Dodoma FM

Uwekezaji

31 January 2025, 11:56 am

Nyangh’wale yapendekeza bajeti ya bilioni 4.3

Madiwani waishauri halmashauri ya Nyangh’wale kuongeza wigo wa ukusanyaji wa mapato kwa kubuni vyanzo vipya ambavyo haviwaumizi wananchi. Na Mrisho Sadick: Halmashauri ya wilaya ya Nyang’hwale Mkoani Geita imeendelea kufanya vizuri kwenye ukusanyaji wa mapato kwa miaka mitano mfululizo hali…

January 18, 2025, 5:32 pm

Mwili wa mwanamke wapatikana ukiwa umezikwa

wachungaji wa ng’ombe walikuwa wanachunga katika maeneo hayo ndipo ng’ombe walikimbilia eneo hilo na kuanza kufukua, wachungaji waliwapiga ng’ombe ili watoke ndipo walipogundua kwamba kuna kitu kimefukiwa na kwenda kutoa taarifa Na Sebastian Mnakaya Mwili wa Mwanamke Asha Mayenga anayekadiriwa…

10 January 2025, 5:12 pm

Wafanyabiashara Babati walalamika kuondolewa kwa vibanda vyao

Wajasiriamali wanaofanya  shughuli zao katika hifadhi ya eneo la barabara kuu mjini Babati mkoani Manyara wamesema serikali ingewashirikisha na kuwapa mda wa kutafuta maeneo mengine kabla ya kuwaondoa  kwenye maeneo hayo. Na George Agustino Kufuatia  zoezi la kuwaondosha wajasiriamali wanaofanya…

5 December 2024, 12:40 pm

GGML kuendelea kuwajibika kwa jamii Geita

GGML yasema bado iko bega kwa bega na wananchi kwa kushiriki katika shughuli mbalimba za maendeleo katika jamii bila kuchoka. Na Mrisho Sadick: Mgodi wa Geita Gold Mining Limited (GGML) umewahakikishia wananchi wa mkoa wa Geta kuwa utaendelea kuwajibika ipasavyo…

20 November 2024, 12:41 pm

Wajasiriamali Babati mji wakabidhiwa Millioni 211

Vikundi 19 vya wajasiriamali wa halmashauri ya mji wa Babati mkoani Manyara, vyakabidhi mkopo wa shilingi millioni 211 ikiwa ni lengo la serikali  kuwakwamua wananchi kiuchumi. Na Mzidalfa Zaid Mkuu wa wilaya ya Babati Emanuela Kaganda, amekabidhi shilingi millioni 211…

18 November 2024, 6:16 pm

Kanisa Katoliki, GGML wawaibua watoto wenye ulemavu Geita

Katika jamii hususani mikoa ya kanda ya ziwa bado kuna changamoto ya watoto wenye ulemavu kuendelea kufichwa huku imani potofu ikitajwa kuwa sababu. Na Mrisho Sadick: Kanisa Katoliki Jimbo la Geita kwa kushirikiana na mgodi wa GGML limefanikiwa kuwaibua watoto…