Mpanda FM
Mpanda FM
1 December 2025, 7:20 pm
Na Mary Julius. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema itahakikisha inaongeza Bajeti katika kusimamia utoaji wa huduma za afya kwa watu wanao ishi na virusi vya ukimwi ili kuimarisha upatikanaji wa huduma hizo kwa uhakika hayo yamebainishwa na Makamu wa…
November 27, 2025, 6:58 am
Mbolea ya ruzuku inauzwa kwa bei tofauti na bei elekezi ya serikali Na Stephano Simbeye Meneja wa Mamlaka ya Mbolea Tanzania Kanda ya Nyanda za Juu Kusini Joshua Ng’ondya amesema mbolea hiyo imekutwa ikiuzwa katika duka la wakala aitwaye Hemed…
24 November 2025, 1:26 pm
Habari za uongo zimekuwa kikwazo kikubwa katika maendeleo ya biashara, hasa katika jamii zinazotegemea taarifa sahihi kufanya maamuzi ya ununuzi na uuzaji. Na Aloycia Mhina Mwenyekiti wa Wafanyabiashara Wilaya ya Kilosa, Ndugu Joshua Chaluza Mbarikiwa, ametoa wito kwa wafanyabiashara na…
18 November 2025, 2:02 pm
“Wajasiriamali wanapaswa kuunganishwa na taasisi za kifedha kwa lengo la kuwainua kichumi” Na Adelphina Kutika Wataalamu waliofadhiliwa na shirika la Campaign for Female Education (CAMFED) nchini Tanzania wameiomba Tanzania Women Chamber of Commerce (TWCC) kuwasaidia kuwaunganisha na taasisi za kifedha,…
14 November 2025, 8:33 pm
Na Mwandishi wetu SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema itaendelea kuchukua hatua mbalimbali kuhakikisha ustawi wa watu wanaoishi na changamoto za ugonjwa wa kisukari unaimarika. Mkurugenzi wa Kinga na Elimu ya Afya, Dk. Salim Slim, amesema hayo wakati akifungua kongamano…
15 October 2025, 1:17 pm
Na Ayoub Sanga Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kusisitiza umuhimu wa kuanzisha na kuimarisha maeneo ya kimkakati ya kiuchumi, kwa lengo la kuongeza tija na ushirikishwaji wa wananchi katika shughuli za maendeleo ya taifa. Katika kongamano la…
October 12, 2025, 9:48 am
Kujiandaa na kujitokeza kwa wingi siku ya kupiga kura kwani hiyo ndio njia pekee ya kupata kiongozi bora na atakayefaa katika jamii. Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nyasa, Ndg Khalid Khalifa ameandaa Bonanza maalumu la watumishi Wilayani humo likilenga kuboresha Afya…
7 October 2025, 5:16 pm
Na Mary Julius. Katika kuadhimisha Siku ya Uoni Hafifu Duniani, Wizara ya Afya Zanzibar kwa kushirikiana na Maisha MedsnaPondeza Foundation wameandaa zoezi maalumu la upimaji wa macho litakalofanyika katika Jimbo la Chumbuni na Jimbo la Mtoni. Zoezi hilo la siku…
6 October 2025, 5:33 pm
Na Mary Julius. Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Ndani kutoka Jumuiya ya Maradhi ya Moyo Zanzibar, Dkt. Ahlam Ali Amour, ameitaka jamii kujenga utaratibu wa kupima afya mara kwa mara ili kujiepusha na maradhi ya moyo pamoja na yale yasiyoambukiza.…
25 September 2025, 4:49 am
Maonesho ya madini ya Geita ni sehemu ya juhudi za serikali kupitia wizara ya madini kwa kushirikiana na wadau mbalimbali, katika kuendeleza sekta ya madini kwa kutoa elimu, kukuza ushirikiano wa kibiashara na kuboresha upatikanaji wa huduma kwa wachimbaji na…