Mpanda FM

ELIMU

10 May 2025, 1:54 pm

CCM yaombwa kuingilia sakata la wananchi kukamatwa Chato

Suala la michango kwa ajili ya shughuli za maendeleo katika kijiji limewatibua baadhi ya wananchi nakukimbilia CCM kuomba utatuzi. Na Mrisho Sadick: Wakazi wa Kijiji Cha Kalebezo Kata ya Nyamirembe wilayani Chato Mkoani Geita wamekiomba Chama Cha Mapinduzi CCM Mkoa…

30 April 2025, 10:33 am

Maafisa uchaguzi Mpanda wapigwa Msasa

Picha ya mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Asina Omari. Picha na John Benjamin “Tekelezeni zoezi hilo kwa umakini” Na John Benjamin Maafisa uchaguzi ngazi ya kata wa halmashauri ya manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kuhakikisha wanasimamia…

April 29, 2025, 12:56 pm

Waadhimisha miaka 61 ya muungano wilayani Babati

“Tanzania imeweza kusimamia Muungano kwa sababu waasisi wa hawakuwa na maslahi binafsi bali walikuwa na mapenzi mema na nchi“ Na Kudrat Massaga Wananchi Mkoani Manyara wametakiwa kuwashukuru viongozi wote waliopita na waliopo sasa madarakani kwa kuendelea kuenzi na kudumisha Muungano…

April 24, 2025, 9:06 am

Bodaboda chanzo cha migogoro katika jamii

Waendesha bodaboda wanatajwa kuvujisha siri za wateja wao Na Mkaisa Mrisho MBOZI Baadhi ya watumiaji wa vyombo vya usafiri maarufu kama Bodaboda wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe wamelalamikia baadhi ya waendesha vyombo hiyo kuvujisha siri za wateja wao kwa watu…