Elimu
19 April 2024, 12:34 pm
BUWASSA watakiwa kutatua changamoto ya maji chuo cha ualimu Bunda
Mwenyekiti wa CCM Bunda aitaka BUWASSA kutatua changamoto ya maji chuo cha ualimu Bunda. Na Theresia Thomas Wito umetolewa kwa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Bunda BUWSSA kutatua changamoto ya upungufu wa maji safi chuo cha ualimu…
2 March 2024, 5:31 pm
PM Majaliwa aanza ziara mkoani Mara
Waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Kasimu Majaliwa Majaliwa ziara yake mkoani Mara akianza na wilaya ya Bunda kwa kutembelea, kukagua, kuweka jiwe la msingi katika miradi mbalimbali ya maendeleo katika wilaya ya Bunda. Na Adelinus Banenwa…
20 January 2022, 7:55 pm
Madarasa 708 yajengwa kwa fedha za UVICO-19 mkoani Mara
Jumla ya madarasa 708 mkoani Mara yamejengwa kupitia mradi wa maendeleo ya ustawi wa taifa na mapambano dhidi ya UVICO 19. Hayo yameelezwa na mkuu wa mkoa wa Mara Ally Happi wakati wa ziara ya kukagua na kuzindua madarasa 48…
28 November 2021, 7:50 am
Kisangwa yafanya maafali ya 31 Maji yawa kero chuoni hapo
Wanafunzi wapatao 126 level ya pili kutoka chuo Cha maendeleo ya Wananchi Kisangwa FDC wanategemea kumaliza masomo yao mapema mwezi huu Akizungumza katika maafari mkuu wa chuo Cha maendeleo ya Wananchi Kisangwa Edmund Nzowa amesema maafari hayo ni ya 31…
12 November 2021, 5:38 pm
Shule ya msingi Bigutu yakabiliwa na upungufu wa madarasa
Shule ya msingi ya Bigutu iliyopo kata ya Bunda stoo Halmashauri ya Mji wa Bunda inakabiliwa na chambamoto mbalimbali kutokana na idadi kubwa ya wanafunzi wanaosomea shuleni hapo Akizungumza na Mazingira fm mwalimu mkuu wa shule hiyo Yohana Albert amesema…
10 November 2021, 8:45 pm
Maafali ya 1 shule ya sekondari Anthony Mtaka
Takribani wanafunzi 243 Shule ya sekondari Anthony Mtaka iliyopo Wilayani Busega Mkoani Simiyu wanatalajiwa kufanya mtihani wa kuhitimu kidato cha nne mwaka 2021 ambapo kati yao wavulana ni 104 Na wasichana ni 139 Kupitia risala ya wahitimu kawe mgeni rasmi…
5 October 2021, 4:50 pm
Siku ya Mwalimu Duniani: walimu waaswa kuendelea kusimamia nidhamu na elimu
Wito umetolewa kwa walimu wa wilaya ya Bunda mkoani Mara kuendelea kusimamia nidhamu, elimu kwa wanafunzi na kuelimisha jamii inayo wazunguka hasa katika masuala ya ujenzi wa Taifa. Wito huo umetolewa leo na katibu msaidizi wa Tume ya utumishi wa…
25 March 2021, 3:17 pm
Waandishi wa habari wa redio za kijamii kanda ya ziwa wajengewa uwezo na TADIO
Katika kuhakikisha redio za kijamii zinasikika kupitia kwenye mtandao TADIO imeanzisha program maalumu itakayozisaidia redio zote za kijamii zilizopo kwenye TADIO Mafunzo hayo ya siku mbili yamefanyika Jijini Mwanza ambapo mafunzo yanalenga kuwawezesha waandishi kutoka vituo vya redio za kijamii…