Mpanda FM
Mpanda FM
25/02/2026, 15:25
Na Mary Julius. Mkuu wa Idara ya Huduma kwa Wateja wa Seifee Hospital Zanzibar Limited, Samuel Estomih, amesema lengo la kuandaa mashindano ya Ramadhan Football League ni kuimarisha ushirikiano na mshikamano miongoni mwa taasisi mbalimbali zinazotoa huduma za afya Zanzibar.…
21 February 2026, 7:19 pm
Wanatumia vitambaa na wengine kutumia mikono pasipo kujua njia sahihi za kitaalamu kwa ajili ya kusafisha vinywa vya watoto. Na Rhoda Elias-Katavi Baadhi ya wananchi manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameeleza kuwa hawana uelewa wa kutosha juu ya namna sahihi…
16 February 2026, 8:30 pm
“Mradi ni fursa muhimu katika juhudi za kupunguza vifo vya akina mama wajawazito na watoto wachanga“ Na Ben Gadau -Katavi Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mhe. Mwanamvua Hoza Mrindoko, amezindua mradi wa THAMINI UHAI unaolenga kupunguza vifo vya kinamama wajawazito…
06/02/2026, 23:17
Na Mary Julius. Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Zanzibar, Dkt. Mngereza Mzee Miraji, ameipongeza Seifee Hospital Zanzibar kwa kuendesha kambi maalum ya tiba na upasuaji, akisema kuwa hatua hiyo ni utekelezaji wa moja kwa moja wa malengo ya Serikali…
04/02/2026, 22:54
Na Mary Julius. Mkurugenzi wa Tiba wa Wizara ya Afya Zanzibar, Dkt. Msafiri Marijani, amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi katika kambi za matibabu ya bure ili kupima afya zao, hatua itakayosaidia kugundua mapema maradhi yasiyoambukiza na kupunguza athari zake kwa…
3 February 2026, 9:36 am
Kampuni ya GIPCO Construction Ltd yashinda tenda ya ujenzi wa machinjio ya kisasa mjini Iringa. Na Hafidh Ally Manispaa ya Iringa imesaini mkataba wa thamani ya zaidi ya shilingi milioni 900 na Kampuni ya Jipco kwa ajili ya ujenzi wa…
01/02/2026, 14:01
Mgodi wa GGML uliopo mkoani Geita umeendelea kuwa chachu ya maendeleo nchini kupitia ushirikiano wake na serikali katika nyanja mbalimbali za kimaendeleo kupitia Afya, Elimu, Miundombinu nk Na: Ester Mabula Naibu Waziri wa madini Dkt. Steven Kiruswa amesema sekta ya…
28 January 2026, 5:30 pm
Na Joyce Buganda Serikali mkoani Iringa imeanzisha Mfuko wa Uhifadhi wa Milima ya Tao la Mashariki EAMCEF unaolenga kufadhili wakulima na wafugaji katika jitihada za uhifadhi wa mazingira na kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Hayo yamezungumzwa na Afisa mazingira mkoani…
18 December 2025, 12:16 pm
Kilimo cha parachichi kimetajwa kuwa mkombozi kwa kuimarisha kipato cha vijana. Na Adelphina Kutika Serikali ya Mkoa wa Iringa imewahimiza vijana kuchangamkia fursa za kilimo cha parachichi kama njia ya kujipatia ajira, kipato na kuboresha maisha yao. Akizungumza wakati wa…
16/12/2025, 21:29
Na Mary Julius. Mkurugenzi wa Mipango na Uwekezaji wa Mfuko wa Huduma za Afya Zanzibar (ZHSF), Khalifa Hilal Muumin, amewataka Masheha kote Zanzibar kuimarisha utoaji wa elimu kwa wananchi katika shehia zao kuhusu Mfuko wa Huduma za Afya Zanzibar (ZHSF),…