Joy FM
Joy FM
8 January 2025, 11:58 am
Hali ya elimu wilaya ya Ruangwa inazidi kuimarika kulinganisha na mwaka 2023 kimkoa ilikua ya mwisho, kwa mwaka 2024 imekua ya kwanza kimkoa. Na Joshua Jeremiah Kati ya wilaya sita zinazopatikana mkoa wa Lindi wilaya ya Ruangwa imeshika nafasi ya…
7 January 2025, 12:41
Viongozi wa Serikali za mitaa katika Halmashauri ya mji wa Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kusimamia na kutatua changamoto za wananchi katika maeneo yao. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Wenyeviti wa serikali za mitaa wa halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma…
6 January 2025, 7:23 pm
Ofisi ya mkuu wa wilaya ya Bunda kwa kushirikiana na ofisi ya mbunge jimbo la Bunda mjini Mhe Robert Chacha Maboto imetoa mkono wa pole wa shilingi laki tano 500,000 kwa waathirika wa kuunguliwa na nyumba kata ya Bunda stoo…
6 January 2025, 16:05
Katika kukabiliana na vitendo vya ukatili kwa watoto, jamii imetakiwa kuendelea kuwalinda na kuwakinga watoto na mazingira yanayoweza kuwaingiza kwenye kufanyiwa vitendo hivyo. Na Hagai Ruyagila -Kasulu Wazazi na walezi wilayani Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuwalea watoto wao katika maadili…
6 January 2025, 12:15
Katika kuhakikisha mtoto mlemavu kupata elimu na kutimiza ndoto zao wadau wa maendeleo na wazazi kuibua na kuwatoa nje watoto hao ili kupata haki ya elimu. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Wadau wa maendeleo wilayani Kasulu mkoani Kigoni wametakiwa kuwasaidia…
31 December 2024, 7:18 pm
Kulipa mikopo kwa wakati na kubaki na mipango iliyopelekea kuomba mkopo kitasaidia vikundi vilivyokopa kupata manufaa na fedha za halmashauri. Na Adelinus Banenwa Kiasi cha shilingi milioni 187.4 zimetolewa na halmashauri ya wilaya ya Bunda kwa vikundi vya wanawake, vijana…
20 December 2024, 7:16 pm
“wameiomba serikali ya manispaa ya Mpanda kuwatafutia eneo mbadala la kufanyia biashara zao“ Na Betord Chove -Katavi Baadhi ya wajasiriamali wanaofanya biashara kando kando ya barabara ya Mpanda hotel Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba serikali kuwatafutia eneo mbadala mara…
20 December 2024, 1:39 pm
Miongo mwa Kampuni zilizopokea zawadi hizo za pongezi ni Kampuni ya Maboto microfanence. Na Adelinus Banenwa TRA yakabidhi zawadi za pongezi kwa wateja wake wanaolipa kodi kwa hiari mjini Bunda Alferd Mregi, Kamishina wa kodi za ndani TRA amewataka wale…
18 December 2024, 12:24 pm
“Wametoboa signboard wamekunywa soda maganda wametupa hapo chini walinzi walikuwa nje hawakujua kilichokuwa kikiendelea“. Na Adelinus Banenwa Ni katika hali isiyo ya kawaida wezi waiba zaidi ya maduka 11 eneo la Genge la jioni mtaa wa Posta kata ya Bunda…
17 December 2024, 12:43
Jamii na wadau mbalimbali wametakiwa Kanisa la FPCT Murusi Galilaya lililopo Halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma limetoa msaada kwa watu wenye uhitaji ikiwemo chakula, nguo, Sabuni na Viatu vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni tatu. Msaada huo umetolewa…