![](https://radiotadio.co.tz/joyfm/wp-content/themes/radiotadio/assets/img/banner/1500x300.jpg)
![](https://radiotadio.co.tz/joyfm/wp-content/uploads/sites/39/2023/07/img-20230703-wa0002-150x150.jpg)
25 June 2024, 11:36 am
Kiongozi wa mbio za mwenge ameridhia kuzindua Mradi wa ujenzi wa kituo Cha Mafuta Cha ASAS Energy ili kisaidie upatikanaji wa huduma ya nishati. Na Adelphina Kutika Mwenge Wa Uhuru 2024 Umezindua Kituo Cha Mafuta Cha Asas Energies Ltd kilichopo…
25 June 2024, 09:55
Jamii mkoani Kigoma imetakiwa kuendelea kushirikiana na wafanyabiashara kubaini na kutoa taarifa za watu wanaojihusisha na uingizaji wa bidhaa zisizokuwa na ubora kwa mamlaka husika ili waweze kuchukuliwa hatua za kisheria. Na Emmanuel Matinde -Kigoma Bidhaa mbalimbali zenye uzito wa…
19 June 2024, 10:30 am
Wakati Mikoa mingine ikiwa na hati yenye mashaka kuhusu ukaguzi kwa hesabu za serikali, Manispaa ya Iringa imezidi kufanya vizuri katika hesabu zake kwa mwaka uliopita. Na Adelphina Kutika Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Peter Serukamba amepongeza Halmashauri ya…
16 June 2024, 4:39 pm
“elimu jumuishi kwa watoto izingatie maarifa,maadili na stadi za kazi”
16 June 2024, 9:20 am
viti mwendo vilivyotolewa na injinia Ismaili kwa wanafunzi wa shule za msingi wenye ulemavu manispaa ya Mpanda.picha na Ben Gadau “Wananchi ambao wana uwezo wa kuwasaidia watu wenye ulemavu wajitoe ili kuwasaidia na waweze kufikia malengo yao“ Na Ben Gadau…
15 June 2024, 11:15 am
“Wazazi wanachangia mimba za utotoni kwa watoto wao kutokana na kuruhusu watoto hao kuwa na mahusiano katika umri mdogo“ Na Lilian Vicent -Katavi Kuelekea maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika ambayo hufanyika kila tarehe 16 Juni kila mwaka, halmashauri…
14 June 2024, 3:57 pm
“Wananchi wanapaswa kuachana na matumizi ya nishati ya kupikia ambayo si safi na kujikita katika matumizi ya nishati safi ya kupikia ili kuweza kuokoa mazingira na afya ya mtumiaji wa nishati hiyo” Na Betord Chove -Katavi Mkuu wa Mkoa wa…
13 June 2024, 5:53 pm
Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake.Picha na Fatuma Saidi “Mkakati wa matumizi ya nishati safi ya kupikia umelenga kumkomboa mwanamke dhidi ya athari zilizopo katika matumizi ya nishati chafu “ Na Fatuma…
12 June 2024, 10:26 am
Wakazi wa Iringa wametakiwa kutumka maonyesho ya The Iringa Festival kama fursa ya kiuchumi kwenye eneo lao. Na Joyce Buganda Katika Kuhakikisha Iringa inaendelea kujitangaza kuwa ndio lango kuu la Utalii Kusini na shughuli nyinginezo, Mkoa Iringa unaanziasha Iringa Festival…
7 June 2024, 10:25 am
Ili kuhakikisha wanafunzi wanaendelea kupata elimu katika mazingira mazuri serikali imeendelea kuboresha miundombinu ya elimu nchini. RUNGWE-MBEYA Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Juma Zuberi Homera ameridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya…