Mpanda FM
Mpanda FM
6 October 2025, 5:33 pm
Na Mary Julius. Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Ndani kutoka Jumuiya ya Maradhi ya Moyo Zanzibar, Dkt. Ahlam Ali Amour, ameitaka jamii kujenga utaratibu wa kupima afya mara kwa mara ili kujiepusha na maradhi ya moyo pamoja na yale yasiyoambukiza.…
25 September 2025, 4:49 am
Maonesho ya madini ya Geita ni sehemu ya juhudi za serikali kupitia wizara ya madini kwa kushirikiana na wadau mbalimbali, katika kuendeleza sekta ya madini kwa kutoa elimu, kukuza ushirikiano wa kibiashara na kuboresha upatikanaji wa huduma kwa wachimbaji na…
22 September 2025, 11:37 pm
Septemba 22, 2025 Waziri mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania mhe. Kassim Majaliwa amezindua rasmi maonesho ya 8 ya teknolojia na uwekezaji katika sekta ya madini yanayofanyika katika viwanja vya Dkt. Samia Suluhu manispaa ya Geita. Na: Ester Mabula…
19 September 2025, 9:39 pm
Na Loveness Daniel. Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) wilaya ya Ruangwa limeanza rasmi utekelezaji wa mradi mkubwa wa laini ya umeme wa msongo wa kilovoti 33 (KV 33), kutoka mjini Ruangwa kuelekea kijiji cha Namungo kupitia Chingumbwa – eneo muhimu…
17 September 2025, 2:09 pm
Kila mwaka mkoa wa Geita umekuwa ukifanya maonesho ya teknolojia na uwekezaji katika sekta ya madini, ikiwa ni fursa adhimu ya kukutanisha wafanyabiashara na wachimbaji wa madini kutoka maeneo mbalimbali. Na: Ester Mabula Geita Gold Mining Limited (GGML), kampuni tanzu…
2 September 2025, 12:47 pm
Na Godfrey Mengele Taasisi binafsi Mkoa Iringa zimepatakiwa kuisaidia jamii kujikwamua kiuchumi kwa kuwafikishia huduma mbalimbali. Hayo yameelezwa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa Kheri James wakati wa hafla ya kukabidhi bajaji 32 zenye thamani ya shilingi milion 315 zilizotolewa…
September 1, 2025, 3:54 pm
Wananchi waishio katika mtaa wa Kiriki A, kata ya Olsunyai, mtaa wa JR, jijini Arusha, wameiomba serikali na mamlaka husika kuchukua hatua za haraka kudhibiti utupaji wa taka hovyo kwenye mto Burka, wakieleza kuwa hali hiyo ni hatarishi kwa afya…
31 August 2025, 7:26 am
Amenusurika kuliwa na mamba wakati akiwa katika shughuli za uvuvi wa samaki. Na Edward Lucas. Aloyce Komanya (32), mkazi wa mtaa wa Bushigwamala, kata ya Guta katika Halmashauri ya Mji wa Bunda, mkoani Mara, amenusurika kuliwa na mamba wakati akiwa…
20 August 2025, 7:37 pm
Na Mary Julius. Afisa Uhusiano wa Mpango wa Damu Salama, Ussi Bakar Mohamed, amesema Serikali ya awamu ya Nane imefanya maboresho katika sekta ya afya kwa kujenga hospitali katika kila wilaya, hatua inayoongeza mahitaji ya damu salama kwa wagonjwa mbalimbali.Ameyasema…
13 August 2025, 4:29 pm
Na Mary Julius. Waandishi wa habari wametakiwa kushirikiana kwa karibu na wizara ya Afya Zanzibar kitengo cha chanjo ili kuelimisha jamii kuhusu umuhimu wa chanjo, kwa lengo la kupunguza upotoshaji na dhana potofu zinazohusu chanjo.Afisa kutoka Kitengo cha Chanjo Zanzibar,…