Joy FM
Joy FM
17 September 2025, 09:37
Mtoto aliyetelekezwa na mama yake akiwa darasa la pili na kulelewa na shule ahitimu masomo ya darasa la saba huku wito ukitolewa kwa wadau kujitokeza kumsaidia. Na Hagai Ruyagila Wazazi na walezi wilayani Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuacha tabia ya…
September 8, 2025, 1:01 pm
Mkuu wa Wilaya ya Kasulu Mhe. Kanal Isack Mwakisu amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM atafanya kampeni katika Wilaya ya Kasulu Septemba 13 mwaka huu. Na; Sharifat Shinji Rais wa…
5 September 2025, 10:50 am
Ikumbukwe mkoa wa Geita umekuwa ukifanya maonesho ya teknolojia ya madini kila mwaka ambapo kwa mwaka huu 2025 yatafanyika kwa mara ya 8. Na: Edga Rwenduru Serikali mkoani Geita imeanza ujenzi wa mabanda ya kudumu katika viwanja vya maonesho ya…
4 September 2025, 15:27
Serikali imewataka wananchi Halmashauri ya Mji wa Kasulu Mkoani Kigoma kushiriki katika uchaguzi na kuwapata viongozi wataoweza kuwasaidia kutatua changamoto zao Na Hagai Ruyagila Mkuu wa Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma Kanal Isaac Mwakisu amewataka wananachi wa Wilaya hiyo kushiriki…
3 September 2025, 2:08 pm
Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa, Mhe. Hassan Ngoma, leo Septemba 2, 2025, amezindua rasmi zoezi la uchanjaji na utambuzi wa mifugo katika Kijiji cha Nangumbu, Kata ya Malolo wilayani Ruangwa, zoezi hilo ni hatua muhimu ya kulinda afya ya mifugo…
27 August 2025, 13:56
Idadi ya watoto wa kike wanaosoma masomo ya sayansi imeendelea kuongezeka na hiii ni kutokana na jitihadi mbalimbali za Serikali na wadau wengine katika kuwahamasisha kupenda masomo ya sayansi Na Hagai Ruyagila Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma imefanikiwa kutumia…
27 August 2025, 1:05 pm
Matumizi ya nishati safi ya kupikia yanalenga kupunguza athari za kiafya, mazingira na kuboresha maisha ya wananchi, huku ukipunguza athari za mabadiliko ya tabianchi. Na Adelphina Kutika Katika juhudi za kuhimiza matumizi ya nishati safi na kuboresha lishe katika jamii,…
25 August 2025, 16:37
Mmiliki wa shule za Hekima zilizopo Mjini Kasulu Mkoani Kigoma Fedia Yaredi amesema ataendelea kusimamia shule hizo ili zieweze kutoa elimu bora kwa watoto Na Hagai Ruyagila Wamiliki wa shule binafsi wilayani Kasulu mkoani Kigoma wameshauriwa kukubaliana na mabadiliko ya…
25 August 2025, 14:08
Wito umetolewa kwa shule binafsi kuanza kufuata mabadiliko ya mtaala mpya ambao umetolewa na serikali ili kuboresha sekta ya elimu nchini. Na Sofia Cosmas Watumishi wa umma na sekta binasi katika Manispaa ya Kigoma Ujiji wametakiwa kuondoa utengano na chuki…
25 August 2025, 13:00
Serikali Mkoani Kigoma imesema itaendelea kuhamasisha wananchi kuhakikisha wanaweka mazingira wezeshi kwa ajili watoto hasa wa kike ili waweze kupata elimu. Na Hagai Ruyagila Maafisa elimu na Waalimu kutoka halmashauri mbalimbali za mkoa wa Kigoma wametakiwa kuhakikisha wanazingatia na kutumia…