Mpanda FM

AFYA

25 September 2025, 4:49 am

Njema Labs sasa kutoa huduma kwa wananchi saa 24

Maonesho ya madini ya Geita ni sehemu ya juhudi za serikali kupitia wizara ya madini kwa kushirikiana na wadau mbalimbali, katika kuendeleza sekta ya madini kwa kutoa elimu, kukuza ushirikiano wa kibiashara na kuboresha upatikanaji wa huduma kwa wachimbaji na…

17 September 2025, 2:09 pm

Miaka 25 ya GGML, kushiriki maonesho ya 8 ya madini Geita

Kila mwaka mkoa wa Geita umekuwa ukifanya maonesho ya teknolojia na uwekezaji katika sekta ya madini, ikiwa ni fursa adhimu ya kukutanisha wafanyabiashara na wachimbaji wa madini kutoka maeneo mbalimbali. Na: Ester Mabula Geita Gold Mining Limited (GGML), kampuni tanzu…

2 September 2025, 12:47 pm

Bajaji 32 zatolewa kuwainua kiuchumi Vijana

Na Godfrey Mengele Taasisi binafsi Mkoa Iringa zimepatakiwa kuisaidia jamii kujikwamua kiuchumi kwa kuwafikishia huduma mbalimbali. Hayo yameelezwa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa Kheri James wakati wa hafla ya kukabidhi bajaji 32 zenye thamani ya shilingi milion 315 zilizotolewa…

September 1, 2025, 3:54 pm

Wananchi Osunyai walia na taka kutupwa kwenye mto Burka

Wananchi waishio katika mtaa wa Kiriki A, kata ya Olsunyai, mtaa wa JR, jijini Arusha, wameiomba serikali na mamlaka husika kuchukua hatua za haraka kudhibiti utupaji wa taka hovyo kwenye mto Burka, wakieleza kuwa hali hiyo ni hatarishi kwa afya…

31 August 2025, 7:26 am

Bunda: Mamba amshambulia mhudumu wa afya, amjeruhi

Amenusurika kuliwa na mamba wakati akiwa katika shughuli za uvuvi wa samaki. Na Edward Lucas. Aloyce Komanya (32), mkazi wa mtaa wa Bushigwamala, kata ya Guta katika Halmashauri ya Mji wa Bunda, mkoani Mara, amenusurika kuliwa na mamba wakati akiwa…

13 August 2025, 4:29 pm

Wanahabari waaswa kuelimisha jamii umuhimu wa chanjo

Na Mary Julius. Waandishi wa habari wametakiwa kushirikiana kwa karibu na wizara ya Afya Zanzibar kitengo cha chanjo ili kuelimisha jamii kuhusu umuhimu wa chanjo, kwa lengo la kupunguza upotoshaji na dhana potofu zinazohusu chanjo.Afisa kutoka Kitengo cha Chanjo Zanzibar,…