Joy FM

maendeleo

May 21, 2025, 2:23 pm

‘Ufugaji wa nyuki una faida’

Picha ya Afisa ufugaji wa nyuki Halmashauri ya wilaya ya Babati, Fabian Mandas Imeelezwa kuwa ufugaji wa nyuki ni muhimu katika mazingira yetu na kwa binadamu kwa ujumla kwani ni chanzo cha tiba pia. Na Kudrat Massaga Jamii imetakiwa kujifunza…

16 May 2025, 15:49

Wakulima waaswa kuweka akiba ya chakula Kasulu

Wakulima wilayani Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuwa na desturi ya kuweka akiba ya chakula ili kukabiliana na njaa. Na Hagai Ruyagila Mkuu wa wilaya ya kasulu kanali Isaac Mwakisu amewaagiza Madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma kutoa…

16 May 2025, 2:16 pm

Mtelela “Bunda DC kamilisheni miradi kwa wakati”

Ni wajibu wa baraza la madiwani kujua miradi inayotekelezwa katika maeneo yao na kuisimamia ili kuhakikisha miradi hiyo inakamilika. Na Adelinus Banenwa Katibu tawala wilaya ya Bunda Ndugu Salumu Mtelela ameitka halmashauri ya wilaya ya Bunda kukamilisha miradi inayoendelea kutekelezwa…

15 May 2025, 15:52

Baraza la madiwani lampongeza Rais Samia kwa uongozi wake

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amepewa pongezi na kuchangiwa fedha kwa ajili kuchukua fomu ya kugombea Urais baada ya kazi yake iliyotukuka katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Na Hagai Ruyagila Baraza la Madiwani…

9 May 2025, 16:54

FAO yataka wanaume kushiriki maandalizi ya lishe kwa watoto

Jamii Mkoani Kigoma imetakiwa kuzingatia suala la lishe bora kwa watoto. Na Michael Mpunije Shirika la umoja wa mataifa la Chakula na Kilimo FAO limetoa wito kwa wanaume mkoani Kigoma kushirikiana na wenza wao katika kufanya maandalizi ya chakula ili…

9 May 2025, 12:54

Wakulima walia na bei ya pamba Kasulu

Serikali imesema itaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wakulima wa pamba ili waweze kulima pamba kwa wingi. Na Hagai Ruyagila Wakulima wa zao la pamba wilayani Kasulu, mkoani Kigoma, wameiomba serikali kuongeza bei ya ununuzi wa zao hilo ili wakulima waweze…

9 May 2025, 10:45

CHADEMA kushushia rungu wanachama wasaliti Kasulu

“misingi inayoendelea kuwekwa na chama cha chadema ni misingi inayorudisha uhai wa chama hicho kwa asilimia kubwa” Na Mwandishi wetu Chama cha Demokrasia na maendeleo  Chadema wilayani kasulu kupitia Kikao cha baraza la mashauriano  ambacho kimeshirikisha viongozi mbali mbali wa…

8 May 2025, 7:33 pm

SMAUJATA wilaya ya Ruangwa kuanza ziara za kata kwa kata

“tumeazimia kuongeza nguvu katika usajili wa wanachama wapya ambapo Mpango huu unalenga kuongeza idadi ya wanachama wa SMAUJATA na kuhakikisha kuwa vijana wengi zaidi wanajumuishwa katika shughuli za maendeleo ya kijamii na uhamasishaji wa haki na usawa” Na Mwandishi wetu…