Joy FM
Joy FM
18 November 2024, 15:11
Serikali imesema itaendelea kuwasaidia vijana kupitia ujuzi mbalimbali ili kuhakikisha wanapatiwa mikopo itakayowasaidia kujiajiri. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Wahitimu wa mafunzo ya ufundi stadi Veta wilayani Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kufanya kazi kwa bidii na kuwa na nidhamu ya…
18 November 2024, 14:56
Madiwani wametakiwa kuendelea kutoa elimu kwa jamii ili iweze kutambua mipaka ili kuwsaidia kupunguza migogoro ya ardhi katika ya wakulima na wafugaji. Na Emmanuel Kamangu Migogoro ya wafugaji na wakulima katika wilaya ya uinza na wilaya ya kasulu yaongezeka ikichangiwa…
14 November 2024, 13:14
Wakati muda uliowekwa kwa wagombea waliowekewa pingamizi ukikaribia kuisha, Mkuu wa Wilaya Uvinza Mkoani Kigoma ametaka wagombea kuwasilisha rufaa zao mapema kabla ya muda wa ziada kuisha. Na Sofia Cosmas – Uvinza Mkuu wa Wilaya ya Uvinza Mkoani Kigoma Dina…
13 November 2024, 13:55
Mkuu wa wilaya ya Kigoma Dkt Rashid Mohamed Chuachua akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wengine wakati wa uzinduzi wa ujenzi wa shule Gungu Mkuu wa wilaya ya Kigoma Dkt Rashid Mohamed Chuachua amewataka wananchi kushirikiana na serikali katika…
13 November 2024, 13:46
Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU katika wilaya ya Kasulu imesema wagombea kutojihusisha na vitendo vya rushwa katika kipindi hiki cha uchaguzi wa serikali za mitaa. Na Emmanuel Kamangu – Kasulu Kutokana na umhimu wa uchaguzi wa serikali…
12 November 2024, 11:10
Kampeni ya kuwaandikisha na kuwarejesha shuleni watoto walio nje ya mfumo wa shule ngazi ya elimu ya msingi imezinduliwa mkoani kigoma ikiwa na lengo la kukabiliana na changamoto zinazosababisha wanafunzi wanafunzi kutoandikishwa kuanza shule au kukatisha masomo yao. Na Josephine…
11 November 2024, 17:03
Halmshauri ya wilaya ya Buhigwe mkoani Kigoma imepokea jumla ya mapingamizi 25 kutoka vyama vya siasa vitakavyoshiriki uchaguzi wa serikali za mitaa wilayani humo. Na Emmanuel Kamangu – Buhigwe Msimamizi wa Uchaguzi Wilaya ya Buhigwe Mkoani Kigoma Bw, George Emmanuel…
11 November 2024, 14:02
Wahitimu wa mafunzo ya biblia katika chuo cha biblia Dar es salaam tawila Kigoma wametakiwa kuisaidia jamii kuachana na vitendo viovu ambavyo vimekuwa vikifanyika na kusababisha baadhi ya makundi mbalimbali kuathirika ikiwemo ukatilii na uvunjifu wa amani. Na Timotheo Leonard…
11 November 2024, 12:09
Zikiwa zimesalia siku chache kufanyika kwa uchaguzi wa serkali za mitaa hapo novemba 27 mwaka huu, wananchi wametakiwa kujitokeza kwa ajili ya kushiriki uchaguzi wa srikali za mitaa. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Wananchi wilayani Kasulu mkoani Kigoma waliojindikisha kwenye…
11 November 2024, 08:43
Wadau wa maendeleo wametakiwa kushirikiana na kuendeleza bunifu mbalimbali za watoto ili waweze kufikia ndoto zao kwa manufaa ya jamii na Taifa kwa ujumla. Na Timotheo Leonard – Kigoma Novemba 10 ya kila mwaka dunia huadhimisha siku ya sayansi ambayo…