Joy FM
Joy FM
5 August 2025, 8:36 am
Wananchi wa kiwani wametakiwa kutoa mashirikiano katika kupunguza uhalifu katika eneo pia wananchi hao wameliomba jeshi la polisi kuwachukulia hatua wahalifu wanapopekwa kituoni KHATIB JUMA NAHODA WANANCHI wa Shehia ya Kiwani Wilaya ya Mkoani Pemba wamelitaka Jeshi la Polisi Wilayani…
5 August 2025, 6:19 am
Mkurugenzi wa uchaguzi CCM Wilaya ya Bunda Michael Chonya amesema kuwa Maboto amepata jumla ya kura 2,545, Na Edward Lucas Ni mbunge anayetetea nafasi yake Robert Maboto amewashinda Esther Bulaya na Kambarage Wasira kura za maoni Bunda Mjini Robert Chacha…
4 August 2025, 6:22 pm
kiapo walichokiapa wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi mbele ya Mhe hakimu wa mahakama ya Mwanzo Oscar Lyimo ni kujiondoa kuwa mfuasi wa chama chochote cha siasa na pili ni kiapo cha kutunza siri Na Adelinus Banenwa Jumla ya wasimamizi wasaidizi wa…
4 August 2025, 4:13 pm
Matukio ya moto kuteketeza karakana yameendelea kuongezeka mkoani Geita huku sababu za matukio hayo zikiwa hazijulikani. Na Kale Chongela: Moto mkubwa ambao chanzo chake bado hakijajulikana umeteketeza karakana moja ya useremala katika mtaa wa Mkoani, Kata ya Kalangalala, Manispaa ya…
1 August 2025, 11:43
Mkuu wa Mkoa Kigoma Balozi Simon Sirro amewaasa viongozi wa dini kuwa na mshikamano wa pamoja katika kuwahumia waumini na jamii kwa ujumla Na Hagai Ruyagila Viongozi wa umoja wa makanisa ya Kipentekoste Mkoa wa Kigoma wametakiwa kufanya kazi kwa…
July 28, 2025, 7:30 pm
”Wananchi mnapaswa kutumia mitandao ya kijamii kama fursa ya kutangaza biashara zenu na siyo kupoteza muda kwa kuangalia habari za udaku muda wote’’ Bernadetha Clement Mathayo Afisa Mawasiliano TCRA kanda ya ziwa. Na Revocutus Andrew Wananchi Kanda ya Ziwa wameaswa…
27 July 2025, 10:56 am
Shehia ya Shidi iliyopo wilaya ya Mkoani Pemba imefanikiwa kurejesha uoto asili wa fukwe za bahari kwa kupanda miti aina ya mikoko 2,500. NA AMINA MASSOUD JABIR Wanannchi wa shehia ya Shidi Wilaya ya Mkoani Pemba wametakiwa kujitathmini na kujilinda…
26 July 2025, 8:22 pm
Jamii inatakiwa kubadilika na kuacha kumaliza kesi zaukatili majumbani na kuwaacha wahanga wakibaki na maumivu Na Adelinus Banenwa Jamii yashauriwa kuwa na mwamko wa kuripoti matukio ya ukatili wa kijinsia kwenye mamlaka zinazohusika na kuacha kumaliza kesi hizo kienyeji ili…
25 July 2025, 3:26 pm
“Waandishi endeleeni kufanya uchehemuzi wa sheria za habari ili wenye mamlaka waweze kutunga sheria mpya za habari zitakazo toa uhuru kwa wanahabari kufanya kazi zao” Khadija Ali Yussuf Waandishi wa habari kisiwani Pemba wametakiwa kuendelea kufanya uchechemuzi wa sheria za…
23 July 2025, 16:05
Wasafiri wametakiwa kutoa taarifa za uvunjifu wa amani wakati wakiwa safarini. Na Hagai Ruyagila Jeshi la Polisi Kitengo cha Usalama barabarani Wilayani Kasulu limetoa wito kwa wasafiri wote wanaotoka Wilaya hiyo kuelekea maeneo mengine kutoa taarifa mapema wanapobaini dalili zozote…