Joy FM
Joy FM
9 April 2025, 11:34
Shughuli za usafirishaji kwa njia za maji ni miongoni mwa vyanzo vya mapato kwa taifa la Tanzania pia kwa mwnanchi mmoja mmoja hivyo weledi na ufanisi utafanikisha shughuli hiyo Na Sadick Kibwana Wadau wa usafirishaji wa majini Mkoa wa Kigoma…
5 April 2025, 7:18 am
Na Adelphina Kutika Wasichana waliopokea msaada kutoka Shirika lisilo la Kiserikali la Campaign for Female Education (CAMFED) wameiomba Serikali kuhakikisha wakulima wote nchini wanapata mbolea ya ruzuku kwa wakati, ili kuwasaidia kuongeza uzalishaji wa mazao na kufikia malengo ya Serikali…
3 April 2025, 16:50
Serikali ya Tanzania imesema itaendelea kuhakikisha inakamilisha miradi yote ya maendeleo ili kufikisha huduma karibu na wananchi na kuchochea uchumi wa Taifa. Na Tryphone Odace Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Ikulu-Kazi Maalum, George Mkuchika amesema kuwa serikali imedhamiria kutekeleza…
1 April 2025, 11:58 am
Kipindi hiki kinaangazia hali ya utekelezaji wa ahadi zilizotolewa wakati wa Kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa kupitia kwa Bi Lukia Mnyachi Mwenyekiti wa kijiji cha Nyengedi ambae ni mwanamke pekee aliyefanikiwa kupata kuwa mwenyekiti wa kijiji kwa kata…
27 March 2025, 11:01
Serikali imeendelea kuhakikisha upatikanaji wa maji unakuwa mkubwa kwa wananchi wilayani Buhigwe. Na Kadislaus Ezekiel Wananchi wa vijiji 8 vya Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe mkoani Kigoma, wameomba serikali kusimamia wakandarasi wanaojenga miradi ya maji ili kuharakisha upatikanaji wa huduma…
25 March 2025, 14:32
Serikali kupitia TARURA imeendelea kuboresha miundombinu ya barabara ili kurahisisha usafirishaji baada ya kupokea fedha za utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Na Hagai Ruyagila Zaidi ya shilingi bilioni 19 zimetolewa na serikali kupitia kwa Wakala wa barabara za mijini na…
18 March 2025, 9:38 pm
Katika kuhakikisha utendaji kazi Kwa viongozi wa serikali za mitaa wilayani Ngorongoro unakuwa na tija kwa wananchi, wizara ya katiba na sheria imewapatia viongozi hao mafunzo Kwa lengo la kuongeza ufanisi katika majukumu yao. Na Saitoti Saringe Wizara ya katiba…
17 March 2025, 13:17
Kukamilika kwa ujenzi mradi wa reli ya kisasa SGR kwa kipande cha Tabora-Kigoma unatarajiwa kuwa chachu ya ukuaji wa uchumi na kufungua shughuli za usafirishaji Na Tryphone Odace Kamati ya kudumu ya Bunge ya uwekezaji na mitaji ya umma PIC…
10 March 2025, 3:02 PM
Bandari ya Mtwara baada ya maboresho makubwa yaliyofanywa na serikali. Picha na Google Meli hiyo ni moja kati meli nne, ambazo zinatarajiwa kuwasili bandarini hapo mwezi huu wa tatu hadi wa nne, zikileta salpha kwa ajili ya kukuza uzalishaji wa…
6 March 2025, 16:48
Serikali imeendelea kufanya ukarabati waa miundombinu ya majengo katika hospitali mbalimbali kwa lengo la kutoa huduma bora za afya kwa wananchi. Na Hagai Ruyagila Mradi wa ukarabati mkubwa wa hospitali ya halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma wa majengo 15…