

16 January 2025, 12:37 pm
Na Azory Orema Wafanyabiashara wadogo pamoja na ofisi zilizokuwa katika eneo la MR mpaka wa kata ya miyomboni na kata ya makorongoni halmashauri ya manispaa ua iringa wamelelamikia vibanda vyao kubomolewa pasipo kupewa notice ya ubomoaji. Zoezi hilo la ubomoaji…
14 January 2025, 10:17 am
Halmashauri ya Mji wa Mafinga Mkoani Iringa inatekeleza programu ya utoaji mikopo kwa wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kama ilivyo kwa Halmashauri zote nchini kutokana na mapato ya ndani. Na Joyce Buganda Halmashauri ya Mji wa Mafinga Mkoani Iringa…
12 January 2025, 11:17 am
Na Godfrey Mengele Mkuu wa Wilaya ya Iringa Komred Kheri James ameipongeza USAID Tanzania kupitia Mradi wa Feed the Future Tanzania imarisha Sekta binafsi, pamoja na wadau wao Agriedo Hub kwa kuwezesha vikundi vya vijana na Wanawake wilayani humo. Akizungumza…
8 January 2025, 12:24 pm
“Amewataka wauguzi na wananchi kutumia gari hilo kwa kufuata kanuni sheria na miongozo ya serikali” Na Rachel Ezekia-Katavi Mbunge wa jimbo la Nsimbo Anna Lupembe amekabidhi gari la kubebea wagonjwa katika kituo cha afya Itenka Kilichopo hlmashauri ya Nsimbo Wilayani…
31 December 2024, 6:10 pm
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa amesema kuwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameiheshimisha Tanzania katika hamasa ya matumizi ya nishati safi ya kupikia kutokana na umuhimu wake kwenye afya ya binadamu na utunzaji wa mazingira.…
20 December 2024, 12:50 am
Kufuatia kifo cha mwanamke aliyekutwa amefariki akiwa ndani kwake ndugu wa marehemu wasema ndugu yao hakuwa anaumwa zaidi alikuwa anasumbuliwa na kifua ambacho kilikuwa kinambana mara chache Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Anna Sanka mwenye umri wa miaka 47…
19 December 2024, 4:16 pm
Na Mwajuma Said Yussuf na Halsa Abdallah Juma Wananchi wa shehia ya sebleni wilaya ya mjini wameliomba baraza la manispaa kuufunika na kuungeza kina mtaro sebeleni ili kulinda maisha ya watoto pamoja na afya za wakaazi wa eneo hilo. Wakizungmza…
8 December 2024, 4:59 pm
Na Mary Julius. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itaendelea kuchukua juhudi maalum kuhakikisha inapunguza kasi ya ongezeko la Maradhi yasiombukiza nchini. Rais Dk. Mwinyi ameyasema hayo alipozungumza baada ya Kuongoza…
20 November 2024, 5:36 pm
“Jumla ya wagonjwa 6 wameripotiwa kupoteza maisha wagonjwa 419 tayari wamesharuhusiwa huku wengine 16 wakiwa bado kwenye uwangalizi “ Na John Benjamin -Katavi Watu 441 wameripotiwa kuwa na ugonjwa wa Kipindupindu katika tarafa ya Karema kata ya Ikola halmashauri ya…
8 November 2024, 3:58 pm
picha na mtandao ” vijana wa kiume hawajitokezi katika suala la upimaji afya zao ikilinganishwa na vijana wa kike.” Na Rhoda Elias -Katavi Vijana manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kuwa na desturi ya kujitokeza ili kupima afya zao mara…