Mpanda FM

ELIMU

26 March 2024, 12:42 pm

Walimu wakuu watoroka chama Katavi

“Ikiwa  ni mara ya kwanza kwa  mkutano mkuu wa walimu wakuu wa shule za msingi mkoa wa Katavi uliofanyika katika ukumbi wa manispaa huku ukiambatana na mafunzo ya uongozi na taaluma,huku ikiambatana na kauli mbiu isemayo ‘‘Tekeleza Mikakati Boresha Elimu…

15 March 2024, 3:18 pm

KATAVI,Waandishi Tumieni Kalamu kwa Weledi

“Wandishi wa habari Mkoani Katavi wametakiwa kufanya kazi kwa kuzingatia miiko na maadili ili kuepusha sintofahamu kuelekea uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025″. Picha na Ben Gadau Na Ben Gadau-katavi Wandishi wa habari Mkoani Katavi wametakiwa kufanya kazi kwa kuzingatia miiko…

7 March 2024, 3:29 pm

Wanawake Katavi wapanda miti kutunza mazingira

“Miti hiyo inayopandwa itakuwa ni kumbukumbu ya maadhimisho ya siku ya mwanamke mwaka huu lakini pia ni sehemu uendelezaji wa utunzaji mazingira mkoani hapa“ Na Deus Daud-katavi Kuelekea kilele cha maadhimisho ya siku ya mwanamke duniani  manispaa ya Mpanda imefanya…

7 March 2024, 3:09 pm

MPANDA,Homa ya Ini Yaongezeka kwa Kasi

“Daktari wa Manispaa ya Mpanda  Coronel Bruno amesema kuwa  ongezeko la Ugonjwa huo inatokana na Wananchi kutokuzingatia  kupima Afya kila mara ili kubaini.” Picha na Mtandao. Na Veronica Mabwile-katavi Baadhi ya Wananchi Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi  wameiomba Serikali mkoani…

20 February 2024, 12:29 pm

Madawati 30,000 kunusuru wanafunzi kukaa chini Katavi

Picha na Deus Daud Mkoa wa Katavi unatarajia kutatua kero katika miundombinu ya Elimu ikiwemo ujenzi wa Maboma zaidi ya 500 ambayo kati yake 400 yako katika hatua za umaliziaji kimkoa kwa shule za Msingi na Sekondari na madawati 30,000…

20 November 2021, 1:13 pm

Mabalozi Wapewa Darasa na Ewura

Mwenyekiti wa baraza la ushauri watumiaji wa huduma za nishati na maji katika mkoa wa Katavi EWURA CCC Steven Kinyoto amewataka wenyeviti wa mitaa katika manispaa ya Mpanda kuwa mabalozi kwa kuelimisha jamii katika kupata haki zao kwa watumiaji wa…

20 November 2021, 11:45 am

Mkuu wa Mkoa Katavi Awaonya Viongozi Kuhusu Uhalifu

Mkuu wa mkoa wa katavi Mwanamvua Mrindoko amewataka viongozi wa serikali kutokuwa chanzo cha kukumbatia uharifu katika jamii.  Akizungumza na Mpanda Radio Fm amesema kumekuwa na tabia kwa  baadhi ya viongozi wa serikali kutumia nafasi zao za kazi kuwatetea waharifu…

20 November 2021, 10:52 am

Madereva Zingatieni Sheria za Barabarani

Madereva wa vyombo vya moto mkoani Katavi wametakiwa kuzingatia sheria na taratibu zote za usalama barabarani. Wito huo umetolewa mapema leo na Sanjeti Jofrey Britoni wakati akizungumza na kituo hiki na kubainisha kumekuwa na madereva wanaovunja na kukaidi kufuata utaratibu…

20 November 2021, 10:44 am

Mifumo Mibovu ya Maisha Chanzo cha Magonjwa Yasiyoambukiza

Wananchi mkoani katavi wameshauliwa kubadili mtindo wa maisha ili kuondokana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza ikiwemo ugonjwa wa moyo. Kauli hiyo imetolewa na daktari wa idara ya magonjwa yasiyoambukiza kutoka  hospitali ya rufaa ya mkoa wa katavi dokta  Daniford Mbohilu…