindua bima ya afya kwa wote Manyara

Mpango wa uhamasishaji  wa Bima ya afya kwa wote umezinduliwa katika katika mkoa wa Manyara  utakao saidia wananchi wa mkoa wa Manyara kupata huduma za matibabu kwa urahisi na unafuu. Na Emmy Peter Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga …

19/12/2025, 10:14

Mil. 156 zakamilisha zahanati ya Endagile Manyara

Zaidi ya shilingi milion 150 zimetumika kukamilisha ujenzi wa zahanati ya Endagile iliyopo kata ya Mamire wilayani Babati mkoani Manyara ambapo wananchi wa kijiji hicho wamechangia fedha na nguvu kazi huku pia wadau na mbunge wa jimbo la Babati vijijini…