

11 March 2025, 12:17 pm
Na Joyce Buganda Vijana mkoani Iringa wametakiwa kutumia mbinu za kisasa za kilimo na usindikaji ikiwemo kutumia virutubisho Ili kiboresha wa mazao na bidhaa wanazozizalisha. Mafunzo hayo yametolewa kwa siku mbili mjini Iringa kwa kushirikiana na viongozi wa Serikali, Shirika…
6 March 2025, 12:47 pm
Na Adelphina Kutika Balozi wa Urusi nchini Tanzania, Mhe. Andrey Avetisyan, ameonesha dhamira ya kuleta uwekezaji wa viwanda nchini Tanzania, hasa katika sekta ya kilimo, ili kuongeza fursa za ajira na kuchochea maendeleo ya kiuchumi. Balozi Avetisyan amesema hayo akiwa…
4 March 2025, 2:48 pm
Picha ya Dkt. Gabriel Elias. Picha na Rhoda Elias “Tupewe elimu juu ya ugonjwa wa apendex” Na Rhoda Elias Wananchi wa Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameomba kupatiwa elimu juu ya ugonjwa wa kidole tumbo (apendex). Wakizungumza na Mpanda Radio…
13 February 2025, 12:02 pm
“huwa hawazui miili ya marehemu bali kuna taratibu za kufuata kutokana na pesa ambazo serikali zimewekeza kwenye sekta ya afya.“ Na Lilian Vicent -Katavi Baadhi ya wenyeviti wa mitaa mkoani Katavi wameeleza taratibu ambazo wanachukua iwapo ikitokea mwananchi ambaye ameshindwa…
10 February 2025, 3:35 pm
Dr. Banuba Deogratias mganga mfawidhi hospitali ya Rufaa mko wa Katavi. Picha na Anna Mhina “Wananchi wajitokeze kuchunguzwa vimelea vya kifua kikuu” Wananchi mkoani wa Katavi wametakiwa kujitokeza ili kuchunguzwa vimelea vya ugonjwa wa kifua kikuu Kutokana na uwepo wa…
5 February 2025, 10:06 pm
Na George Augustino MAHAKAMA KUU YA TANZANIA KANDA YA MANYARA IMEMHUKUMU NANGAI SAMWELI GWANDU (25) MKAZI WA KIJIJI CHA TUMATI WILAYANI MBULU MKOANI MANYARA KUTUMIKIA ADHABU YA KIFUNGO CHA NJE MIAKA MIWILI NA MIEZI MITANO KWA KOSA LA MAUAJI YA…
5 February 2025, 12:08 pm
Na Fredrick Siwale Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi kwa kipindi cha robo ya pili ya mwaka imeonyesha kupaa katika ukusanyaji wa mapato kutoka katika vyanzo vyake mbali mbali vya mapato na kukusanya milioni 170 kwa wiki. Awali akifunga Baraza hilo…
21 January 2025, 6:19 pm
Wananchi wakiwa kwenye mazishi. Picha na Samwel Mbugi “Wananchi wametakiwa kuzingatia suala la usafi ili kuepukana na ugonjwa wa kipindupindu” Na Lilian Vicent Mwanaume mmoja aliyefahamika kwa jina la Redfusi Gabriel mkazi wa mtaa wa Kasimba kata ya Ilembo manispaa…
20 January 2025, 12:13 pm
Na Joyce Buganda Umoja wa Tuna Finance Hub kutoka Chuo Kikuu cha Iringa wamejidhatiti kuhakikisha vijana wa Iringa wanakombolewa kiakili na kifikra katika utafutaji na jinsi ya kupata maendeleo katika sekta mbalimbali. Akizungumza wakati wa kutoa elimu hiyo katika chuo…
16 January 2025, 5:24 pm
Wanufaika wa mikopo hiyo wametakiwa kuzitumia fedha hizo kwa malengo yaliyokusudiwa kwa ajili ya kuleta maendeleo ya familia zao. Na Emmanuel Kamangu Halmashauri ya wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma imekabidhi hundi ya mkopo wa zaidi ya shilingi milioni 493 kwa…