Jamii FM
Jamii FM
6 June 2025, 14:16 pm
Haya ni mafunzo yanayotolewa kwa maafisa ugani yanayohusu matumizi sahihi na salama ya viuatilifu ili waweze kutoa elimu kwa wakulima wa zao la korosho lengo likiwa kufikia uzalisha mzuri wa zao hilo NA Musa Mtepa Zaidi ya maafisa ugani 500…
31 May 2025, 1:44 pm
Mojawapo ya changamoto kubwa wanayokutana nayo wajane ni kukosa mtu wa karibu wa kusaidiana naye kwenye malezi ya watoto na changamoto zingine za kiuchumi. Na Zaitun Mustapha Mkoa wa Iringa unajiandaa kuadhimisha siku ya wajane kitaifa huku wananchi wakitakiwa kutowatenga…
29 May 2025, 17:31
Kanisa la Moravian linaoutaratibu wa watumishi wake kustaafu pale wanapofikisha umri wa miaka 60,umri huo unaendana na umri wa kustaafu kwa watumishi wa serikali. Na Hobokela Lwinga Waumini wa Kanisa la Moraviani Jimbo la Kusini Magharibi wametakiwa kujiandaa na kushiriki…
29 May 2025, 9:00 am
Makala hii inatazama ni upi ushiriki wa wanawake katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025. Na Hafidh Ally na Dorice Olambo Katika kuondokana na changamoto ya wanawake kushiriki kwenye nafasi za uongozi katika uchaguzi, Nuru FM imeandaa makala yenye lengo la…
26 May 2025, 12:42 pm
“Msikitini hapa pana shule ya watoto wadogo ni vema kuchukua tahadhari na kila mtu kuwa mlinzi wa mwenzie” Na Bertod Chove Baadhi ya wananchi wanaofanya shughuli za kilimo na ufyatuaji tofali katika moja ya bonde linalopatikana eneo la Kasimba Manispaa…
23 May 2025, 16:51 pm
Hii ilikuwa ni kufunga mafunzo ya kilimo bora cha mazao kwa wakulima vijana waliopo katika kata saba za Manispaa ya Mtwara Mikindani ambapo zaidi ya vijana wa kike na wakiume 700 wamenufaika na mafunzo hayo Na Musa Mtepa Zaidi ya…
12 May 2025, 12:18 pm
Serikali kupitia Wizara ya Kilimo kwa miaka ya hivi karibuni imekuwa na utaratibu wa kutoa pembejeo za kilimo bure kwa wakulima hasa kwenye zao la Korosho Na Msafiri Kipila Wakulima wa zao la korosho mkoani Mtwara wamempongeza Rais wa Jamhuri…
24 April 2025, 6:47 pm
Serikali kupitia idara ya afya mkoani Kagera imefanikiwa kupunguza kiwango cha maambukizi ya malaria licha ya baadhi ya wilaya kuwa na kiwango cha juu cha maambukizi Theophilida Felician. Kiwango cha maambukizi ya malaria kwa mkoa wa Kagera kimepungua kutoka 34.9%…
9 April 2025, 15:14 pm
Huu ni msisitizo kwa wakulima kuhakikisha wanalima kilimo mchanganyiko kwenye zao la Korosho ili kusaidia kupunguza ghalama za upaliliaji pamoja na kuongeza virutubisho vinavyotokana na mazao yanayochanganywa kwenye mikorosho hiyo. Na Musa Mtepa Wakulima wa zao la korosho nchini wamehamasishwa…
7 April 2025, 00:00 am
Tamko hili limekuja baada ya kuwepo kwa taarifa za baadhi ya wanasiasa kutumia majukwaa yao kuupotosha umma juu ya mifumo ya stakadhi ghalani unavyo wakandamiza wakulima wanapouza mazao yao Na Musa Mtepa Wenyeviti wa vyama vikuu vya ushirika vinavyosimamia mazao…