Dodoma FM
Dodoma FM
17 December 2025, 07:59
Mamlaka ya usimamizi wa chakula na vifaa tiba Tanzania TMDA Kanda ya Magharibi imesema itaendelea kufanya operesheni mbalimbali kwa ajili ya kudhibiti bidhaa za afya zinazoingizwa nchi kinyuma cha sheria na ambazo hazikidhi vigezo Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa…
10 December 2025, 15:24
Na Daniel Amando Jumuiya ya Watu Wenye Kuhuisha Tabia za Kiislam Tanzania JAI, Mkoa wa Kigoma, imepiga hatua muhimu katika kutoa huduma za kiutu kwa wagonjwa, baada ya kupatiwa msaada wa gari la wagonjwa kutoka kwa wadau wa huduma za…
4 December 2025, 14:17
Chakula ni sehemu muhimu sana katika maisha ya mwanafunzi shuleni hasa walio katika umri wa ukuaji, wanahitaji virutubisho vya kutosha kama protini, vitamini, madini, na wanga ili miili yao ikue kwa afya lishe duni inaweza kusababisha kudumaa, udhaifu, na magonjwa…
4 December 2025, 12:13
Kituo cha afya cha Mwamintare kilichopo Halmashauri ya Mji wa Kasulu kinahudumia kata tatu ya Muhunga, Mganza na Heru Juu kwa wakazi 50887. Na Hagai Ruyagila Mbunge wa Jimbo la Kasulu Mjini mkoani Kigoma Profesa Joyce Ndalichako amekabidhi gari la…
November 19, 2025, 12:40 pm
Na Denis Sinkonde,Songwe Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Wilaya ya Songwe imewataka Wenyeviti wa Vitongoji na Vijiji kuacha mara moja tabia ya kumiliki mihuri ya Serikali, ikisema kuwa hatua hiyo ni kinyume cha sheria na imekuwa ikichochea…
17 November 2025, 13:20
Na Timotheo Leonard Wananachi Mkoani Kigoma wameaswa kuzingatia lishe bora ya makundi sita ya vyakula ili kuimarisha afya zao kwa kuongeza virutubishi mwilini vinavyoimarisha mwili na akili. Kauli hiyo imetolewa na Afisa lishe Mkoa wa Kigoma James Mbalabo wakati akizungumza na…
6 November 2025, 2:59 pm
Wazazi na walezi wanapaswa kutambua kuwa elimu ni muhimu kwa mtoto, kwani itamsaidia katika kuwa na uwezo wa kujitambua na kupamabana na changamoto za maisha hivyo ni jukumu la mzazi kuhakikisha mtoto anapata haki yake ya elimu. Na Farashuu Abdallah.…
26 October 2025, 09:28 am
Wananchi wa Mtwara wameishukuru Serikali ya awamu ya Sita kwa kujenga Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kusini, hatua iliyowapunguzia gharama na safari za kwenda Dar es Salaam kutafuta huduma za kibingwa, huku wakiiomba serikali kuendelea kuboresha huduma hizo kwa…
25 October 2025, 10:21
Idara ya afya Mkoa wa Kigoma imesema inaendelea kuweka mikakati ya kuhamasisha wananchi kuzingatia suala la usafi wa mazingira ili kuepuka magonjwa ya mlipuko Na Tryphone Odace Mkuu wa Mkoa Kigoma Balozi Simon Sirro amewataka wananchi kuhakikisha wanafanya usafi wa…
17 October 2025, 7:46 pm
Na Joel Headman Ndivyo unavyoweza kusema baada ya ushindi wa bao 1 la dakika za jioni walilolipata Fountain Gate dhidi ya Dodoma jiji jioni ya leo Mchezo huo wa ligi kuu uliopigwa kwenye dimba la Tanzanite Kwaraa umeshuhudia kandanda safi…